Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 1 Januari 201

Friday, January 1, 2016

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2

Blog-pic-couple-cuddling-4441652 (1)Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza mwaka mwingine wa 2016. Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu makosa wanayoyafanya wanandoa wengi wawapo vyumbani na wenzi wao.Leo tunaendelea kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita.
2. KUWA BIZE NA SIMU AU TV MUDA WA KULALA
Utandawazi umekuja na mambo mengi, simu zenye intaneti (smartphones) zimegeuka na kuwa kero kubwa kwa wanandoa au wapenzi wanaoishi pamoja. Unakuta mume au mke, muda wa kulala ukifika, anapanda kitandani na simu yake.
Badala ya kuwa pamoja na mwenzi wako kwa mazungumzo ya hapa na pale, kubadilishana mawazo na kubembelezana wakati mkitafuta usingizi, unakuta mtu yuko bize na simu, mara aingie kwenye magroup ya WhatsApp, Instagram, Facebook au Twitter. Hakuna tabia inayoweza kukuweka mbali kihisia na mwenzi wako kama hii.
Wengine unakuta anapanda kitandani akiwa na laptop au anawasha TV ya chumbani na kuanza kuangalia movie au tamthiliya. Matokeo yake, unasababisha mwenzi wako akose usingizi mzuri na hata akipata, analala akijisikia vibaya kwa sababu anaona uwepo wake hauna maana yoyote kwa mwenzi wake.
3. KUWA ‘BUBU’ MKIWA CHUMBANI
Wapo baadhi ya wanandoa au wapenzi ambao wanapoingia chumbani, kila mmoja anajifanya kuchoka sana kiasi kwamba huyu anajitupa kitandani na kugeukia kule, huyu naye anageukia upande mwingine na muda mfupi baadaye, unasikia kila mmoja anakoroma.
Hakuna jambo linalonogesha mapenzi kama mazungumzo ya chumbani wanayoyafanya wanandoa au wapenzi kabla ya kupitiwa na usingizi, Wazungu wanaita ‘Pillow talks’.
Si vibaya kuzungumza na mwenzi wako kwa sauti ya kubembeleza, ukamuuliza jinsi siku yake ilivyokuwa, ukampa pole kwa majukumu ya kutwa nzima. Mazungumzo ya namna hii huwaweka karibu zaidi wanandoa kimwili na kihisia.
4. KUKOSA KAULI NZURI
Nimewahi kupata malalamiko kutoka kwa mdau mmoja ambaye alisema mwenzi wake amekuwa na tabia ya kumjibu kwa mkato, kumtolea lugha chafu au kumfokea hata katika muda ambao hakuna alichomkosea.
Matokeo yake, ule uchangamfu kati ya mtu na mwenzi wake unapungua na kuendelea kufifia kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele, baadaye unaanza kumuona mwenzio kuwa mtu wa kawaida, hisia za mapenzi zinapotea kabisa. Hata kama umejizoesha muda wote kuwa ‘serious’, jitahidi kufurahi na mwenzi wako japo kwa dakika chache kabla ya kulala, hii itaongeza ukaribu kati yenu.
5. KUKOSA USAFI WA MWILI
Baadhi ya wanandoa, wakishaanza kuishi maisha ya wawili, hujisahau hata katika yale mambo ya msingi yanayoweza kuboresha mapenzi. Unakuta mtu anapanda kitandani akiwa mchafu, mwili unatoa harufu za ajabu, kikwapa kinanuka, harufu kali inatoka mdomoni na vitu vya namna hiyo.
Unafikiri mwenzi wako atavutiwa kukumbatiana na wewe au kuzungumza kimahaba? Utakuwa kero kwake na atatamani kila mmoja angekuwa na kitanda chake. Kama wewe ni mwanamke, hakikisha ukishamaliza majukumu yako ya kutwa nzima, unatenga muda wa kuoga vizuri na kujipamba, kama una manukato huo ndiyo muda wake.
Itaendelea wiki ijayo.

Throngs usher in 2016 at bash in New York's Times Square

A child is lifted above the crowd during New Year celebrations in Times Square in the Manhattan borough of New York December 31, 2015. REUTERS/Andrew Kelly A child is lifted above the crowd during New Year celebrations in Times Square in the Manhattan borough of New York December 31, 2015. REUTERS/Andrew Kelly
http://www.msn.com/en-us/news/us/throngs-usher-in-2016-at-bash-in-new-yorks-times-square/ar-BBo5TdB?li=BBnb7Kz

