WAKENYA WAENDELEA KUTAMBA KATIKA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHONI 2016

Washiriki wa Mbio za Kilometa 42 katika mashindano ya kimataifa ya Kilimanjaro Marathoni 2016 wakianza mbio zao katika uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MOCU) .

Kichupa cha leo Royal - Eddy Kenzo ft Patoranking [Official]

DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA KWA DUKA LA DAWA LA SHINE PHARMACY LA TEMEKE

Imeandaliwa na Andrew Chale,modewjiblog.com
Mmoja wa maafisa wa TFDA, akikagua dawa katika duka hilo
Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akiwaonyesha waandishi wa habari cheti cha Famasia kilichoisha muda wake huku akiendelea na biashara yake hiyo kinyume na sheria.

Kinara uporaji benki Mbagala mbaroni.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro.

Siku nne baada ya majambazi 12 kuvamia Benki ya Access tawi la Mbagala, jijini Dar es Salaam na kuiba Sh. milioni 20 na kusababisha vifo vya watu sita, mtu anayedaiwa kuwa kinara wa uhalifu huo ametiwa mbaroni baada ya kutajwa na washirika wake, akiwamo aliyekamatwa akiwa anafunga ndoa.

Taarifa za uhakika ambazo gazeti hili ilizipata zinaeleza kuwa, kinara wa ujambazi huo alikamatiwa Sinza Mori, wilaya ya Kinondoni jana, saa 11:00 jioni.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo Nipashe ilizipata, kikosi kinachoshirikisha askari wa majeshi mbalimbali ikiwamo, polisi na la wananchi wa Tanzania, kilinasa watu wanne kwenye sherehe ya harusi baada ya kufuatilia mawasiliano yao ya simu.

Taarifa ya Serikali Kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO

TAMKO KUHUSU MWENENDO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI LILILOTOLEWA NA MHE. DKT. HAMISI A. KIGWANGWALLA (MB); NAIBU WAZIRI WA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, TAREHE 29 FEBRUARI 2016


Ndugu Waandishi wa Habari,

Taarifa hii ni mwendelezo wa utaratibu ambao Wizara yangu imejiwekea kila wiki wa kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya kipindupindu nchini pamoja na kueleza juhudi mbalimbali zinazoendelea kuchukuliwa ili kukabiliana na hali hii. Hadi kufikia tarehe 28 Februari 2016,jumla ya wagonjwa 16,825 wametolewa taarifa, na kati ya hao watu 258 wamepoteza maisha.

Takwimu za wiki iliyopita zinaonyesha kuwa kuanzia tarehe 22 hadi 28 Februari 2016, idadi yawagonjwa wapya walioripotiwa ni 473, na kati yao watu 9 walipoteza maisha yao. Takwimu hizi za idadi ya wagonjwa katika wiki hii, zinaonyesha kuwa idadi ya wagonjwa imepungua japo kwa kiasi kidogo sana (5%) ukilinganisha na wiki iliyopita ambapo wagonjwa 499 waliripotiwa. Katika wiki iliyoishia tarehe 21 Februari, Mkoa wa Iringa ndio uliokuwa ukiongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi zaidi. Kwa wiki hii idadi ya wagonjwa kwa mkoa huo imepungua kwa kiasi kikubwa sana japo idadi ya wagonjwa nchini kwa ujumla imeendelea kubakia kuwa juu.

Waziri Mkuu Aagiza Daktari Hospitali ya Ligula Mtwara Asimamishwe Kazi Kwa Kuomba Rushwa Ya Sh. 100,000

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi kwa Dk. Fortunatus Namahala wa kitengo cha upasuaji katika hospitali ya Ligula ambayo ni hospitali mkoa wa Mtwara kutokana na tuhuma za kumdai mgonjwa rushwa ya sh. 100,000/-.   Pia ametoa agizo la kufungwa kwa maduka yote ya dawa yaliyo nje ya hospitali hiyo kuanzia leo na kumtaka Katibu Tawala wa Mkoa huo, Bw. Alfred Luanda asimamie...
Read More

Diamond, Nay Wafanyiziwa

DIAMOND (1)

