Mbowe apinga wawekezaji kunyang'anywa viwanda

By Peter Elias, Mwananchi

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema Serikali haiwezi kujenga viwanda pekeyake bila kuihusisha sekta binafsi ambayo ndiyo mdau mkuu katika uwekezaji nchini.

Mbowe amepinga kusudio la Rais John Magufuli kuwanyang'anya wawekezaji viwanda walivyobinafsishiwa kwa madai kwamba Serikali ilitakiwa kutafuta chanzo cha kufungwa kwa viwanda hivyo kabla ya kufikia uamuzi wake.

Mwenyekiti huyo amebainisha sababu mbalimbali zilizofanya viwanda hivyo visifanye kazi kuwa ni pamoja na kutopatiwa ruzuku na Serikali, teknolojia ya zamani ya viwanda hivyo na wakati viwanda hivyo vinajengwa kulikuwa na mfumo hodhi wa soko.

"Hakuna mfanyabiashara duniani àmbaye atapewa kitega uchumi kinachozalisha halafu akakifunga. Hayupo!" amesema Mbowe.

Amesema Rais Magufuli hana mapenzi na sekta binafsi kwa kuwa anaamini kwamba kila mtu aliye kwenye sekta binafsi ni "mpiga dili."

Mbowe Aitaka Serikali Iweke Hadharani ripoti zote mbili za madini ili Kila Mtu Azisome

Serikali imetakiwa kuweka hadharani ripoti zote mbili za madini zilizoandaliwa na kamati zilizoundwa na Rais John Magufuli kuchunguza uendeshaji wa sekta ya madini nchini.

Hayo yamesemwa jijini dar es Salaam leo na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, katika mkutano na vyombo vya habari ambao ulijikita kuelezea masuala ya uchumi.

Mbowe amesema Tanzania imegeuka kituko baada Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuipatia kampuni ya Acacia ankara ya malimbikizi ya kodi yanayozidi Sh400 trilioni.

"Serikali iziweke hadharani ripoti zote za madini ili kila mtu asome na kujua kuna nini kwenye ripoti hizo. Kiasi cha kodi wanachodaiwa Acacia ni bajeti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 20. Hiki ni kituko," amesema.

Mbowe amesisitiza kwanza chama chake ndicho kilikuwa cha kwanza kudai mabadiliko katika sekta ya madini lakini kile kilichofanywa na serikali hakilingani na mabadiliko ambayo waliyapendekeza.

Google to Train Kenyans on Online Skills

Google to Train Kenyans on Online Skills

COMMENT1
FACEBOOKTWITTERLINKEDINWHATSAPP
Alphabet’s Google Chief Executive Officer has announced plans to train Kenyans to equip them with online skills over the next five years in a program aimed at making them more employable.
The US-based technology giant said that it will train 10 million People in Africa with online skills and a further 100,000 as software developers in Kenya, Nigeria and South Africa.
The new pledge marks an expansion of a program it launched in April, 2016 to train young Africans in digital skills and has already reached its initial target of training 1 million people.
“The company is committing to prepare another 10 million people for jobs of the future in the next five years,” Google Chief Executive Sundar Pichai told a company conference in Nigeria’s commercial capital, Lagos.
The training will be carried out in Swahili, Hausa and Zulu languages as Google endeavors to ensure at least 40 percent of those trained are women.
Google said it will also provide over $3 million in equity-free funding, mentorship and working space access to more than 60 African startups over three years

Kenyan-Made New Mobius Car Model to Cost Sh1.3 Million


John Wanjohi  Fri, 07/28/2017 - 22:26  881 views 2 comment
Kenyan-Made New Mobius Car Model to Cost Sh1.3 Million