Alabama steamrolls Michigan State 38-0 in Cotton Bowl

ARLINGTON, Texas – The only team to make a repeat trip to the College Football Playoff is heading to the title game.
Alabama flattened Michigan State 38-0 Thursday night in the Goodyear Cotton Bowl to set up a showdown with Clemson for the national championship on Jan. 12. It's the first shutout in over 50 years at the Cotton Bowl. The last team to shut out another was when LSU beat Texas 13-0 in 1963.
Thanks to a late second-quarter interception from Michigan State QB Connor Cook, Alabama headed into the halftime locker room with a comfortable 10-0 lead. Comfortable turned to insurmountable over the third quarter, as the Tide scored 21 points to snuff out any Michigan State hopes of a comeback.
Alabama cornerback Cyrus Jones made the lead 24-0 on a 57-yard punt return with 3:19 to go in the quarter. The Spartans responded with a three-and-out and rather than give the ball to Heisman Trophy winnerDerrick Henry, Alabama and offensive coordinator Lane Kiffin went up and over the Michigan State defense on the first play.
View photo
.
It worked. QB Jacob Coker found WR Calvin Ridley for a 50-yard touchdown in single coverage to make the lead 31-0. The toss was the second time Coker and Ridley connected for a touchdown. Coker found him for a touchdown on the first drive of the third quarter, a pass originally ruled incomplete. Upon review, it was apparent Ridley got a foot down in the end zone as he had wrestled the ball away from the Michigan State defender.
Coker finished the game 25-of-30 passing for 286 yards. It was easily his best performance of the season. Michigan State was hellbent on stopping Henry on the ground. And, for the most part, it did just that as Henry had 20 carries for 75 yards. But Coker found his receivers outside and over the Alabama defense time after time.
That comfortable 10-0 halftime lead could and should have been 10-3 or 10-7. After two great throws to put MSU to the Alabama 12 as the seconds wound down in the second quarter, Cook threw his next pass directly to Jones, who caught the ball at the Alabama 1 and returned it 21 yards. It soon became clear that the drive was Michigan State's last chance to assert itself as a contender for the game.
Still, there were likely some fretful Alabama fans at halftime. During the Sugar Bowl in last season's College Football Playoff semifinal, the Tide saw a 21-6 lead evaporate against another Big Ten team. Ohio State came back to win the game 42-35 and prevented Alabama from a trip to AT&T Stadium, where Thursday's Cotton Bowl was played, for the title.
But the third quarter proved there would be no title game denial Thursday night. And the Tide's win sets up a matchup between the CFP's top two teams, and possibly the best two defensive lines in college football. Alabama's defense smothered Michigan State's rushing attack and didn't give Cook any time to throw while Clemson wreaked havoc with Oklahoma's offensive line earlier in the day in the Orange Bowl.
For more Alabama news, visit TideSports.com.
For more Michigan State news, visit SpartanMag.com.

DALILI ZA KISUKARI NA JINSI YA KUJIKINGA NACHO.

KISUKARI ni moja ya magonjwa yanayoathiri watu wengi siku hizi nchini mwetu na hata nje. 

Kati ya hao, wengi huishi na ugonjwa huo kwa muda mrefu na kuja kugundua kwamba wana 
kisukari baada ya muda wa kama miaka mitano hivi, baada ya mwili kuanza kuonesha dalili kuu za kisukari. 

Ndani ya kipindi hicho cha miaka mitano, tayari mwili unakuwa umepoteza baadhi ya uwezo wake katika macho, figo, fizi na neva za fahamu. Kisukari hakina dawa ya kutibu kabisa, bali vipo vichocheo (hormone) na dawa zinazosaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.


Je, vipi mtu aweza kutambua kuwa na kisukari mwilini? Zipo dalili kadhaa zinazotokea kwa 
wenye kisukari. Baadhi ya hizo ni kiu ya maji isiyoisha, njaa kali, kwenda haja ndogo mara kwa mara na vidonda au michubuko kuchukua muda mrefu kupona. 

Nyingine ni ngozi kuwa kavu na kuwasha, mgonjwa kupoteza uzito bila sababu, kuwa na ukungu machoni, kuchoka kusiko kwa kawaida, hisia kupungua katika vidole na viganja 
mikononi na miguuni na kuwa na ukungu katika fizi, ngozi na kibofu cha mkojo. 

Hatua za mwanzo za kisukari huwa na dalili chache sana, hivyo inawezekana kabisa mtu asifahamu kuwa ana kisukari, ingawaje madhara yanaweza kuwa yameshatokea katika macho, figo na mfumo wa usukumaji damu mwilini. 

Watu wengi wanaopatwa na kisukari huangukia katika makundi ya wenye umri unaozidi miaka 30, uzito mkubwa na uzito uliokithiri (uwiano kati ya uzito na urefu zaidi ya 25 na 30), 
kadhalika, watu wasiofanya shughuli za kuupa mwili mazoezi huwa katika hatari hiyo, kama 
ilivyo kwa wale wanaozaliwa katika familia ambayo mmoja kati ya wanandugu wa karibu ana kisukari. Mwanamke kujifungua mtoto mwenye uzito wa zaidi ya kilo nne na aliyekuwa na kisukari cha ujauzito anaangukia pia kwenye kundi hilo, sawa na wale wanaokuwa wamepata ajali na kuumia sehemu za tumboni au kula chakula chenye sumu ambacho kinaweza kuumiza 
kongosho. 