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Stori: Mayasa Mariwata na Musa Mateja, Wikienda
Dar es Salaam: Majanga! Wiki iliyopita mambo hayakuwaendea poa mafahari wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kila mmoja kupatwa na masaibu yake, Ijumaa Wikienda linakupa moja baada ya jingine.
TUKIO LA DIAMOND
Chanzo makini kilichoshuhudia sakata zima kilieleza kuwa, Jumanne iliyopita Diamond aliingia kwenye ‘tifu’ zito na kijana aliyefamika kwa jina la Salehe Hafidhi ‘Ans Ken’ baada ya kumharibia kamera yake aliyompa kwa lengo la kumfanyia kazi zake.
“Palichimbika, Diamond alimkabidhi Ans Ken kamera yenye thamani ya shilingi Mil. 12 kama kitendea kazi maana anafanya naye kazi. Sasa jamaa akaiharibu, Diamond alipohoji jamaa akajibu mbovu ndipo mtiti ulipoibuka.
“Ilikuwa ni mvutano mzito Diamond akimtaka kijana huyo amlipe kamera yake jamaa akawa analeta ubishi ndipo Dangote (Diamond) akaona isiwe shida bora akimbilie polisi Mabatini (Kijitonyama) kushtaki na jamaa akakamatwa na kuwekwa ndani,” kilisema chanzo hicho.
MTUHUMIWA AKANUSHA TUKIO
Baada ya mwanahabari wetu kunasa tukio zima, alimvutia waya mtuhumiwa (Ans Ken) ambaye aliachiwa kwa dhamana siku moja baada ya kuswekwa lupango ambapo alikanusha kuwa tukio la yeye kugombana na Diamond halikutokea.
“Kwanza mimi siitwi hayo majina uliyonitajia, sina tatizo na Diamond na wala sitaki kugombana naye siku si nyingi nimetoka naye South kufanya kazi,” alisema.
AZIDI KUJIKANYAGA
Alipohakikishiwa na mwanahabari wetu kuwa ana RB inayomuonesha kuwa yeye ni mtuhumiwa wa Diamond, Ans Ken kwa kujikanyaga alibadili kauli yake ya awali na kusema mtafaruku ni kitu cha kawaida katika kazi huku pia akiendelea kukanusha.
“RB si karatasi la kawaida tu, siyo kweli bwana. Hiyo siyo stori achana nayo, kwanza kwenye kazi kugombana mbona ni kitu cha kawaida si kila jambo litatangazwa, hajawahi kunifikisha polisi,” alisema kwa kujikanyaga maneno.
DIAMOND SASA
Kwa upande wake Diamond alipotafutwa simu yake iliita bila kupokelewa lakini Ijumaa Wikienda limenasa jalada la kesi hiyo aliyoifungua Diamond katika Kituo cha Poisi Kijitonyama iliyosomeka KJN/RB/2020/2016 KUHARIBU MALI.
Nay (1)Nay wa Mitego na gari lake lililovunjwa kioo.
TUKIO LA NAY SASA
Katika tukio jingine, Nay wa Mitego, alinusurika kifo baada ya kuvamiwa mara mbili kwa nyakati tofauti na watu wasiojulikana huku wakimuacha na maumivu ya kumvunjia vioo na taa za gari zake mbili.
TUKIO LA KWANZA
Akiwa katika Mitaa ya Kinondoni Manyanya, Februari 24, mwaka huu Nay alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuegesha gari lake aina ya Toyota Prado kandokando ya barabara ambapo alipoingia dukani na kurejea, alikuta limevunjwa taa ya upande wa kushoto na watu wasiojulikana.
diamondMAJANGA ZAIDI
Kama hiyo haitoshi, usiku wa kuamkia Februari 27, mwaka huu akiwa mitaa ya Sinza-Kamanyola, Nay alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana ambao walimvunjia kioo cha nyuma cha gari yake Toyota Port aliyokuwa ametoka nayo usiku huo na kuigesha maeneo hayo.
Nay (2)MSIKIE NAY
Akizungumzia matukio hayo, Nay alisema hajawahi kukutana na mwaka wa misukosuko kama mwaka huu baada ya kuachia wimbo wake wa Shika Adabu Yako ambao ndani yake ‘amewa-diss’ mastaa kibao wa Bongo.
“Dah! Naweza kujikuta hata nikimfanyia mtu maamuzi magumu, juzi tu nimetoka kuvunjiwa taa ya gari yangu ile Prado, nikiwa niko kwenye hali ya kutafuta fedha ya kununua taa, leo tena nimevamiwa na watu nisiowajua na wamenivunjia kioo cha gari yangu hii Toyota Port.
“Najua wanaonifanyia haya ni wajinga wachache ambao wanataka kupambana na mimi baada ya kuachia wimbo wangu wa Shika Adabu Yako, sasa kuanzia sasa itabidi niongeze zaidi umakini maana maadui wameongezeka japo nina RB ya kujihami,” alisema Nay.
Nay (3)TUMEFIKAJE HAPA?
Siku chache baada ya kuuachia Wimbo wa Shika Adabu Yako ambao ‘uliwachana’ mastaa wenzake kisha baadaye wimbo huo kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata), Nay amekuwa akipokea vitisho mbalimbali kutoka kwa watu asiowajua licha ya kutoa taarifa katika Kituo cha Polisi Kimara-Mwisho, jijini Dar.

