JALADA KESI YA NIDA LIPO KWA DPP

JALADA KESI YA NIDA LIPO KWA DPP

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa jalada la kesi  ya uhujumu uchumi na kusababisha hasara ya bilioni 1.16 inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA), Dickson Maimu na wenzake lipo kwa  (DPP)

Mwendesha Mashtaka wa Takukuru, Leonard Swai, amesema kuwa, jalada hilo liko kwa DPP kwa ajili ya kufanyiwa tathmini ya upelelezi uliofanyika

Hakimu Mkazi Mkuu, Respicius Mwijage  ameiahirisha kesi hiyo hadi Aprili 20,2017 kwa ajili ya kutajwa. 

Maimu anashtakiwa pamoja na  Meneja Biashara wa (NIDA), Avelin Momburi na Mkurugenzi wa TEHEMA, Joseph Makani.

Wengine ni Mhasibu Mkuu wa NIDA, Benjamin Mwakatumbula, Mkurugenzi wa Kampuni ya Aste Insurance Brokers,  Astery Ndege, Ofisa Usafirishaji, George Ntalima, Mkurugenzi wa Sheria, Sabina Raymond na Xavery Kayombo.

Wanakabiliwa na tuhuma za kutumia madaraka vibaya, kula njama, kutumia nyaraka za uongo kumdanganya mwajiri na kuisababishia Serikali hasara ya milioni 1,169,352,931.

 Maimu na Mwakatumbula wanadaiwa kutumia madaraka yao vibaya kati ya  Januari 15 hadi 19,  mwaka 2010 katika makao makuu ya NIDA   wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Wanadaiwa kuidhinisha malipo kwa Gotham International Limited (GIL) ya Dola za Marekani 2,700,00 bila ya kutumia viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vilivyowekwa na BOT.

Aidha wanadaiwa kuidhinisha malipo ya USD 1.8 kwa  GIL bila kuzingatia viwanjo vya fedha.


Ilidaiwa kuwa, Juni 20, 2014, waliidhinisha USD  675,000 kwa GIL bila ya kuzingatia viwango vya kubadilisha fedha, hivyo kuifanya kampuni hiyo kupata faida ya Sh 42,471,000.

Kenyans protest Magufuli order to deport foreigners, block Namanga border


tz
PHOTO:Kenyans during a demonstration at the Namanga border against the deportation of their counterparts from Tanzania, March 27, 2017. /KURGAT MARINDANY
 




By:
KURGAT MARINDANY 
Posted:
Mar,27-2017 13:51:38
 
Kenyans in Namanga demonstrated against Tanzanian leader John Magufuli on Monday saying he had deported their counterparts.
They paralysed transport by blocking the Kenya-Tanzania border road at Namanga and stormed businesses owned by Tanzanians.
They rounded the foreigners up and frog-marched them across the border to their country: Many from Magufuli's country claimed they lost their stock and money.
Tanzanian barmaids working in Kenyan clubs were roughed up and their mobile phones taken away.
Businesses on the Kenyan side remained closed until after midday.
The Star reported in January that Tanzanian authorities were targeting Kenyans living in their country illegally.
Several Kenyans, including those who were born in Tanzania before independence, have been told to leave if they cannot provide documents validating their stay.
Others were born by Kenyan parents living in Tanzania in the early 1960s and have no other links.
Samuel Ngeselai was forced to flee Longido district in Tanzania and move to Kenya, leaving his children and wife of 30 years across the border. He is now stateless.
Ngeselai said his grandfather, a Mau Mau activist who escaped to Tanzania early in the 1950, died there.
His mother is bedridden and still living in Tanzania.
Kajiado county commissioner Harsama Kello said the demonstrations began at the border after Tanzanian authorities arrested three Kenyans last Friday and arraigned for being in the country illegally.
"Countries carry out routine checks. Our people should respect the law and ensure they have valid immigration documents while in foreign countries," Kello said.
The commissioner said a contingent of security personnel was sent to the border to end the protests. He said two weeks ago that the situation was under control.
As Kello addressed journalists, a group of Kenyans was seen destroying Kenya Power transformers to cut off the link with Tanzania. Police watched as they vandalised the transformers.
He added that top officials from the immigration department and local police officers were in a closed-door meeting in Namanga on restoring normalcy.
The Tanzanian High Commission in Nairobi denied that Operation Timua Wageni is a move to free up jobs for locals.
The High Commission told the Star that the exercise that began in January is routine enforcement of the Tanzanian Immigration Act of 1995 and does not target any nationality.
"What I can tell you is that this is not something new. It has always been there," said an official who did not want to be identified because of lacking authority to speak to the press.
The Tanzanian government launched a crackdown on foreign nationals who do not have both work and residence permits.
Only 680 foreigners have work permits, according to the country's immigration department, while only 66 have applied for residence permits.

