Msigwa: Nchi inapita katika kipindi kigumu


By Elias Msuya, Mwananchi; emsuya@mwananchi.co.tz

Kumekuwa na maoni tofauti kuhusu utawala wa awamu ya tano. Wakati baadhi wakiupongeza kwa utendaji mzuri na mapambano dhidi ya ufisadi, wengine, hasa vyama vya upinzani, wanaulaumu kwa kukandamiza demokrasia.

Hivi karibuni gazeti hili lilifanya mahojiano na mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ambaye pamoja na mambo mengine ameukosoa akisema Tanzania inapitia katika kipindi kigumu kulioko wakati mwingine wowote kutokana na jinsi utawala wa sasa unavyoendesha mambo. Endelea.

Swali: Unaonaje hali ya siasa nchini kwa sasa?

Jibu: Kwa mtazamo wangu wa kisiasa ambao pia naamini ni mtazamo wa chama (Chadema), nchi inapita katika wakati wa aina yake tangu mfumo wa vyama vingi umeanza katika nchi hii.

No comments:

Post a Comment