Ukimwi kuisha Dar ni vigumu

Dar es Salaam: Hali ni mbaya kama si tete! Kikosi maalum cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ cha Global Publishers kimebaini kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi katika Jiji la Dar ni vigumu kuisha kutokana na asilimia 75 ya watu wanaoingia gesti madhumuni yao ni kufanya ngono na si kulala kama wageni, Ijumaa Wikienda lina uchunguzi kamili.
Mbaya zaidi, asilimia 25 ya watu hao ndiyo hutumia kinga kwa ajili ya ngono salama huku asilimia 75 wakiwa hawana haja ya zana hiyo yenye kukinga maambukizi ya virusi kama wenza wao wanayo.
OFM ilifanya utafiti kwenye gesti mbalimbali za Dar ili kupata mizani sahihi ya matumizi ya kinga kwenye gesti na pia kufahamu wateja wakuu kwa siku husika. Hapa hawazungumziwi wanaopata maambukizi nje ya ngono zembe.
OFM ilibaini kuwa, wateja wakuu kwenye gesti hizo ni kada zote lakini hasa wenye umri wa kuanzia miaka 22 na kuendelea huku machangudoa nao wakiwa mstari wa mbele kwa kuingia gesti na wateja wao hivyo kuwa sehemu kubwa ya maambukizi ya ugonjwa huo kwa sababu wao huunganisha mtandao mkubwa kwa siku.
Miongoni mwa gesti zilizotembelewa na OFM ni zile zilizopo, Sinza, Kinondoni, Buguruni, Temeke, Mbagala, Ilala na maeneo ya Tabata.
Baadhi ya wahudumu waliweka wazi kwamba, wateja wakubwa wanaoingia kwenye gesti za Dar ni wenyeji ambao huingia kwa lengo la kufanya ngono na si kulala kwa maana ya wasafiri au wale waliopungukiwa na malazi majumbani mwao kutokana na sababu mbalimbali.
WASIKIE WAHUDUMU
“Ni kweli Ukimwi kuisha Dar ni vigumu sana. Kwanza wateja wengi wanaokuja hapa kila siku, lakini wengi zaidi siku za wikiendi ni wenyeji wa hapahapa Dar.
“Utakuta mtu anaandikisha anatoka Dar kwenda Dar. Wengi si wageni, wanaingia kwa lengo la kufanya ngono na kuondoka, wanaolala mpaka asubuhi ni wachache sana. Na utaratibu huu umeua ‘shot time’.
“Siku hizi mtu analipia chumba kana kwamba analala mpaka kesho yake, lakini ikifika saa nne usiku anatoka na mwanamke wake,” alisema mhudumu wa gesti moja iliyopo maeneo ya Mwananyamala, Kinondoni.
Mwingine ambaye anahudumu gesti iliyopo Buguruni alisema: “Kwa kweli sisi tunaofanya kazi gesti ndiyo tunashuhudia mengi. Wengine wanaingia humu ni wake na waume za watu. Mbaya zaidi sisi tunaweka zana katika kila chumba lakini utashangaa wakishatoka, ukienda unakutana na pakti zako za zana kama ulivyoziweka. Hii ina maana kwamba, hawakutumia.”
Naye mhudumu aliyejitambulisha kwa jina moja la Jumaa kutoka gesti moja iliyopo Sinza-Kijiweni, yeye alisema:
“Kwa siku tunapokea wateja wengi wa Dar kuliko mkoa. Halafu hapa kwa kawaida mapokezi tuna maboksi ya zana ili wateja wanaoingia kwa kufanya ngono iwe ngono salama. Pakti moja tunauza shilingi mia tano, miaka miwili iliyopita, maboksi matano yalikuwa yakiisha kwa siku saba, siku hizi hayaishi hata matatu wakati wingi wa wateja ni uleule.
“Baadhi ya wahudumu walisema kuwa, kinachoonekana kwa siku hizi watu wameanza kuuzoea ugonjwa huo hatari tofauti na miaka mitatu iliyopita. Lakini sababu za kuuzoea wanazijua wao wenyewe.”
Baada ya utafiti huo, gazeti hili lilimtafuta Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Mecki Sadiki na kumuuliza kuhusu mikakati iliyopo ya kutokomeza biashara ya kuuza miili.
“Kwanza hakuna sheria inayomlazimisha mtu kutumia kinga. Kama mtu anaingia gesti anatakiwa kujua mwenyewe kwamba anatakiwa kutumia kinga.
“Lakini iko haja ya kutoa elimu zaidi kwa jamii ili waone umuhimu wa matumizi ya kinga. Zamani, kulikuwa na taasisi ambazo zinapeleka kinga kwenye nyumba za kulala wageni, sijui ziliishia wapi!”