Kenyan Doctors Granted Temporary Order Stopping Hiring of 500 Tanzanian Medics

Kenyan Doctors Granted Temporary Order Stopping Hiring of 500 Tanzanian Medics

The labor court on Friday issued an order that stops the government from hiring 500 medics from Tanzania to address labor shortage in the field.
The court issued the order following an application by the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) opposing the move by the government, arguing that there are 1,400 Kenyan doctors who are currently unemployed.
"It would be very costly and therefore a show of imprudent public finance management to have 500 Tanzania doctors at Sh20,000 per day,” KMPDU secretary general Ouma Oluga said.
The restraining order will stay in effect until the case filed by KMPDU is heard and determined. The case will be mentioned on April 19th.

Afikishwa Mahakamani Kwa Kusambaza Picha za Uchi


Mkazi wa Tazara Magorofani, Shaban Biro (47), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala , kujibu shtaka la kusambaza na kuonyesha picha za utupu katika mitandao ya kijamii. Biro (47), alifikishwa mahakamani hapo leo na kusomewa shtaka hilo mbele ya Hakimu Mkazi Flora Mjaya. Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Glory Mwenda, alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa Machi, 2016 mtaa...
Read More

Kichupa cha leo Meda Feat Timbulo|Sidhani|Official video

It’s not just a rapper’s arrest that should raise alarms about authoritarianism in Tanzania


