Sabby: Napiga goti nipate mume

IMG20140822WA0057Msanii wa Bongo Movies, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’.
Na Imelda Mtema
MAOMBI! Msanii wa Bongo Movies, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ameliambia gazeti hili kuwa anapiga magoti akimuomba Mungu ampatie mume bora na siyo gumegume wa kumsumbua akili.
Sabby alisema kuwa alishaingia kwenye ndoa lakini ilimshinda kutokana na vituko vya mwanaume hivyo hawezi kurudia kosa ndiyo maana ameamua kupiga goti kwa kuwa mume bora anapatikana kwa Mungu.

Magufuli: Bilioni 4 za uhuru zijenge barabara ya Mwenge – Morocco

Barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli, leo ameamuru fedha kiasi cha shilingi bilioni 4 zilizokuwa zimetengwa kama bajeti ya sherehe za siku ya Uhuru ambazo zingefanyika Desemba 9, 2015, zitumike kufanya upanuzi wa barabara ya Mwenge hadi Morocco jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 4.3 kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami.

Zarinah, mama Diamond ni vita!


DSC_5716Zarinah Hassan ‘Zari’
Waandishi wetu
NI vita! Baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kwenda nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ kumwangukia mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari’ kufuatia kuwepo kwa figisufigisu kati yao huku mama wa msanii huyo, Sanura Kassim ‘Sandra’ akihusishwa, mazito yameibuka.
TUJIUNGE NA CHANZO
Habari kutoka chanzo cha ndani ya familia ya Diamond zinamwagika kwamba, Zari amekubali kuja Bongo lakini akatoa sharti: “Nakuja Bongo, Desemba 8, lakini mama (mama mkwe) aondoke pale nyumbani (Tegeta-Madale, Dar).”
ZARI ATIA NGUMU, AKUBALI
Chanzo hicho kilimwaga ‘ubuyu’ kwamba, awali Zari alimtilia ngumu Diamond lakini baadaye alikubali kurejesha amani kama ilivyokuwa zamani hivyo watakuja wote Bongo baada ya kujiachia vya kutoka huko Sauzi nyumbani kwa mwanadada huyo.
mama-diamondMama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’
DIAMOND KICHEKO SAUZI
Kuhusu kuweka mambo sawa na kuwa atarejea Bongo na Zari na mtoto wao, Latiffah ‘Tiffah’, Diamond alilidokeza gazeti hili kwamba, sasa ni ‘full’ kicheko na anamshukuru Mungu kwa kufanikisha kufanya mambo kuwa kama mwanzoni.
Alitamba kuwa atatinga Bongo wiki hii au mapema wiki ijayo akiambatana na familia yake kwani kwa sasa wapo poa na hakuna manenomaneno tena.
“Nakuja na familia yangu. Kwa sasa tupo poa sana na maisha yanaendelea. Kiukweli huku South (Sauzi) tuna amani sana,” Diamond aliliambia gazeti hili wikiendi iliyopita.
TURUDI KWA CHANZO BONGO
Ilidaiwa kwamba, baada ya mama Diamond kusikia kuwa, mwanaye atarejea Bongo, Desemba 8, mwaka huu akiambatana na Zari alianza kuhaha kwa vile alishamtolea maneno makali akidai kuwa, mkwewe huyo alikuwa analeta uzungu kwenye familia yake.
“Unaambiwa ndugu wanapomuonesha mama Diamond picha za Zari akijiachia na Diamond na mtoto wao, Tiffah, anaamini kweli anaweza kuja Bongo jambo ambalo hataki kulisikia,” kilisema chanzo hicho.
10843996_788400007864260_370710352_nDiamond na Zari
MAMA DIAMOND KAMA MAGUFULI
Kufuatia hali hiyo ilitonywa kuwa, mama Diamond alifunguka kimipasho:
“Hata kama akija ataondoka kurudi kwao kama alivyokuja kwani ‘Hapa Kazi Tu’ kama ilivyo kauli mbiu ya Rais John Pombe Magufuli.”
Ili kupata mzani wa habari hiyo, mmoja wa vijumbe wetu alimtafuta mama Diamond kwa njia ya simu ambapo aliwaka mara tu baada ya kuulizwa ishu hiyo.
Katika majibu yake ya hasira, mama Diamond alisema haogopi lolote na yupo tayari kwa lolote.
MSIKIE MWENYEWE
“Siogopi chochote Zari kurudi hapa, kama atakuja, atakuwa amekuja kama alivyokuja mwanzoni na ataondoka hivyohivyo kama alivyoondoka awali.
“Sasa kwani nina hofu gani wakati niko nyumbani kwangu hapa? Watu watuache na waache unafiki wa kufuatilia mambo ya watu,” alisema mama D kisha akakata simu.
TUJIKUMBUSHE
Mapema baada ya Zari kujifungua mtoto wa Diamond, kuliibuka maneno ya mama mkwe huyo kutoelewana na mama Tiffah ambapo mara tu baada ya sherehe ya 40 ya mtoto huyo, Zari alitimka Bongo kwa maelezo kwamba hatarejea lakini sasa anaweza kuja kupambana tena na mama mkwe wake anayeonekana bado ana jambo moyoni.
Imeandikwa na Gladness Mallya, Mayasa Mariwata na Musa Mateja