Rais Kenyatta apingwa Israel

Jerusalem, Israel. Chama cha ukombozi wa Palestina (PLO) kimepinga ziara ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Jerusalem ya mashariki na sehemu ya makazi ya Israel katika ukingo wa magharibi wa Mto Jordan.

Kamati ya utendaji ya PLO imesema makubaliano ya kimataifa yanataja ardhi ya Palestina iliyotawaliwa na Israel mwaka 1967 ni ardhi ya nchi ya Palestina na siyo vinginevyo.

Rais Kenyatta yuko katika ziara ya kiserikali nchini Israel. Hii ni ziara yake ya kwanza kwa Rais Kenyatta kufanyika nchini hapa wakati mataifa hayo yakiwa katika mkakati wa kuimairisha uhusiano wa kibiashara.

RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DADA JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.


RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DADA JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.

Ratiba kamili ya kuaga mwili wa mpendwa Da Jessie ni kama ifuatavyo.

1. Kuanzia Jumatatu tutaendelea kujumuika nyumbani kwa marehemu, 44 Fleetwood Ave, Mt. Vernon, NY, 10552

2. Jumatano, Machi 2, 2016


Flynn Memorial Home,
1652 Central Park Avenue,
Yonkers, NY 10710.


Heshima za mwisho (Viewing): 4pm-7pm


Ibada (Service): 7pm-8pm

Baada ya shughuli kumalizika, tutatoa tangazo la wapi pa kukusanyika usiku huo kwa wale ambao watataka kujumuika na wafiwa.

Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuondoka New York kwenda Dar es Salaam, Tanzania asubuhi ya Alhamisi Machi 3, 2016.

Mwenyezi Mungu akipenda Da Jessie atapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele siku ya weekendi mara baada ya kuwasili Dar es Salaam siku ya Ijumaa, Machi 4. Taarifa zaidi zitafuata.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mpendwa wetu Da Jessie Wayasa Mgeni Chiume mahala pema Peponi. Ameen.

Link ya kutoa rambirambi ni:


Kwa taarifa zaidi:
Michael Chiume: # 6466626999
Chris Litunwa: #6145926231
Nathan Chiume:# 6465526347

Magufuli aagiza operesheni funga kazi

Wakati wimbi la timua timua ya watendaji wazembe na waliotumia madaraka yao vibaya likiendelea, serikali ya Rais John Magufuli pia imewageukia ombaomba wa maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, ambapo imeagiza ifanyike operesheni kabambe ya kuwaondoa.

Operesheni hiyo inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa na serikali imeagiza zoezi la kuwaondoa liwe limekamilika hadi kufikia Machi 10.

Ombaomba hao watasombwa hadi kwenye kambi ya JKT Ruvu, Pwani ambako watahifadhiwa kwa muda kabla ya maofisa wa Ustawi wa Jamii wa mikoa wanakotoka kuwachukua kwa mabasi ya kukodi.

Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ambaye hakutaka jina lake litajwe, aliliambia gazeti hili kuwa hivi sasa vikao vya kufanikisha mkakati huo vinaendelea katika Ofisi ya Waziri Mkuu.