March 29, 2017 at 6:00 AM
A man in Arusha, Tanzania, reads the daily newspaper “The Citizen,” which has a headline referring to the dismissal of the Tanzanian information minister after he criticized an ally of the president. (AFP/Getty Images)
A popular rapper was arrested and then released this weekend in Tanzania for releasing a song that criticized President John P. Magufuli. In the track, rapper Nay wa Mitego asks whether freedom of expression still exists in Tanzania, calls out the double standard in holding public officials accountable, and wonders whether the president considers himself Jesus Christ’s relative.
Although Mitego’s arrest has raised alarms about declining rights and civil liberties in Tanzania, it fits a larger pattern of the president ruling with impunity. After the elections in late 2015, Ruth Carlitz and I warned that Magufuli’s regime leaned toward authoritarianism.
Just last week, the president fired his information minister, Nape Nnauye. The move was in response to Nnauye’s defense of a local media firm, Clouds FM. Clouds FM operates a TV station where the regional commissioner of Dar es Salaam, Paul Makonda — accompanied by armed special police and soldiers — demanded they air a segment discrediting a popular local evangelist preacher, Josephat Gwajima.
Why is a public official out to discredit a preacher? Gwajima has accused Makonda of having fake education credentials and abusing his office’s power. Gwajima experienced this abuse of power firsthand, having been accused — and later cleared — of being involved in illicit drug trade.
The president’s prerogative
The preacher has engaged in a sustained fight against Makonda in hopes of having Magufuli fire the overreaching head of Tanzania’s largest city. However, Magufuli seems to have a very close relationship with Makonda, having recently urged Makonda to ignore demands for his removal and to continue with his good work.
Magufuli’s support of Makonda and removal of Nnauye are two sides of the same dictatorial coin. Although Nnauye’s remarks after his removal were sanguine, he was making them just after armed security officers blocked his vehicle and pointed a pistol at him.
Of course, Nnauye is no hero. During the 2015 presidential campaign, it was Nnauye who argued that the ruling party would “score even by hand, as long as it is unseen by the referee,” using a soccer metaphor to say the ruling party would do whatever it takes to win. It was Nnauye who implemented the government’s policy to cease live broadcasting of parliamentary sessions on national television. Nnauye was also the steward of Tanzania’s media services bill, which many have argued restricts the media freedom that Nnauye championed this month and which led to his removal from government.
To be sure, the removal of cabinet ministers is common in Tanzania’s history. Tanzania’s second president, Ali H. Mwinyi, infamously fired his deputy prime minister, Augustine Mrema, on the eve of the country’s first multiparty elections in 1995, because of a disagreement between Mrema and Mwinyi regarding a corruption scandal. (Mrema later won more than a quarter of the votes in his presidential bid with an opposition party.)
Nevertheless, the removal of a cabinet minister, after a public official attempted to coerce a news media outlet through the barrel of a gun to air news to his liking, is unprecedented. Many rightly see this as a problematicdevelopment in Tanzanian politics.
Magufuli’s moral crusade
The silencing of critics in Tanzania is occurring amid a moral crusade by Magufuli’s administration. Makonda’s controversial anti-drug campaign that swept up preacher Gwajima is part of this crusade, as is last year’s ban by the government of popular sheesha-smoking and this year’s ban on sales of small sachets of liquor, popularly known as viroba.
There is also a continued campaign against homosexuality. As recently as February, Deputy Minister of Health Hamisi Kigwangalla threatened topublish a list of Tanzanians suspected of being gay.
Taken together, these incidents are consistent with the administration’s crusade to “clean” Tanzania of corruption and immorality.
Like other African countries, Tanzania has experienced a recent surge in evangelical Christianity. University of Pennsylvania political scientist Guy Grossman’s research shows that as the number of evangelical churches increases, so does the salience of LGBT politics. Likewise, University of Washington political scientist Sarah K. Dreier has associated contemporary homophobic policies in Africa to the legacies of missionaries and colonial policies as well as continued economic dependence on foreign aid from former colonial masters.
What does this all mean for Tanzania and the region?
Magufuli’s increasingly authoritarian rule benefits the region’s other strongmen. For example, Kenyan President Uhuru Kenyatta recently asked his Tanzanian counterparts for relief from a months-long doctors’ strike. The Tanzanian government has obliged by promising to send its neighbor more than 500 doctors, undermining the strike.
World Bank President Jim Yong Kim and Tanzania’s President John Magufuli wave during a ceremony where they laid the foundation stone for Ubungo overpass construction in Dar es Salaam, March 20, 2017. (Emmanuel Herman/Reuters)
Economists are still bullish about Tanzania’s economic prospects, and the World Bank has singled out the country to receive preferential scaled-up resources. Despite this positive economic outlook, however, others have been cautious and warn of investors leaving because of government intrusion in private business affairs.
Tanzanians are the third-unhappiest people in the world, behind Burundi and the Central African Republic — both countries with a history of civil conflict and sustained political and economic instability. This unhappiness may be a harbinger of discontent with the ruling party in the 2020 elections. Although Magufuli was recently reported to have high approval ratings, Africa’s longest-ruling party will have to mitigate Tanzanians’ unhappiness or face being removed from power through an opposition electoral victory.
Constantine Manda is a political science doctoral student at Yale University working on the political economy of development with a regional focus on Africa. Follow him on Twitter at @msisiri.