Kobe announces he'll retire at end of season

KFC WAFUNGUA MGAHAWA MPYA ENEO LA KARIAKOO JIJINI DAR

Mkurugenzi mkuu wa KFC nchini Tanzania, Louis Venter(kushoto) akikata utepe wakati wa ufunguzi wa tawi la KFC eneo  la Kariakoo jijini Dar ambapo waliweza kusherekea na watoto wenye mahitaji maalumu wa shule ya msingi ya Uhuru Mchanganyiko.
Mkurugenzi mkuu wa KFC nchini Tanzania, Louis Venter akiwakaribisha wageni waalikwa pamoja na kuzungumza jambo wakati wa ufunguzi wa Mgahawa wa KFC eneo la Kariakoo jijini Dar.

MKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Ndg. Rehema Madenge (kulia walioingia mtaroni) na watumishi wengine wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakishiriki zoezi la kusafisha mitaro ya maji ya mvua eneo la Bahi Road mapema leo ikiwa ni mwanzo wa utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais la kutumia siku ya uhuru 9 Disemba kufanya usafi wa mazingira.

AD says Miles to stay, LSU beats Texas A&M 19-7


Baba Diamond: Nikifa Diamond usinizike!


BABAD
Baba mzazi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa.
MAYASA MARIWATA NA CHANDE ABDALLAH
BABA mzazi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa amekuwa akisema mengi mazito juu ya mwanaye huyo lakini safari hii ni kama ‘yamemfika hapa’ kufuatia kauli yake kwamba, siku akifa staa huyo asimzike, Ijumaa limezungumza naye kwa takriban dakika 45.
Akizungumza kwa njia ya simu huku akionekana kutokuwa na matumaini ya mwanaye huyo kumsamehe, Mzee Abdul alieleza kuwa amefikia hatua ya kusema hayo kutokana na ukweli kwamba haoni faida ya kuwa na mtoto anayeitwa Diamond.
“Kwa anayonifanyia ni vyema ajihesabie tu kwamba hana baba, amenidhalilisha sana, sasa kama ameshindwa kunijali na kunisaidia nikiwa hai, nikifa kutakuwa na faida gani kuja kunizika?” alihoji mzee huyo.
diamond-23.jpgNasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
KUMBE SIYO DIAMOND TU
Mzee huyo ambaye kwa sasa afya yake si nzuri akisumbuliwa na miguu bila msaada wowote wa kimatibabu aliendelea kusema kuwa, siyo Diamond tu kwani hata mwanaye mwingine, Mwajuma Abdul ‘Queen Darleen’ ambaye naye ni msanii wa Bongo Fleva ameungana na kaka yake.
“Sioni faida ya watoto hawa ambao hawana msaada kwangu, hata Mwajuma (Queen Darleen) tangu apewe gari na kaka yake amezidi kunitupa, hivyo bora nikae nikijua sina watoto kuliko kuwa na watoto mastaa halafu hawana msaada kwangu.
“Kwa hiyo nasema nimechoka kabisa, sioni faida ya mtu kuja kunizika nitakapokufa wakati nipo hai hanijali, hakuna kitu kinachoniumiza kama pale ninaposikia Diamond anasaidia watu baki wakati mimi baba yake nateseka.