Kenyan teen shot by police in Salt Lake City identified, riots have calmed

Posted by  

abdi-mohamed
Print Friendly
SALT LAKE CITY – The teenager shot by Salt Lake City police on Saturday night has been identified by the family as 17-year-old Abdi Mohamed.
Mohamed is in a coma at local hospital after getting shot three times, according to family.
Police say two officers were involved in the shooting, but they wouldn’t go into any further details.
According to witnesses a fight broke out between Mohamed and another man in the Rio Grande District of Salt Lake City around 8 p.m.
“I don’t have much details on the shooting itself,” said Det. Greg Wilking of the Salt Lake City Police Department, adding later, “That’s what it sounds like: There was an altercation taking place, and our officers intervened into that altercation.”
Selam Mohammed, who was walking with Abdi at the time of the shooting, said Abdi had picked up a broken broom stick right before police arrived.
“The police said, ‘drop it’, once, then they shot him four times,” Selam Mohammed recalled. “We were trying to break it up before the police even came, but the police ran in on foot and pulled their guns out already. They already had them, like, as soon as he was running he was already grabbing for his gun, not even trying to Tase him or anything.”
Following the shooting, crowds of angry people shouted and threw things at officers—prompting a massive police response.
Wilking said there were also reports of officers being injured because they were hit with objects. Some of the public reported being stung with a Taser and pepper sprayed by officers.
Mohamed is from Kenya and moved to Utah about 10 years ago, according to family. He lives in West Valley City with his girlfriend and their son.
“He was a really caring, good, loving boyfriend, and a really, good caring loving father, I know what he was doing every day, the things he would do for us, I wouldn’t expect that from him he just wanted to make sure we were loved and we were happy he put us in front of everything,” said girlfriend Becca Monson.
Monson said she hopes people don’t judge him unfairly.
“I’m really angry and really sad, I just want to see him honestly, I just want to see him and make sure he knows that he is loved and there are people out here that care about him and there are people that want to see him do good,” Monson said.
The Unified Police Department has taken over the investigation.
-fox13now.com

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Bandari ya Mtwara na Kunusa Harufu ya Ufisadi katika Ujenzi wa Gati 3

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua bandari ya Mtwara na kunusa harufu ya ufisadi katika utoaji wa zabuni ya ujenzi wa gati mpya tatu.   Waziri Mkuu ambaye alikagua eneo la ujenzi wa gati hizo jana (Jumamosi, Februari 27, 2016), alisema anazo taarifa juu ya utolewaji wa zabuni hiyo na mzabuni ameshashinda lakini kuna madai kwamba watu wa manunuzi kupitia PPRA ndiyo wanakwamisha zabuni...
Read More

Rais Dkt John Pombe Magufuli Awasili Arusha Kuongoza Mkutano Wa 17 Wa Kawaida Wa Wakuu Wa Nchi Wa Jumuiya Ya Afrika Mashariki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasili Mkoani Arusha ambako pamoja na mambo mengine ataongoza Mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki utakaofanyika Jumatano tarehe 02 Machi, 2016 Mjini Arusha. Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Rais Magufuli amelakiwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa...
Read More

Walimu Dar kusafiri bure – DC Makonda

1

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
2-001
Mwenyekiti wa Darcoboa, Sabri Mabrouk akifafanua jambo.
3
Mwenyekiti wa Uwadar, William Masanja akizungumza na waandishi wa habari.
4
Mwenyekiti wa Chama cha Madereva nchini (Tadu), Shaban Mdemu akichangia hoja mbalimbali.
5
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda mapema leo hii ametangaza kuwa walimu wa shule za serikali zilizopo jijini Dar watasafiri bila kulipa nauli kwenye daladala.
Akizungumza na waandishi katika Hoteli ya Ramada iliyopo Posta jijini Dar, Paul Makonda alisema kuwa ili kuendana na kasi ya rais hasa kwenye kuboresha sekta ya elimu nchini, alipata wazo la kuhakikisha wilaya yake inapambana ipasavyo na changamoto zinazowakabili walimu hasa suala la usafiri linalorudisha nyuma ufanisi wa walimu.
Makonda alisema kuwa suala hilo litazigusa pia Wilaya za Temeke na Ilala ambapo mwalimu atapatiwa kitambulisho maalumu chenye jina la shule, picha yake, saini ya mkuu wa wilaya na namba ya mwalimu mkuu.
Hata hivyo alisema kuwa usafiri huo utaanza rasmi Machi 7 mwaka huu ambapo walimu hawatatozwa nauli yoyote kuanzia saa 11:30 hadi saa 2:00 asubuhi na saa 9:00 hadi saa 12:00 jioni huku akitahadharisha kuwa ofa hiyo itakuwa endelevu kwa siku za kazi, yaani kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa tu.
Wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti Mwenyekiti wa Chama Cha Wamiliki wa Daladala (Darcoboa), Sabri Mabrouk; Mwenyekiti wa Umoja wa Wasafirishaji Abiria Dar (Uwadar), William Masanja na Mwenyekiti wa Chama cha Madereva (Tadu), Shaban Mdemu walimpongeza Makonda kwa wazo hilo na kuwataka walimu washirikiane nao kufuata utaratibu huo huku wakiwataka wakuu wa wilaya kote nchini kuiga mfano huo katika wilaya zao.