Upo umuhimu wa kupima kisukari mapema basi, ili kuepuka mtu kuishi nacho kwa muda mrefu pasipo kujua, na kusababisha madhara kusambaa mwilini na kumwathiri mwathirika. 
Ni muhimu kuzingatia mazoezi, uzito, lishe na ushauri wa wataalamu wa afya, kwa sababu husaidia kupunguza makali na madhara yatokanayo na kisukari. 

Watu wenye kisukari wapo katika hatari zaidi ya kupatwa na magonjwa ya moyo, kiharusi, matatizo na kuharibika kwa kibofu cha mkojo, shinikizo la juu la damu, upofu, kufa neva za fahamu, uharibifu katika fizi na ugonjwa wa fangasi. 

Mtu anapokuwa na kisukari, mzunguko wa damu miguuni hupungua na hii ndiyo sababu kubwa ya kufa kwa neva za fahamu na hivyo mtu kukosa hisia katika eneo hilo la mwili. 
Matokeo ya hali hiyo ya kutohisi punde mtu anapodhurika na kusababisha kidonda ambacho mara nyingi mhusika anakuwa hafahamu hadi anapofahamishwa na mtu wa karibu au atakapokagua miguu yake. 

Hii ndiyo sababu kubwa ya watu kushauriwa kukagua miguu yao kila siku kabla ya kulala kuona kama kuna mchubuko wa aina yoyote au ukucha unaoweza kuchimba ngozi. Kutokuzingatia masharti ya kujikagua huweza kusababisha kidonda kukua, kutotibika na hatimaye mgonjwa kuishia kupoteza kidole, unyayo au hata mguu. 

Vile vile, kutokuzingatia masharti ya kujua kiwango cha sukari mwilini huweza kusababisha mtu akapoteza fahamu kutokana na mwili kuzidiwa sukari asidi (diabetic ketoacidosis), na hii huweza kusababisha kifo mara moja. 

Mgonjwa anaweza kuzuia madhara yatokanayo na kisukari kwa kuzingatia maelekezo, masharti na ushauri wa wahudumu wa afya, hasa kuhusu chakula na mazoezi na maelekezo ya utumiaji sahihi wa dawa au insulin. 

Mgonjwa hatakiwi kuvuta sigara, awe anapima kiwango chake cha shinikizo la damu mara kwa mara na kuhakikisha kiwango chake cha lehemu kipo katika uwiano unaotakiwa. Takwimu zinaonesha kuwa uzingatiaji wa hayo yaliyotajwa umesaidia watu wengi kupunguza madhara 
ya kisukari kwa asilimia 75. 

Lishe mahsusi kwa mtu mwenye kisukari ni mlo wenye kiwango kidogo sana cha mafuta, kiwango kidogo cha chumvi na kiwango kidogo cha sukari. Mlo uwe na mchanganyiko wa 
nyuzinyuzi kama vile dona (unga wa mahindi yasiyokobolewa), nafaka, tambi, ndizi za kupika, mtama, uwele nk. 

Vile vile matunda machachu na mboga za majani zilimwazo na zile za porini ziliwazo kama mchunga, tembele, majani ya maboga, majani ya kunde na mbilimbi. Ni vyema kujitahidi kula kiasi kidogo cha chakula walau mara tano kwa siku kuliko mlo mkubwa mara mbili au tatu kwa siku. 

Isipokuwa kwa sababu zisizozuilika, mgonjwa asiache kula, kwani ni mbaya kwa utendaji kazi wa mwili. Katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini, ni muhimu mwathirika kupata maelekezo yahusuyo njia na jinsi ya kupima na kujua kiwango cha kawaida cha sukari mwilini. 

Watu wengi wenye kisukari huwapasa kutumia aina ya insulin kabla ya kula chakula kulingana na kiasi cha wanga ulio kwenye chakula anachotarajia kula. Kupima wingi wa wanga katika 
chakula husaidia kupanga mlo. 

Kujitambua wakati kiwango cha sukari kikiwa juu kupindukia ni kwa kupima damu angalau mara tatu kwa siku, ikiwa ni pamoja na kabla ya kwenda kulala. Mara nyingi watu hupima asubuhi au alfajiri wanapoamka, mchana wa adhuhuri au alasiri na jioni au usiku kabla ya kulala. 

Ikiwa sukari mwilini ni nyingi kupindukia, inaweza kumlazimu mgonjwa kutumia insulin ya ziada inayofanya kazi ndani ya muda mfupi (short acting insulin) ili kurejesha kiasi cha sukari 
katika kiwango cha kawaida. 