“Nimekuwa nikimtumia sms lakini hajali na hata nikimpigia hapokei, mbaya zaidi nikitembea watu wananinyooshea vidole kuwa baba fulani yule, nimechoka.
“Juzi nilimtumia sms Diamond nikamwambia ajihesabie kuwa hana baba kutokana na mateso ya mguu ninayoyapata na ugumu wa maisha.
“Lakini anashindwa kunipeleka kutibiwa! Sina shida ya kumlazimisha na pesa zake, nilimwambia anipeleke hospitali nitibiwe lakini kashindwa, cha ajabu nilivyomtumia hiyo sms juzi akanijibu: “Ahaa…baba upo… hujambo” na kuendelea kuuchuna.
 “Kama anasema kuna msaada ananipa mpigie mumuweke loud speaker aseme, mimi siwataki tena hao watoto watajijua wenyewe na maisha yao kwa sababu nimeshamwambia Diamond anipe pesa nifungue hata biashara ya mitumba lakini wapi hanijibu chochote.
“Hivi kuna kosa gani kubwa nililokosa mpaka nishindwe kusamehewa? Sioni kosa langu na kama lipo nini cha kumfanya mtu ashindwe kunisamehe nikae nateseka hivi? Siyo siri nateseka sana, mguu unanitesa na pesa ndiyo hivyo sina,” alimaliza kusema mzee huyo kwa uchungu.
MADHARA YA MANENO YAKE
Watu wenye busara waliozungumza na gazeti hili juu ya kauli ya mzee huyo walisema kuwa, kuna uwezekano mkubwa kama ikitokea akafariki dunia na Diamond akalisogelea jeneza lake yatamkuta makubwa.
“Unajua kwa maneno kama hayo endapo Diamond atakaidi, yanaweza kumkuta makubwa. Anachotakiwa kukaa chini na mzazi wake na kusameheana, kama mzazi anafikia hatua ya kusema hayo, basi yamemfika shingoni. Kwa maneno hayo makali lazima Diamond aishi akiwa na hofu,” alisema Mzee Shaban wa Sinza jijini Dar.
DIAMOND ANASEMAJE?
Kufuatia maneno hayo mazito, Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Diamond kupitia simu yake bila mafanikio lakini mara kadhaa anapoulizwa juu ya tofauti yake na mshua wake anasema, amemsamehe na maisha yanaendelea kama kawaida.

Wolper ajitapa kukwapua waume za watu


11909365_1019538228091109_1424858031_nStaa wa sinema Bongo, Jacqueline Wolper .
Na Imelda mtema
MREMBO anayesukuma maisha yake kupitia sinema Bongo, Jacqueline Wolper amejitapa kuwa haoni tatizo kuchukua mume wa mtu kwani wanaoibiwa ni wadhaifu.
Akifafanua kauli yake, Wolper alisema, kumekuwa na malalamiko mengi ya mastaa wa kike kuhusu kuibiana mabwana kitu ambacho yeye anaamini kwamba kama ukiwa mbunifu huwezi kuibiwa, wanaoibiwa wasilalamike.
“Bibi eeeh acha waseme. Mimi nikikuibia bwana ujue nimekuzidi ujanja inabidi uwe tu mpole siyo kuanza kuchongachonga tu kwa watu,” alisema Wolper.