Tafrija ya mchapalo wa uzinduzi wa intaneti ya kasi zaidi ya Tigo 4G Mkoani Kilimanjaro yafana

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, George Lugata akiongea na wageni waalikwa na wanahabari wakati wa hafla ya uzinduzi wa intaneti yenye kasi ya Tigo 4G LTE mkoani Kilimanjaro juzi. 
Mkuu wa Kitengo cha Biashara kampuni ya Tigo(B2B), Rene Bascope akiongea na wageni waalikwa na wanahabari wakati wa hafla ya uzinduzi wa intaneti yenye kasi ya Tigo 4G LTE mkoani Kilimanjaro juzi. 

Kichupa cha leo Darassa ft Rich Mavoko - Kama Utanipenda ( Official Music Video )

POLISI WAZIMA VURUGU ZA WAMACHINGA MKOANI MBEYA

 Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuzuia hali ya taharuki iliyokuwa imezuka katika maeneo ya Mwanjelwa, Kabwe hadi Soweto, jijini Mbeya, kufuatia vurugu zilizoambatana na uchomaji matairi zilizokuwa zikifanywa na wafanyibiashara ndogondogo, maarufu kama wamachinga.
 Chanzo cha sakata zima, kilikuwa zoezi lililoendeshwa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya, la kuvunja vibanda vya wamachinga katika maeneo hayo, zoezi ambalo lilifanywa usiku wa kuamkia leo hii Februari 27.
Chanzo kimoja cha habari kimemueleza mwandishi wa mtandao huu kuwa, zoezi hilo lilifanywa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa Jiji la Mbeya, kuweka mazingira yake katika hali ya usafi, huku ikidaiwa kuwa, wafanyibiashara hao, walishaelezwa mara kadhaa kuondoka katika maeneo hayo, lakini wakakaidi agizo la Jiji.

TANZIA: MMILIKI WA MABASI YA NGORIKA, STEPHEN MBERESERO AFARIKI DUNIA..AGONGWA NA GARI AKIONGEA NA SIMU SEGEREA


Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Ngorika Bus service, yenye makao yake makuu Kisangara mkoani Kilimanjaro, bw. STEPHEN Mberesero amefariki dunia mjini hapa baada ya kugongwa na gari aina ya Land cruiser wakati akizungumza na simu.

ADHABU SABA KWA MAWAZIRI 5 WALIOKAIDI AGIZO LA MAADILI


Pamoja na mawaziri wa tano wa Rais John Magufuli kuwasilisha fomu za tamko la rasilimali na madeni na kiapo cha uadilifu kukwepa kihunzi cha kutumbuliwa majipu na bosi wao, vigogo hao wanabanwa na adhabu saba kwa kuvunja Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma namba 13 ya mwaka 1995, ikiwamo kushushwa cheo au kusimamishwa kazi.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliwaambia wanahabari jijini hapa jana kuwa viongozi wa umma wanaoshindwa kuwasilisha fomu hizo ndani ya siku 30 zinazotakiwa kisheria, hutakiwa kutoa maelezo na iwapo hayataridhisha mamlaka husika huchukua hatua za kinidhamu.

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI LIGI YA MPIRA WA KIKAPU - JUNIOR NATIONAL BASKET ASSOCIATION (JR.NBA)

 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  DK. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumzana na wadau mbilimbali wa mpira wa kikapu (NBA) juu ya Timu bora nane kutoka kila kundi zitakazofuzu kushiriki kweye ngazi ya mitoano  Oktoba 2016. Timu bora mbili kutoka kila kundi zitakutana kwenye michezo kuwania ubingwa ili kumpata Bingwa wa kwanza wa ligi ya mpira wa kikapu kwa vijana,  katika uzinduzi wa Ligi ya Mpira wa kikapu ya vijana,leo jijini Dar es Salaam.
 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  DK. Jakaya Mrisho Kikwete akizinduwa Ligi ya Mpira wa kikapu ya vijana (Junior NBA),leo jijini Dar es Salaam. 