Mgonjwa atafahamishwa na mhudumu wa afya au daktari kuhusu kiwango cha insulin cha kutumia kulingana na wingi wa sukari aliyo nayo mwilini kwa wakati huo. Licha ya kuwapo wingi wa sukari mwilini, kuna kisukari ambacho mgonjwa huwa na upungufu wake pia. 

Matumizi yasiyo sahihi ya insulin au kutokula chakula husababisha kiwango cha sukari kwenye
damu kupungua kuliko kawaida na hivyo mwili kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo. 

Dalili za hali hiyo ni kuhisi uchovu bila sababu, kupiga miayo kupindukia, kushindwa kuzungumza au kufikiri vyema, kupoteza stamina, kutoka jasho, kupata vichomi, degedege karibu na kuzimia, kuhisi kuishiwa nguvu au pamoja na kuzimia na mwili kupauka. 

Mtu akipatwa dalili hizo inabidi atafute kinywaji kitamu anywe. Aina ya vinywaji vifaavyo ni kama juisi ya matunda (nanasi, zabibu, tufaa, papai ) vile vile soda (si diet soda) au alambe kiasi cha sukari nyepesi (glucose) au pipi. 

Baadhi ya maeneo huuza vidonge vya glucagon, ambavyo ni vizuri kubebwa na kuhifadhiwa nyumbani kwa matumizi ya nyakati kama hizo. Glucagon pia hupatikana katika njia ya sindano na hii inaweza kutolewa na mtaalamu au mtu aliyeruhusiwa kuitoa kupitia kwenye mishipa ya 
damu (intravenous glucagon injection). 

Inawezekana kuishi maisha ya kawaida kabisa ikiwa mhusika atakuwa makini kulinda afya yake
kwa kuzingatia ushauri na mafundisho ya wataalamu wa afya.