Kigogo atenga 10m kumnasa Kidoa


89Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’.
Mwandishi wetu
FEDHA inaongea! Kigogo mmoja aliyeomba jina lake lihifadhiwe, amedaiwa ‘kukolea’ kimahaba kwa Video Queen mwenye mvuto wa aina yake, Asha Salumu ‘Kidoa’ kiasi cha kutangaza dau la shilingi milioni kumi.
63Chanzo chetu makini kilicho beneti na kigogo huyo anayemiliki yadi kadhaa za magari hapa Bongo, kimesema bosi huyo kila wakati amekuwa akimzungumzia Kidoa na kuahidi kumpa shilingi milioni kumi endapo tu atafanikiwa kulipata penzi lake.
Chanzo hicho kilikwenda mbali zaidi na kusema kwamba kigogo huyo amekuwa akihaha kila kona kutafuta namba za simu za Kidoa ili aweze kuzungumza naye na kuelewana na hatimaye kumpa malavidavi.
81
“Jamaa yangu amechanganyikiwa mno, hatulii, kila wakati anamuulizia Kidoa huku akiahidi kumpatia milioni kumi kama tu atafanikiwa japo kuwa naye usiku kucha kwani kama mademu kaona wengi, ila kwa Kidoa, moyo wake umegota kabisa. Kila siku anahaha kutafuta namba yake, hajaipata ila yupo radhi kuinunua kwa gharama yoyote ile,” kilisema chanzo hicho.
Mara baada ya kunyetishiwa ubuyu huo, mwanahabari wetu alimvutia waya kigogo huyo ambapo alikiri kumsaka mrembo huyo kwa hali na mali lakini akaomba asiandikwe gazetini.
“Jamani kama mnaweza mnisaidie. Mtoto kaumbika, nilianza kumuona kwenye ile video ya Akadumba ya Nay wa Mitego sasa picha zake zinazotoka katika magazeti zinanidatisha kweli nisaidieni ila ‘please’ msiniandike gazetini,” alisema kigogo huyo.

Michigan State takes division with 55-16 rout of Penn State

  • Christian Hackenberg, Joel Heath, Lawrence Thomas: Penn State quarterback Christian Hackenberg, center, is sacked by Michigan State's Joel Heath (92) and Lawrence Thomas, right, during the second quarter of an NCAA college football game, Saturday, Nov. 28, 2015, in East Lansing, Mich.
  • Penn State quarterback Christian Hackenberg, center, is sacked by Michigan State's Joel Heath 
  • (92) and Lawrence Thomas, right, during the second quarter of an NCAA college football game, 
  • Saturday, Nov. 28, 2015, in East Lansing, Mich

Ohio State WRs coach trolls Michigan after win

The Ohio State Buckeyes celebrate during win over Michigan.© Rick Osentoski-USA TODAY Sports The Ohio State Buckeyes celebrate during win over Michigan.

Back in the summer, Michigan’s football program did a little bit of trolling to Ohio State wide receivers’ coach Zach Smith. In a recruiting pamphlet, the Wolverines talked about how their wide receivers coach, Jedd Fisch, is much better at player development than the Buckeyes coach.
Smith didn’t take it too well, responding to the pamphlet with a picture of his championship rings.
He remembered it after Saturday’s game, too.
Smith posted the following on Twitter this afternoon after Ohio State’s thrashing of Michigan in Ann Arbor. 

