TANZIA: MMILIKI WA MABASI YA NGORIKA, STEPHEN MBERESERO AFARIKI DUNIA..AGONGWA NA GARI AKIONGEA NA SIMU SEGEREA


Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Ngorika Bus service, yenye makao yake makuu Kisangara mkoani Kilimanjaro, bw. STEPHEN Mberesero amefariki dunia mjini hapa baada ya kugongwa na gari aina ya Land cruiser wakati akizungumza na simu.

No comments:

Post a Comment