President Uhuru Kenyatta's New Year Message

By Mwakilishi 

Dear Kenyans,
We have come to the end of what has been a truly remarkable year. A year ago when I was speaking to you in a similar occasion to usher Year 2015, I indicated that Year 2015 would be a year of possibility for Kenya. Following what we all experienced, achieved and witnessed, no one can deny this today.
We cannot, however, deny the fact that during the Year we also faced a number of challenges and setbacks. But in spite of the challenges we faced, overall we emerged stronger as a Nation.
Where we are today is different from where we were a year ago. We have travelled far along the path envisioned for us by our founding fathers, and paved by our predecessors. Together, we have worked hard towards the promise of a truly free, peaceful and prosperous Kenya. Together, we have continued to entrench the value of patriotism, integrity and hard work and to strengthen our commitment to a just, transparent, accountable and inclusive society.
Fellow Kenyans,
In dealing with the challenges that looked insurmountable, we grew in strength, resilience and capability. This way, we have been able to endure extremely painful losses, bolstered by our courage and thestrategies of confronting and defeating our enemies, as well as efficient methodologies we have adopted to solve problems.
In 2015, we completed the final phase of our effort to spread light to every village in Kenya by connecting every Government primary school to electricity. This has enabled us to lay a foundation for the delivery of our promise of modern, digital learning in primary schools. For the first time in our nation’s history, we are also on target to connect one million households to the national grid in a single financial year, remaining on target to connect 70 per cent of Kenyan households to electricity by 2017.
By connecting market centres and rural households to power, we have significantly enhanced the basis for strengthening productivity of the rural economy.
Fellow Kenyans
With regard to the environment and wildlife conservation, I wish to also report significant progress in 2015. Poaching declined a massive 80 percent. The number of elephants poached fell to 57 while the number of rhinos poached fell to 5.
With respect to the environment, 150 million seedlings were prepared for planting, improving forest cover to 7.2 per cent.
After the successful Climate Change summit in Paris, Kenya received $10 million from the Climate adaptation fund while Denmark committed to supporting Kenya with 7.5 billion shillings for the Green Growth and Employment Project. Further, the Renewable Energy Initiative pledged $10 billion in renewable energy projects for the region, and we stand to benefit significantly.
Fellow Kenyans
In 2015, we began to deliver the promise of effective, modern, hi-tech healthcare to all Kenyans. In addition to the national, referral hospitals, we shall have 2 hospitalsin every county equipped with facilities to screen and treat conditions that have caused patients, in the past, to travel abroad at great cost. Already we have equipped 15 hospitals and our target is to complete the remainder by June 2016 to bolster access to health services. Additionally the Government has in place a programme for 100 fully fitted containerised clinics with particular focus being improved services to informal settlements.
We have successfully engaged County Governors to develop necessary conditions to attract appropriate professionals and to provide the resources required to make healthcare provision robust and sustainable.
Fellow Kenyans,
In a bid to confront and deal with insecurity, we commenced 2015 with the passage of security laws that were absolutely necessary in supporting our security apparatus to combat crime and terrorism.
As we look back, we are proud and confident of the actions we took because, today, even our critics would agree, we are generally enjoying better security in our country. The improvement in security that we witness today has not only restored the confidence of Kenyans but also boosted their ability to go about their businesses unhindered.
In 2016, we will endeavour to make Kenya even more safer for all Kenyans and our visitors. My Government will continue to reach out to all communities to strengthen National Cohesion, and Unity.
Dear Kenyans,
Our sons and daughters continue to make immensely heavy sacrifices to defend us from enemies within and outside our territory. Let us honour the memory of members of our disciplined forces who have given their lives in the line of duty. Let us also remember in our prayer those civilians who lost their lives during terrorist and criminal attacks. We cannot fully claim to be safe from those misguided elements who seek to harm us. So Let us resolve today to once again rededicate ourselves to our commitment to do our part in keeping ourselves, our families, communities and nation safe and secure.
Turning to matters of the national economy, in 2015, we continued to manage our economic affairs prudently to sustain development and provide resilience against myriad shocks in a volatile global environment. Given everything going on around the world, it could truly have been worse, but it wasn't the case.
Fellow Kenyans,
As a Government we know the value of good governance and integrity and for this reason we have prioritised promotion of integrity and the fight against corruption as a key pillar of our socio-economic development agenda. This is why in 2015 we, in a big way, enhanced our efforts to restore sanity in public life and give integrity a chance. Our multi-agency strategy against corruption has begun to bear fruits. In 2015, we drew first blood in the duel with the corruption monster and in 2016 we intend to increase these efforts.
Ladies and Gentlemen,
In 2015, our relationship with our neighbours and friends abroad grew deeper and stronger. With our African siblings, we accelerated the integration agenda and intensified the pursuit of our mutual interests. In other continents, Kenya stamped its footprint, making friends and successfully fostering win-win, mutually beneficial interests which rapidly advanced our development agenda. We wooed many investors and attracted millions of dollars in foreign direct investment. We increased our exports. We helped bring peace and understanding in troubled lands. We raised our stature in the community of nations and earned the respect Kenya deserves. This is why we had the honour to host world leaders, and will be able to do so in days to come. Our diplomacy and international leadership has come of age, and it is beneficial for us all.
Fellow Kenyans,
A number of the achievements we have made are gradual and incremental, calling for patience, persistence, investment and courage over a long period of time. Yet every passing day the transformation is underway. What is normal today - electricity, cell phones, devolution, security system improvement, digital broadcasting, internet - were figments and desires only a few years ago. This is how society evolves and transforms.
Other achievements are stark breaks from the usual, charting of new waters, paradigm shifts. They are visible to the eye, and progress can be observed effortlessly. Like the Standard Gauge Railway which will shortly go past Nairobi towards Naivasha. Like the electrification of schools and the modernisation ofhospitals.
In all this, we learn that transformation requires unwavering vision, boundless imagination, constant commitment, persistence, patience and solidarity. I am proud to say that the people of Kenya have never been short of these attributes. This is the one reason I am certain that we will succeed in our endeavours and triumph on our chosen path. What we achieved in 2015, we achieved together. We encountered possibility together and confronted together our challenges as one people.
In 2016, we will launch the programme to build 8,000 kilometres of new tarmacked roads. The projects will cover every county of Kenya. The first batch totalling 1,700 kilometers will be launched this January. A second batch of 1,800 kilometers will be launched in March. I appeal to Governors to fully support this programme.
As we prepare to review our education curriculum to make it more modern and relevant to the changing development needs of the 21st century we remain focused and determined to deliver digital learning devises to our schools this year. We will do a lot more that I do not wish to set out at this moment. Most importantly, we will work together as one people to build a great nation that each one of us will be proud to call home. We will remain open, democratic, transparent, united and peaceful. We will achieve our dream: happy individuals, strong families, united communities and a successful nation. The transformation will continue with greater momentum. We will keep on delivering on our promise.
As we usher in the Year 2016, I wish to appeal to every Kenyan starting with our leaders, to help restore our National Pride. For far too long we have dwelt in negative talk, criticism and hatred. Besides undermining our dignity as a Nation, this negativity has also diminished our patriotism and expected love for our Motherland. In 2016 we must rekindle the love for our dear Nation. We must demonstrate through actions that we are truly Kenyans by standing tall in the Community of Nations.
In 2015 Kenya was at the centre of Global spotlight, as we hosted US President Barrack Obama and the GES Conference in Nairobi. Later on Kenya played host to Pope Francis. We closed the year by hosting the WTO Ministerial Conference. Besides the three major events, Kenya, earlier in the year, won the World Athletic Championships in Beijing, and also sent Doctors and Paramedical staff to West Africa to combat the deadly Ebola Virus.
In this and many more ways in 2015 we were as a country able to shine. We must, therefore, enter 2016 in a spirit of standing up for Kenya and saying no to negativity, parochialism and engaging in small talk.
In this instant I would like to hail the act of bravery demonstrated by patriotic Kenyans during the recent attack on a bus in Mandera. Through sheer bravery and courage they were able to save the lives of fellow Kenyans. They truly stood up for Kenya. I salute and congratulate them for their quick and heroic action.
My call to each and every Kenyan, let us in 2016 stand up for Kenya by demonstrating true love for one another, patriotism for our Motherland and embracing and celebrating each other. We must learn to listen to each other, by talking to each other and not talking at one another.
We must tell each other things that help build Kenya. We must be driven by an urge to make Kenya better by providing solutions to issues and challenges that confront us. We must face the future as one United Nation, seeking a common solution to our problems.
Every Kenyan must stand up for Kenya, for this is the only way we will build a strong Nation that is respected and honoured globally.
As your President I will be steadfast and committed to standing up for Kenya. I call each one of you to stand with me in making Kenya proud. My Government is willing to listen to every Kenyan who comes forth with useful ideas to building a strong Kenya. We will listen to you and implement any good ideas geared towards improving our common destiny.
Fellow Kenyans,
God has been gracious and generous to us. As we start 2016, let us remember to always be a nation dedicated to the service of humankind and to the glory of our Almighty Creator. I pray for every-one of you, for your families, and for our Nation, that as we shed the old year and embrace the new one, may God see us through a year of great achievement. Let us stay true to who we are. Let us love our country and one another. Let us work together to achieve more for our Nation and people in 2016 and beyond.
I wish you a Happy and Prosperous New Year.
May God continue blessing all of us, and our great Nation.
NEW YEAR’S MESSAGE BY HIS EXCELLENCY HON. UHURU KENYATTA, CGH, PRESIDENT AND COMMANDER-IN-CHIEF OF THE DEFENSE FORCES OF THE REPUBLIC OF KENYA, STATE HOUSE MOMBASA, 31 DECEMBER 201
- The Star