Emily Chebet among Seven Kenyan Athletes Given Four-Year Ban for Doping

By Mwakilishi 

Emily Chebet wins the Freihofer's Run for Women. Photo/File
Kenya, facing scrutiny from world anti-doping officials and criticism that it is not doing enough to tackle the problem, has banned seven more athletes for doping offences.
In a statement late on Friday, Athletics Kenya said it had confirmed the sanctions against seven athletes for a range of drug offences.
This has raised the total number of Kenyan drug casesin the last three years to 40.
The list included Emily Chebet, a double world cross country champion and Commonwealth Games bronze medallist. She was handed a four-year ban after testing positive for a diuretic.
Joyce Zakary, a 400 metre runner, and hurdler Koki Manunga were also given four-year bans. Both tested positive for diuretics at this year's world championships in Beijing.
The latest list also included four long-distance runners, Agnes Jepkosgei, Bernard Mwendia, Judy Jesire Kimuge and Lilian Moraa Marita. They were each suspended for between two and four years.
Kenya boasts some of the world's finest middle and long-distance runners but in recent years has been shaken by a spate of failed drug tests. Some athletes have said the government and Athletics Kenya have not taken the issue seriously.
Allegations of corruption among Athletics Kenya chiefs tied to a corporate sponsorship deal, combined with Russia's recent ban from global athletics, have stirred fears the East African nation could be banned from international track and field.
In total, 43 Kenyans have been suspended for doping with 40 of those in the last three years, including Rita Jeptoo, who won the Boston and Chicago Marathons.
- The Star

Bipartisan Senate Bill 'Explicitly' Bans H-1B Visa Holders Replacing American Workers

By Mwakilishi 

U.S. senators introduced bipartisan to reform the country's visa programs, which may affect future U.S. immigration.
Sen. Chuck Grassley, R-Iowa, and Sen. Richard Durbin, D-Ill., introduced the "H-1B and L-1 Visa Reform Act of 2015" (S. 2266), which amends the "Immigration and Nationality Act" in an effort to "reduce fraud and abuse in certain visa programs for aliens working temporarily in the U.S., and for other purposes."
If S. 2266 passes the Senate and House of Representatives, in addition to the president's signature the bill would ensure "qualified Americans are given the first opportunity at high-skilled job opportunities."
Based on a press statement from Grassley's senate website, the bill prohibits U.S. companies to employ H-1B employees if the company has more than 50 people and more than 50 percent of the employees are already H-1B and L-1 visa holders. It also would "crack down" on outsourcing companies that import H-1B and L-1 workers into the U.S. but then send the workers to their native country to perform tasks Americans can do.
Durbin and Grassley's bill emphasizes that American workers are not "adversely affected" by H-1B workers, and "explicitly prohibits" replacing American workers with either H-1 or L-1 visa holders.
"The H-1B visa program was never meant to replace qualified American workers, but it was instead intended as a means to fill gaps in highly specialized areas ofemployment that cannot be filled by Americans," Grassley said in a statement on Nov. 10. "The abuse of the system is real, and media reports are validating what we have argued against for years, including the fact that Americans are training their replacements."
"There's a sense of urgency here for Americans who are losing their jobs to lesser skilled workers who are coming in at lower wages on a visa program that has gotten away from its original intent. Reform of the H-1B visa program must be a priority," Grassley added.
According to Durbin, H-1B and L-1 visa program reforms are "critical" for fixing the U.S. immigration system.
"For years, foreign outsourcing companies have used loopholes in the laws to displace qualified American workers and facilitate the outsourcing of American jobs," said Durbin. "The H-1B and L-1 Visa Reform Act would end these abuses and protect American and foreign workers from exploitation."
With S. 2266, the U.S.Department of Laborwill have "enhanced authority" to investigate, review and audit employers' compliance on programrequirements, which may result in penalizing if abusive or fraudulent conduct is found.
S. 2266 has received bipartisan support form Democratic Sens. Bill Nelson of Florida, Richard Blumenthal of Connecticut and Sherrod Brown of Ohio, along with Republican Sen. Jeff Session of Alabama. Since its Senate introduction, the bill has been referred to the Committee on the Judiciary.
- Latin Post