COMMENT2
FACEBOOKTWITTERLINKEDINWHATSAPP
Kenyan car manufacturer Mobius Motors has announced it will be launching a second and improved model vehicle that will retail at around Sh1.3 million including Value Added Tax (VAT), raising the price from Sh1.1 million for its first make, unveiled in 2014.
Mobius said that potential buyers of the rough-terrain Mobius II model can make a reservations deposit of Sh50,000, which will be refundable in case the buyer changes their mind about purchasing it.
The automaker did not however disclose when the first unit of Mobius II will hit the market.
Mobius said that the new model will have power steering, sealed side windows, lockable doors, a higher ground clearance, an improved exterior and interior design, features that were absent in their first model.
“Designed with local road conditions in mind, the new Mobius II combines the core performance of an off-road car to cover long distances on all roads reliably and comfortably,” a letter sent to a prospective buyer read in part.
The manufacturer is targeting small and mid-sized enterprises (SMEs) in agribusiness and infrastructure as their main clients.

WAKILI WA LISSU, FATMA KARUME AMBURUZA KORTINI ASKARI POLISI ALIYEMSHIKA MKONO MAHAKAMANI, ANADAI FIDIA YA BILIONI MOJA

Wakili wa Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Fatma Karume amefungua kesi ya madai Mahakama Kuu ya Tanzania dhdi ya Inspekta wa Polisi Eugene Mwampondela wa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es salaam.

Fatma amesema kuwa Inspekta Mwampondela alimshika mkono na kumvuta kwa nguvu hali iliyomsababishia maumivu makali, hivyo anadai alipwe kiasi cha shilingi bilioni moja kwa kosa la kumwingilia mwilini mwake na kumbughudhi kwa kumzuia kufanya kazi yake.

“Aliniambia kuwa ameagizwa na wakubwa kutoka juu, hivyo namfikisha mahakamani ili amweleze jaji ni nani aliyemtuma, na mimi sitaki kushikwa shikwa mwili wangu kwa hiyo naomba anilipe shilingi bilioni moja ili liwe fundisho kwa wengine,”amesema Fatma.

ARE YOU READY TO SHIP WITH US?


We Are Making Pick Up Arrangements..... Limited Space Is Available, So Book NOW

Everything Will Arrive 🇹🇿Bongo By The End Of Sept 2017 ( ceteris paribus )…. *Go Shopping, Because Next Containers( Early Sept) Are Perfect To Send Some Christmas 🎁Gifts* ... #UsisemeSijawashiTua!

Kindly Share These Amazing 🆕s To Families, Friends & Others Especially In Your WhatsApp Groups!
Any ❓, Tupigie Or WhatsApp Us!

Rgds,

Pio Waricoy
AllAfrika Logistics llc
+1-240-552-4870 *WhatsApp*

Darasa la saba 400 kuondolewa kazini Morogoro

Zaidi ya Wafanyakazi 400 wa Serikali wanatarajia kuondolewa kazini mkoani Morogoro kutokana na kushindwa kujiendeleza kielimu baada ya kuajiriwa miaka 13 iliyopita wakiwa na vyeti vya elimu ya msingi.
Watumishi hao ambao wengi wao ni wauguzi, wahudumu wa afya, madereva, wahudumu wa ofisi, watendaji wa mitaa, vijiji na kata tayari wamenyimwa mishahara yao ya mwezi huu.
Akizungumzia zoezi hilo aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Kimamba wilayani Kilosa, Mashaka Motile amesema katika wilaya hiyo watumishi zaidi ya 80 wamenyimwa mshahara bila maelezo yoyote na walipofuatilia ndipo walipofahamishwa kuwa walipewa muda wa kujiendeleza na wameshindwa kufanya hivyo.
“Hakuna barua yoyote tuliyopewa ya kusimamishwa kazi ila mshahara wa Julai hatujapewa na tulipofuatilia tuliambiwa kuna waraka wa Serikali unaosema wale wote walioajiriwa kuanzia mwezi Mei 20, 2004 wakiwa na elimu ya msingi na wameshindwa kujiendeleza wanatakiwa kuondolewa,” amesema.
Motile anasema yeye na baadhi ya watendaji wengine walisimamishwa kazi kimakosa kwani agizo linasema wasimamishwe kazi walioajiriwa kuanzia Mei 20, 2004 lakini wao waliajiriwa Mei Mosi, 2004.