Texas to start New Year with law allowing open carry of handguns

When the new year begins in the Lone Star State, licensed Texans for the first time since 1871 will be allowed to carry a holstered pistol in public under an "open carry" law passed in the Republican-dominated 2015 legislative session.

Supporters said the law would enhance public safety in the state of 27 million people. Texas will be the most-populous U.S. state to allow open carry. Opponents have said it could be chilling for the public to see armed people on city streets, and inside public buildings and designated stores.
Under the new law, nearly 1 million people in Texas who have passed a required safety course and have a concealed handgun permit will be allowed to carry holstered handguns.
"January 1 is just the jumping point for returning the right to keep and bear arms to Texans after almost 150 years," said C.J. Grisham, president of Open Carry Texas, which pushed for the law and wants to see open carry expanded.
The law allows individual property owners and companies to ban open carry inside their establishments. If businesses opt out, they are required to display a specifically worded sign on their doors.
Many Texas companies, like H-E-B grocery, the state's largest private employer, have said they would continue to allow concealed carrying of firearms, but not open carry.
H-E-B noted that many customers have said they would be uncomfortable with people in store aisles openly carrying a pistol.
In this Jan. 26, 2015 file photo, Scott Smith, a supporter of open carry gun laws, wears a pistol as he prepares for a rally in support of open carry gun laws at the Capitol, in Austin, Texas. Texas the second-most populous state, is joining 44 other states in allowing at least some firearm owners to carry handguns openly in public places. Under the Texas law, guns can be carried by those with licenses and only in holsters. (AP Photo/Eric Gay, File) In this Jan. 26, 2015 file photo, Scott Smith, a supporter of open carry gun laws, wears a pistol as he prepares for a rally in support of open carry gun laws at the Capitol, in Austin, Texas. Texas the…State Representative Diego Bernal, a Democrat representing San Antonio who voted against the bill, said the law is a mistake.
"I don't see how introducing firearms into everyday life makes anything better," he said.
One of the most debated aspects of the law was a provision allowing police to ask to see the permit of anyone openly carrying a handgun. Groups like Open Carry Texas said that would allow police to harass law-abiding citizens.
Law enforcement officials have voiced concern about how to approach an unfolding crime scene where multiple people can be seen with weapons, which could cause deadly confusion in active shooter scenarios.
The law specifically bans the carrying of guns, either openly or concealed, in a wide variety of places including schools, bars, sports arenas and secure areas of airports. (Reporting by Jim Forsyth; Writing by Jon Herskovitz; Editing by Toni Reinhold)

