Ujumbe wa Wazi wa Eric Shigongo kwa Diamond Platinumz Wazua Gumzo Mitandaoni

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Mhamasishaji na Mwandishi wa Vitabu maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo  amemwandikia ujumbe wa wazi mkali wa Afro Pop Barani Afrika, Diamond Platinumz umezua gumzo mitandaoni ambapo kila shabiki amekua akitoa maoni.
Katika ujumbe huo ambao Shigongo aliandika jana Machi 28 na kueleza kuwa ataendelea tena kuandika sehemu ya pili leo Machi, 29 kupitia Instagram yake, Shigongo ameandika hivi. 
========
MY CONFESSION

No comments:

Post a Comment