TANZIA: AFISA UHUSIANO TTCL AFARIKI DUNIA

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Amanda Fredrick Luhanga. enzi za uhai wake

OFISA Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Amanda Fredrick Luhanga, amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia Jumamosi Februari 27, 2016. Taarifa ya kifo cha Bi. Amanda imethibitishwa na Meneja Uhusiano wa TTCL, Bw. Nicodemus Thom Mushi. "...Ni kweli, Bi Amanda amefikwa na umauti akiwa likizoni mkoani Mbeya alikokwenda kuwasalimu ndugu zake.. 
Aliugua ghafla Alhamisi hii na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa Mbeya hadi usiku wa kuamkia Jumamosi ambapo Mungu alimchukua," alisema Bw. Thom Mushi. Alifafanua kuwa mwili wa marehemu utasafirishwa siku ya Jumapili, kutoka Mbeya kwenda Njombe na Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Jumatatu tar 29.02.2016 katika Kijiji cha Mlangali, Ludewa, Mkoa wa Njombe. Mtandao huu unatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu Bi. Amanda Fredrick Luhanga kwa msiba mkubwa uliowafika. Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Apumzike kwa Amani.

NEW OFFICIAL VIDEO "KUBALI" KUTOKA KWA FUTURE JNL


Chungulia video yenye ubora  kutoka kwa kijana mkali wa bongo flava Future JNL wimbo "KUBALI". Uzuri wa video umeufanya wimbo huu upate kuzungumziwa sana hapa mjini bongo.

Barclays Bank to Exit African Business

By Mwakilishi 

Barclays PLC (BARC.L) Chief Executive Jes Staley has decided to shut the bank's operations in Africa, the Financial Times said on Friday, citing sources familiar with the matter.
The bank's board took the decision last week at a review led by Staley and plans to announce the exit on Tuesday, the FT said.
The board has appointed a subcommittee to study how and when to sell Barclays Africa (BGAJ.J), the FT said.
No comment was immediately available from Barclays.
Staley's review came after South AfricanPresident Jacob Zuma decided to change his finance minister twice in less than a week at a time when the economy is under severe stress.
Barclays' African business had 36 billion pounds of assets on a risk-adjusted basis and made a profit of 791 million pounds in the first nine months of this year, or 13 percent of the bank's core profits.
- Reuters