Facebook Launches Low-Cost Internet Service in Kenya

Facebook Launches Low-Cost Internet Service in Kenya

Facebook has launched low-cost internet service in Kenya. The US-based tech giant, through local partner Surf Kenya, plans to unveil the Express Wi-Fi service nationwide in the next few months.
the service, with speeds of up to 10Mbps, will be priced much lower than those offered by current service providers such as Safaricom and Airtel. 40 megabytes of data will cost Sh10 with 100 megabytes going for Sh20. In comparison, Safaricom charges Sh50 for 65 megabytes while Airtel charges Sh50 for 40 megabytes.
Monthly options are available at Sh200 for 1.25 GB and Sh500 for 3GB of data.
Internet users will need to activate wi-fi on their mobile and other internet devices, select 'Express Wi-Fi by Facebook' hotspot, then follow the registration prompts in order to register for the service.
Express Wi-Fi is already available in Nairobi and its surrounding satellite towns such as Ngong, Ruaka, Kiambu, and Thika with plans to expand nationwide in the next few months.
Facebook says the service is intended to reach millions of Kenyans who currently do not have access to affordable internet.

US College Confirms President Kenyatta Graduated from the Institution, Following Queries from Kenyans on Twitter

US College Confirms President Kenyatta Graduated from the Institution, Following Queries from Kenyans on Twitter

US College Confirms President Kenyatta Graduated from the Institution, Following Queries from Kenyans on Twitter
Following queries from Kenyans on twitter if indeed President Uhuru Kenyatta graduated from the institution, Amherst College in Massachusetts, USA responded with confirmation that the president was indeed one of its graduates in the class of 1985.
Amherst College shared a link on twitter listing Uhuru Kenyatta on its list of 1985 graduates, when he graduated with an undergraduate degree in Economics and Political Science.
Kenyans’ probe on the president was triggered by the ongoing queries on the education credentials of Mombasa Governor Hassan Joho. Joho, also an ODM Deputy Party Leader, is accused of presenting a fake KCSE result slip to gain admission into the University of Nairobi. He however denies the charge and terms it as a ploy by Jubilee to undermine his political ambitions.
Below are some exchanges between Kenyans and the administrator of the Amherst College twitter account:

Kenyan Female Student in India Pulled Out Of Cab, Assaulted

In the latest in a series of attacks on Africans in Greater Noida near Delhi, a young Kenyan woman was pulled out of an Ola cab and assaulted by a group of men last night. The attack took place at Knowledge Park, which is not far from the spot where African students have been targeted by mobs since Monday.
the woman was on her way to college when her cab was stopped by men who thrashed her and ran away. She is in hospital. This is third attack since Monday on African nationals in the sprawling township right next to Delhi.
In one attack on Monday evening, which has been caught on mobile video, a Nigerian student was beaten with steel dustbins, kicked and punched by a large mob inside the Ansal Plaza mall.
The attacks began with a protest march in Greater Noida over the death of a Class 12 student, Manish Khatri, which turned violent. The protesters alleged that Nigerians supplying drugs were the reason the boy died, although a drug overdose has not been confirmed. During the march, the protesters spotted three Africans near a shop and attacked them brutally using sticks and other weapons. The violence stopped only when policemen arrived and used batons.
Five suspects have been arrested and over 1,000 booked, say the police.
After these attacks, the police had promised security outside hostels and colleges where African students study.
The government called the attacks "deplorable" and assured Nigeria's Acting High Commissioner that all steps are being taken for the protection of their citizens in India.

Ujumbe wa Wazi wa Eric Shigongo kwa Diamond Platinumz Wazua Gumzo Mitandaoni

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Mhamasishaji na Mwandishi wa Vitabu maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo  amemwandikia ujumbe wa wazi mkali wa Afro Pop Barani Afrika, Diamond Platinumz umezua gumzo mitandaoni ambapo kila shabiki amekua akitoa maoni.
Katika ujumbe huo ambao Shigongo aliandika jana Machi 28 na kueleza kuwa ataendelea tena kuandika sehemu ya pili leo Machi, 29 kupitia Instagram yake, Shigongo ameandika hivi. 
========
MY CONFESSION