Watson, defense lead Clemson to 37-17 win over Oklahoma

Clemson Tigers quarterback Deshaun Watson (4) runs the ball for a touchdown against Oklahoma Sooners safety Ahmad Thomas (13) in the second quarter of the 2015 CFP Semifinal at the Orange Bowl at Sun Life Stadium.© Kim Klement-USA TODAY Clemson Tigers quarterback Deshaun Watson (4) runs the ball for a touchdown against Oklahoma Sooners safety Ahmad Thomas (13) in the second quarter of the 2015 CFP…
http://www.msn.com/en-us/sports/ncaafb/watson-defense-lead-clemson-to-37-17-win-over-oklahoma/ar-BBo5TQc?li=BBnb7Kz

KICHUPA CHA LEO FRAGA-KITENGE_OFFICIAL_MUSIC_VIDEO(1080p)

Serikali Yasema Haijengi Nyumba za Kuwapa Wananchi Bure

SERIKALI imesema kuwa haina mpango wakujenga nyumba za kuwapa Wananchi bure kutokana na gharama ambazo Serikali inagharamia katika ujenzi nyumba hizo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angeline Mabula (Pichani)wakati alipotembelea Shirika la Nyumba la Taifa(NHC). Angeline amesema kuwa shirika la nyumba la Taifa linajenga nyumba kwaajili ya kuuzwa pamoja...
Read More

Serikali yapiga Marufuku Matumizi ya Barua pepe za Kawaida katika Mawasiliano yake.

Serikali imepiga marufuku matumizi ya Barua pepe za kawaida kwa watumishi wa umma wanaotuma au kupokea taarifa za Serikali na kuwataka watumishi hao kuhakikisha kuwa wanatumia mfumo rasmi wa Mawasiliano ya Barua Pepe Serikalini (GMS) ulioanzishwa na Serikali  kwa lengo la kuimarisha mawasiliano kwa njia ya Mtandao. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi...
Read More

Shilole afanya pati ya aibu!

IMG_8411
Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akicheza sebene.
AMA kweli mapenzi yana sarakasi! Ndiyo kauli inayoweza kukuponyoka kufuatia tukio la staa anayebeba dhamana mbili katika sanaa ya Bongo, akitambulika kwenye uigizaji na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, ambaye ameangusha bonge la pati ya aibu iliyojaa minong’ono kuwa ni sehemu ya furaha yake isiyo kifani ya kuachana na aliyekuwa mwandani wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Amani lina kila kitu.
TUJIUNGE NYUMBANI KWA SHILOLE
Tukio hilo la aina yake lililohudhuriwa na baadhi ya mastaa Bongo, lilijiri usiku wa kuamkia juzi (Jumanne) nyumbani kwa staa huyo, Kijitonyama jijini Dar ambapo mwanadada huyo aliandaa shughuli hiyo kwa kuangusha mbuzi wanne, kuku zaidi ya 50 waliopoteza uhai na vinywaji mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 2.8.
Katika pati hiyo, Shilole aliwaalika mastaa wenzake na watu mbalimbali ambao walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kumpa kampani katika kusherekea siku hiyo na kujipongeza naye kwa pamoja.
IMG_8808
Baadhi ya mastaa waliokuwepo kwenye hafla hiyo.
SHISHI AFUNGUKA
Akizungumza na gazeti hili kwenye sherehe hiyo, Shilole au Shishi Baby alifunguka kuwa amekuwa akitaabika mno kwenye maisha yake ya kimapenzi alipokuwa na jamaa huyo hivyo kwa sasa hana budi kujipongeza kwa kutua mzigo mzito ambao ulikuwa ukizorotesha maendeleo ya maisha yake tangu amejiingiza kwenye penzi la Nuh ambaye alimtaja kama Marioo (mwanaume anayemtegemea mwanamke kiuchumi).
Shishi alidai kuwa kwa sasa ametua mzigo mzito uliomwelemea kwani alikuwa akilazimika kumhudumia kama mmoja wa watoto wake.
MSIKIE SHISHI
“Jamani acheni tu nijipongeze kwa hili maana sijawahi kuwa na mzigo mzito kama huu maishani mwangu, namshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kuchukua uamuzi huu wa kutengana na Nuh kwani ni mtu ambaye alikuwa mzigo mkubwa sana kwangu kwani ilifikia wakati naishi ndani hata shilingi kumi ya balance nakosa.
IMG_8765
Linah akikata mauno.
“Nimechoka kumhudumia kila kitu kama mtoto, lakini pamoja na kumfanyia hayo hakuwa na shukrani, utadhani alikuwa ameniteka na nguvu za giza.
“Namshukuru sana Mungu kwani tangu nimeamua kuchukua hamsini zangu mambo yangu yananiendea vizuri, yaani sijawahi kukwama kwa lolote, acha nijipongeze na familia yangu maana nilisemwa sana juu ya huyu kijana ambaye hana nyuma wala mbele.
“Sitarajii tena kujiingiza kwenye mapenzi ya kizembe kama haya niliyokuwa nayo mwanzo zaidi sasa nafikiria kujikita kwenye shughuli zangu na kuendeleza familia yangu kwa ujumla, mambo ya mwanaume mpya siyatarajii kabisa kwani nimetosheka,” alisema Shilole.
IMG_8833LINAH ASAULA KWEUPE
Katika shughuli hiyo, ukiachilia mbali vinywaji na mambo mbalimbali yaliyojitokeza, baadhi ya vioja vilivyotawala hisia za waalikwa wengine ilikuwa ni pamoja na kucheza muziki kwa Estelina Sanga ‘Linah’ ambaye alijikuta akisaula nguo kweupe na kuacha sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa wazi hivyo kuifanya pati hiyo kuwa ya aibu kufuatia baadhi ya mastaa wakilewa na kufanya mambo ya chumbani hadharani.
KAJALA, CHEGGE VERY CLOSE
Kwa upande wake, staa wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja, muda mwingi alionekana kuwa very close (karibu sana) na mkali wa Bongo Fleva, Said Juma ‘Chegge Chigunda’ au ‘Mtoto wa Mama Said’ hadi muda wao wa kuondoka ambapo walitokomea kusikojulikana hivyo kuibua sintofahamu.
NUH ANASEMAJE?
Kuhusiana na tuhuma zilizoshushwa kwa Nuh, gazeti hili lilimtafuta jamaa huyo lakini juhudi za kumpata ziligonga mwamba kufuatia simu yake ya kiganjani kutokuwa hewani kila alipotafutwa.