The Good Father - Joel Osteen


NDUGU WA MAREHEMU WANATAFUTWA

Mwenye picha katika kitambulisho hapo juu ni Bi. Loveness Herman (69), Mbelgiji mwenye asili ya Tanzania ambaye alifariki huko Liege, Ubelgiji tokea tarehe 18 Mei 2017. Marehemu Loveness Herman kabla ya kuhamia Ubelgiji na kuchukuwa uraia wa nchi hiyo katika miaka ya 1980 alikuwa akiishi Dar es Salaam. Tokea alipohamia Ubelgiji, Marehemu alikuwa akiishi peke yake na hakuwahi kupata mtoto. Kwa taarifa hii, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kupitia Ubalozi wake wa Brussels inawatafuta ndugu zake ili iwape taarifa kamili za msiba huo

Kwa maelezo zaidi piga simu katika namba hii +3226406500 au
barua pepe brussels@nje.go.tz.

Tundu Lissu: Nitanyamaza Nikifa

Mwanasheria  Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusema kuwa atanyamaza tu baada ya kufariki dunia.

Lissu ambaye pia ni Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alipata dhamana jana baada ya mahakama hiyo kubaini hoja za Serikali za kumnyima haki hiyo hazina mashiko.

Baada ya kutoka mahakamani, alikwenda katika ofisi za Chadema zilizopo Kinondoni, ambako pamoja na mambo mengine, alisema ataendelea kuikosoa Serikali hadi pale atakapokufa.

“Hakuna gereza litakalotunyamazisha, watu wakipelekwa mahabusu watazungumza wakiwa mahabusu, wakifungwa watazungumza wakiwa kifungoni, hivyo ili wanyamaze itabidi kwanza wafe… tutanyamaza tukiwa wafu kwa sababu wafu hawasemi,” alisema.

KICHUPA CHA LEO YOUNG KILLER MSODOKI FT HARMONIZE - UNAIONAJE (OFFICIAL VIDEO)

Korti yamuachia Lissu kwa dhamana

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu
By Tausi Ally, Mwananchi

Dar es Salaam. Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amepata dhamana baada ya ombi la mawakili wa Serikali la kuomba Mahakama imnyime haki ya kudhaminiwa kutupiliwa mbali na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ametoa uamuzi huo leo, Julai 27 akimtaka Lissu kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambapo kila mmoja atasaini bondi ya Sh10 milioni.

Pia, amemtaka asitoke nje ya Jiji la Dar es Salaam bila ya kuwa na kibali cha Mahakama.

Hakimu ameahirisha kesi hiyo kwa muda kusubiri wadhamini. Kutokana na ulinzi kuimarishwa mahakamani hapo watu wengi walizuiwa getini.

Julai 24, jopo la mawakili wanne wa Serikali, Kishenyi Mutalemwa, Simon Wankyo, Paul Kadushi na Tulumanywa Majigo waliwasilisha hoja mahakamani hapo wakiomba Lissu anyimwe dhamana.

Jopo la mawakili 18 wanaomtetea Lissu, likiongozwa na Fatma Karume na Peter Kibatala liliomba mteja wao apewe dhamana.

Katika shauri linalomkabili, Lissu anadaiwa Julai 17 eneo la Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, Dar es Salaam alitoa maneno ya uchochezi kuwa, 'Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli ni ya kibaguzi wa kifamilia, kikabila, kikanda na kidini.'