Survey: Kenya Ranked Third Most Corrupt Country in the World

By Mwakilishi 

Kenya is the third most corrupt country in the world. This is according to a survey on prevalence of economic crimes released in Nairobi yesterday by audit firm PriceWaterhouseCoopers (PwC).
According to the survey, Kenya only fared better than South Africa and France. The findings come a day after President Uhuru Kenyatta said Kenyans were experts in stealing, whining and perpetuating tribalism. The President said this while addressing Kenyans who live in Israel.
Similar views were expressed by Chief Justice Willy Mutunga during a newspaperinterview weeks before. The Chief Justice told Dutch newspaper NRC Handelsblad that Kenya had become a bandit economy where corruption pervaded all levels of society.
The audit firm found that Kenya beat the rest of the world in economic crimes  such as embezzlement, bribery and procurement fraud.
More worrying from thesurvey is the declining confidence in the ability of law enforcers to deal with these crimes.
"A worrying trend in thesurvey is the low levels of confidence in local law enforcement's ability to investigate and prosecute economic crimes," said PwC's Forensics Leader in Eastern Africa Muniu Thoithi.
The report comes amid growing public anger over the wanton theft of public resources following revelations over the loss of Sh791 million at the National Youth Service (NYS).
Before the NYS saga that has sucked in top government officials, the jury is still out on how the government spent the Sh250 billion it raised from the Eurobond.
Investigations have also been revived on the alleged role of Kenyan electoral officials in bribery by officials of a UK security printing firm to win printing contracts for 2013 General Election materials.
The crimes stray into other spheres. In the private sector, a clique of top managers of Imperial Bank are in court for allegedly stealing more than Sh34 billion from bank deposits.
In most cases of economic crimes, the perpetrators were mainly insiders, a fact that has now been confirmed by PwC's findings.
"Most economic crimes continue to be committed by internal fraudsters who were responsible for 70 per cent of the cases reported by Kenyan organisations," Mr Thoithi reported.
And last month, the CJ laid bare his frustrations in the fight against corruption in the Judiciary, saying the country was being run by criminal cartels working  with politicians.
"As long as I fight the cartels and they are protected, you cannot achieve anything. You are taking these people into a corrupt investigating system, through a corruptanti-corruption system, and a corrupt Judiciary," Dr Mutunga said.
On Tuesday, President Uhuru Kenyatta  appointed a tribunal to investigate bribery claims against Supreme Court Judge Philip Tunoi. The judge is alleged to have received Sh200 million to influence the outcome of an election petition.
Embezzlement was the most predominant economic crime in Kenya, the surveynoted.
Three out of four of the respondents in the PwC survey had encountered a case ofembezzlement — an indication of the level of theft by employees or State officials. Weak systems predispose Kenya's public resources to pilferage by government officials, as reported in the latest report of the Auditor General.
A rather shocking finding was that only one per cent of Kenya's national budget for the previous financial year had been properly accounted for.
This corruption cascades to all spheres of society. And while millions of ordinary citizens are starving, their elected representatives take every opportunity to raid the national kitty through dubious allowances, padded procurement and bloated mileage claims.
Anti-graft czar John Githongo last year decried the level of fraud in the country.
"This is the most rapacious administration that we have ever had. Corruption in Kenya has deepened and widened," said Mr Githongo.
His sentiments came months before the revelations of inflated procurement costs and outright theft in government came to the fore.
Half of Kenyan respondents in the PwC survey reported to have witnessed or given a bribe, in prevalence rates that are double the global average.
These high levels of corruption have been noted by  luminaries. During his trip to Nairobi in July last year, US President Barack Obama described Kenya's corruption levels as historical.
"It's clear we've reached a scale of looting that surpasses anything we've had in Kenyan history," Mr Obama said.
This theme was revisited by Pope Francis during his visit to Kenya in November last year. The Pope said corruption was a "cancer" and "a way of death" that was eating up the Kenyan society.
The PwC survey says rates of economic crimes in Kenya had dramatically risen to 17 per cent in just one year, catapulting the country to position three globally, seven percentage points behind South Africa.
Sixty-one per cent of the respondents from 99 organisations spanning different economic sectors said they had suffered some form of economic crimes in the last 24 months — a nine per cent increase from 2014s 52 per cent.
South Africa (69 per cent) and France (68 per cent) were the countries standing between Kenya and the dubious prize of the country with the highest score of economic crimes.
Zambia tied with Kenya at 61 per cent in a survey that saw all the four African countries surveyed feature among the top-ten countries. Nigeria was the fourth African country in the survey.
And in a foreboding statistic, Kenya  topped the list of countries where respondents had little faith in their law enforcement agencies. Seventy-two per cent of respondents said that their law enforcement agencies were not well equipped to combat what is fast turning into a national crisis. This was against the globalaverage of 44 per cent.
Most organisations would rather discipline the culprit internally with the eventual sanction losing their jobs, it was noted.
The most prevalent form economic crime in the country is asset misappropriation which involves the theft or embezzlement of company assets by directors, trustees or employees. This remains unchanged for the last eight years.
And 72 per cent of respondents reported having experienced this form of economic crime in the last 24 months. Even more disquieting, 68 per cent of the respondents expressed fear that they would experience asset misappropriation in the next 24 months.
The evidence of such crimes is overwhelming. Retail store Uchumi Supermarkets and the dissolved Imperial Bank and Dubai Bank  are some of the Kenyan firms which have been rocked by this vice with former directors or managers being accused of embezzlement.
The second most prevalent form of economic crime in the country is bribery and corruption, with 47 per cent reporting having experience the vice in the last 24 years.
According to the survey 61 per cent of respondents believe that corruption and bribery were likely to occur in their organisations in the next 24 months. Only 46 per cent believe that the top level management perceives bribery as an illegitimatepractice. "This indicates that the mindset of individuals within the organisations needs to be changed," says the survey.
Procurement fraud, especially at the initial bidding stage, was the third most prevalent economic crime in the country with 37 per cent of respondents saying they experienced it in the last 24 months. The report noted that corruption and bribery and procurement fraud in Kenya are "usually in tandem".
Accounting fraud, in which books of accounts are cooked, and cybercrimes were the fourth and fifth most prevalent forms of economic crimes respectively.
The profile of the typical culprit is that of a 21 to 30 year old well-educated male employee. 
"Investing in systems to combat economic crimes needs to go hand in hand with investing in the people that are entrusted with the assets and systems in these organisations," said Thoithi.
- standardmedia.co.ke