Malawi Yaichokonoa Tena Tanzania Kuhusu Ziwa Nyasa

Rais wa Malawi, Peter Mutharika ameanza tena chokochoko baada ya kutangaza kuwa hakuna nchi ambayo inamiliki kwa pamoja Ziwa Nyasa na kwamba haijafikia makubaliano na nchi yoyote, hivyo ameahidi kulinda umiliki na masilahi yake. Kauli hiyo ni tofauti na mazungumzo ya Mutharika na Rais John Magufuli yaliyofanyika Januari 30 jijini Addis Ababa, Ethiopia wakati walipokuwa wakihudhuria kikao cha...
Read More

KIWANDA CHA SARUJI MOSHI CHAFUNGWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Rombo Bi. Agness Hokororo mara baada ya kuwasili wilayani hapo kwa ziara ya kikazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba alipotembelea kiwanda cha saruji cha Moshi. Kiwanda hicho kimefungiwa baada ya kutotekeleza maagizo waliyopewa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Katikati ni Mwakilishi wa Kiwanda hicho Bi. Sophia na kushoto ni Dkt. Menan Jangu kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kaskazini.

Kichupa cha leo BillNass ft MwanaFA - Mazoea (Offcial Music Video)

MTANZANIA AFUNGUA DUKA LA NGUO ZA KITANZANIA NCHINI MAREKANI

Mtanzania Lilian Danieli mwenye kampuni yake ya NASHONA amefungua duka la nguo za Kitanzania Goldsboro jimbo la North Carolina nchini Marekani. Uzinduzi wa duka hilo ambalo lipo Center Street katikati ya mji huo wa Goldsboro ulifanyika siku Jumamosi March 25, 2017. Anuani kamili ya duka ni 119 Center Street, Goldsboro, NC na simu ya dukani ni 919 947 1273.

Katika duka hilo nguo mbalimbali vitenge toka Tanzania ikiwa asilimia 90 ameshona yeye mwenyewe na baadhi ya vingine kuja toka Tanzania. Duka litakua linafunguliwa siku ya Jumanne mpaka Jumamosi. Picha na Vijimambo Blog na Kwanza Production
Baadhi ya wateja waliokuwepo dukani hapo siku ya uzinduzi wa duka hilo Jumamosi March 25, 2017 Goldsboro, North Carolina nchini Marekani.
Lilian Daniel Kulia akikinja moja ya nguo zilizo nunuliwa na mmoja ya wateja wake siku ya uzinduzi wa duka lake la nguo za kiTanzania lililozinduliwa siku ya Jumamosi March 25, 2017.
Kushoto ni Serena Danieli akisaidiana na dada yake Imani Danieli katika kuhakikisha mahesabu ya duka yanaenda sawa.
Lilian Danieli akiwa na mmoja ya wateja wake akiwaonyesha nguo zake na kuwapa maelekezo.
Mmoja ya wateja akilipia kitu alichonunua.
Kwa picha zaidi bofya soma zaidi.

East Africa's oil ambitions depend on pipelines

The Salt Lake Tribune 

JINSI KERO MAJI INAVYOWATESA WANAWAKE KISHAPU- SHINYANGA



Mkazi wa kata ya Mwadui Lohumbo wilayani Kishapu akichota maji ya kunywa baada ya kufukua mchanga pembezoni mwa mto Tungu unaotenganisha wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu na Kishapu mkoa wa Shinyanga,mto huo ni tegemeo kubwa la wananchi wa wilaya ya Kishapu kutokana na uhaba wa maji.