AIR FRANCE RESUMES OPERATIONS TO NAIROBI AFTER 18-YEARHIATUS


Air France Resumes Operations to Nairobi after 18-Year Hiatus

COMMENT0
FACEBOOKTWITTERLINKEDINWHATSAPP
Air France has announced that it will be resuming operations between Paris and Nairobi beginning March next year, marking the end of an 18-year hiatus.
The new move by the international airline further signals the rising travel demand on routes connecting the Kenyan capital to global cities. The return is likely to bring to an end the airline’s reliance on code-shared flights with its partners for the route to Kenya’s capital.
Air France halted its operations to Kenya on March, 2000 and will now operate three flights per week for the route, deploying a Boeing 787-9 aircraft.
“Air France in summer 2018 season plans to resume service to Kenya, as the Skyteam member schedules Paris CDG — Nairobi operation. From 25 March 2018, Boeing 787-9 aircraft will operate this route three times a week. Reservation for this route opened late last week,” the company said in a notice.
Kenya has seen a resumption of operations by several major global carriers in recent years in a sign of increased passenger demand. Lufthansa and Air India are some of the airlines who re-launched their flights to Kenya as a result of increased travel demands. Dutch-based charter airline TUI Netherlands last week said it would resume operations to Mombasa in November, three years after suspending the service due to insecurity

VIDEO: Alichozungumza mke wa Lissu baada mume wake kukosa dhamana

Breaking News: Tundu Lissu Afikishwa Mahakamani

Siku 4 baada ya kukamatwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam na kuwekwa mahabusu,  Rais wa Chama cha Mawakili na Mbunge wa CHADEMA, Tundu Lissu leo July 24, 2017 amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uchochezi. Tundu Lissu alikamatwa July 20, 2017 akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akielekea Rwanda kwenye mkutano...
Read More

Joh Makini Ft Davido - Kata Leta (Official Music Video)

FULL VIDEO- TUNDU LISU AMUITA RAIS MAGUFULI DIKTETA UCHWALA

Msigwa: Nchi inapita katika kipindi kigumu


By Elias Msuya, Mwananchi; emsuya@mwananchi.co.tz

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu utawala wa awamu ya tano. Wakati baadhi wakiupongeza kwa utendaji mzuri na mapambano dhidi ya ufisadi, wengine, hasa vyama vya upinzani, wanaulaumu kwa kukandamiza demokrasia.

Hivi karibuni gazeti hili lilifanya mahojiano na mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ambaye pamoja na mambo mengine ameukosoa akisema Tanzania inapitia katika kipindi kigumu kulioko wakati mwingine wowote kutokana na jinsi utawala wa sasa unavyoendesha mambo. Endelea.

Swali: Unaonaje hali ya siasa nchini kwa sasa?

Jibu: Kwa mtazamo wangu wa kisiasa ambao pia naamini ni mtazamo wa chama (Chadema), nchi inapita katika wakati wa aina yake tangu mfumo wa vyama vingi umeanza katika nchi hii.

Alichokizungumza Tundu Lissu baada ya kupata dhamana

Wanasheria watoa tamko kukamatwa kwa Lissu

Wanasheria watoa tamko kukamatwa kwa Lissu

Vyama vitatu vya wanasheria Afrika vimetoa tamko la pamoja kulaani kukamatwa kwa Rais wa Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), Tundu Lissu alipokuwa akielekea Kigali, Rwanda kwenye mkutano wa wanasheria wa Afrika Mashariki.
Tamko hilo limetolewa kwa pamoja na Chama cha wanasheria cha Afrika Mashariki (EALS), Chama cha Wanasheria cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-LA) na Muungano wa Wanasheria Afrika (PALU).
Tamko hilo lililosainiwa na Rais wa PALU, Elijah Banda, Rais wa Sadc LA, James Banda na Rais wa EALS, Richard Mugisha limeeleza kwamba Lissu alikamatwa kabla ya kukamilika kwa uchunguzi wa tuhuma dhidi yake , jambo ambalo ni kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria nyingine za kimataifa.
Muungano wa vyama hivyo umebainisha wazi kwamba mfululizo wa matukio hayo ni mwanzo wa kuzorota kwa uhusiano kati ya TLS na serikali ya Tanzania.

Bless Your Enemies - Joel Osteen


Uganda Arrests Opposition Activists

VOA News 23 hours ago