Wakati nchi ya Tanzania ikiadhimisha wiki ya maji,imeelezwa kuwa wanawake wengi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta maji hivyo kushindwa kushiriki katika shughuli za maendeleo kikamilifu.
Wanawake hao wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kutafuta maji katika mto Tungu unaotenganisha wilaya ya Kishapu na Maswa mkoa wa Simiyu kabla na baada ya Uhuru wa Tanganyika mpaka sasa hali inayowafanya kuendelea kuwa tegemezi kwa wanaume.
Wakizungumza na waandishi wa habari waliotembelea wilayani humo wananchi wa vijiji vya Nyenze na Ng’wang’holo kata ya Mwadui Lohumbo wilayani humo walisema maji ni changamoto kubwa inayorudisha nyuma maendeleo ya wananchi kwani wanatumia muda mwingi kutafuta maji.
Walisema licha ya kuishi karibu na mgodi wa almasi wa Williamson wanalazimika kutembea umbali takribani kilomita tano kufuata maji katika mto Tungu unaotenganisha wilaya ya Kishapu na wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu.
Akielezea changamoto hiyo,mkazi wa kijiji cha Nyenze Agnes Daudi alisema akina mama ndiyo waathirika wakubwa kwani wamekuwa wakitumia muda wao mwingi kutafuta maji na mara nyingi huamka kila siku majira ya saa 11 alfajiri kwenda katika mto huo na kurudi nyumbani saa 4 asubuhi.
“Licha ya kutumia muda mwingi kufuata maji,hayo maji yenyewe ya mto Tungu siyo salama kwani yanatumiwa pia na wanyama kama fisi na watu wengi kijijini huwa hawachemshi maji wanakunywa hivyo hivyo”,alieleza Daudi.

Mkudesimba na Stan Bakora Ibadani kwa Askofu Gwajima leo

Unconditional Trust


U.S. embassies ordered to identify population groups for tougher visa screening


By
 Jambo
 -


0
2152
REUTERS
US Secretary of State Rex Tillerson has directed diplomatic missions to identify “populations warranting increased scrutiny” and toughen screening for visa applicantsin those groups, according to diplomatic cables seen by Reuters.
He has also ordered a “mandatory social media check” for all applicants who have ever been present in territory controlled by the Islamic State, in what two former US officials said would be a broad, labor-intensive expansion of such screening. Social media screening is now done fairly rarely by consular officials, one of the former officials said.
Four cables, or memos, issued by Tillerson over the last two weeks provide insight into how the US government is implementing what President Donald Trump has called “extreme vetting” of foreigners entering the United States, a major campaign promise.
The cables also demonstrate the administrative and logistical hurdles the White House faces in executing its vision.
The memos, which have not been previously reported, provided instructions for implementing Trump’s March 6 revised executive order temporarily barring visitors from six Muslim-majority countriesand all refugees, as well as a simultaneous memorandum mandating enhanced visascreening.
The flurry of cables to US missions abroad issued strict new guidelines for vetting US visa applicants, and then retracted some of them in response to US court rulings that challenged central tenets of Trump’s executive order.
The final cable seen by Reuters, issued on March 17, leaves in place an instruction to consular chiefs in each diplomatic mission, or post, to convene working groups of law enforcement and intelligence officials to “develop a list of criteria identifying sets of post applicant populations warranting increased scrutiny.”
Applicants falling within one of these identified population groups should be considered for higher-level security screening, according to the March 17 cable.
Those population groups would likely vary from country to country, according to sources familiar with the cables, as the March 17 memo does not explicitly provide for coordination between the embassies.
Trump has said enhanced screening of foreigners is necessary to protect the country against terrorist attacks.
Advocates and immigration lawyers said the guidance could lead to visa applicants being profiled on the basis of nationality or religion rather than because they pose an actual threat to the United States.
“Most posts already have populations that they look at for fraud and security issues,” said Jay Gairson, a Seattle-based immigration attorney who has many clients from countries that would be affected by Trump’s travel ban.
“What this language effectively does is give the consular posts permission to step away from the focused factors they have spent years developing and revising, and instead broaden the search to large groups based on gross factors such as nationality and religion.”
Virginia Elliott, a spokeswoman for the State Department’s Bureau of Consular Affairs, said the department was working to implement Trump’s presidential memorandum “in accordance with its terms, in an orderly fashion, and in compliance with any relevant court orders, so as to increase the safety and security of the American people.”
State Department officials declined to comment on the specifics of the cables, saying they were internal communications.