Violent Turbulence Forces Air Canada Flight to Land Early, 21 Injured


Severe turbulence injured passengers aboard a Boeing 777 operated by Air Canada, causing the flight to land early. (Photo: Wikipedia)
An Air Canada flight encountered such severe turbulence on Wednesday that terrified passengers said they thought they were dying. The Boeing 777 had to land early after 21 people were injured, including three children.
The incident happened over Alaska on a flight from Shanghai to Toronto. The plane reportedly landed in Calgary because of a trauma center there.
“It was nobody’s fault. Not the pilot’s. Everybody did the best they could,” passenger Connie Gelber told The Globe and Mail. “But honestly we felt we were dying. Like you see in the movies, where they all go up to the ceiling — everything went up to the ceiling that wasn’t anchored.”
Another passenger, Yi Lee, said he was nervous because “you don’t know how long it will take and then you don’t know if this plane can really handle that much violence.”
Rahim Ladhani, an anchor and reporter with CTV Calgary, reported on Twitter that the turbulence “lasted a total of 45 minutes in waves ‘like a roller coaster.’ Oxygen masks came down and people started crying.” Ladhani also posted a photo of the state of the plane. 
The aftermath of the turbulence onboard the Air Canada flight. (Photo: Rahim Ladhani/Twitter)
The turbulence had been expected, and in fact, the pilot had announced to passengers that the plane would be entering an area of bad turbulence. “We had certainly been warned to put our seatbelts on numerous times,” Suzanne Caudry, a Toronto-based periodontist who was on the plane, told CBC News. But no one on the plane expected such a severe situation. 
According to Caudry, people’s heads “had literally hit the ceiling and actually gone through the plastic.”
Injured passengers from the Air Canada flight being transported from the airport. (Photo: @WPXI/Twitter)
Klaus Goersch, Executive Vice President and Chief Operating Officer atAir Canada said in a statement that the airline is cooperating fully with the Transportation Safety Board in its investigation of this incident and is also working to take care of passengers. “Our focus today has been on those passengers who have been injured in this incident and those other passengers on the aircraft for whom this has been a very unsettling experience,” Goersch said. “Safety is always our first priority and so any incident involving the safety of our passengers and crew is of utmost concern.”

Kesi ya wafanyakazi wa TRA kusikilizwa Januari 13 Mwakani

UPELELEZI wa kesi ya uhujumu uchumi ulioisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 12.7 inayomkabili aliyekuwa Kamishna wa Forodha na Ushuru wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Tiagi Masamaki na wenzake, haujakamilika. Wakili wa Serikali, Diana Lukondo alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati kesi hiyo ilipotajwa. Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Huruma Shaidi aliahirisha kesi...
Read More

Nyumba 100 zawekwa X Jangwani, vurugu zatawala

Zoezi la uwekaji alama nyekundu katika zaidi ya nyumba 100 zinazotakiwa kubomolewa kwenye bonde la Mto Msimbazi, Jangwani limemalizika chini ya ulinzi mkali wa polisi baada ya vurugu za wananchi kuigomea serikali katika zoezi hilo. Zoezi hilo lililoanza jana majira ya saa nne asubuhi likiongozwa na Mwanasheria wa NEMC, Machare Heche lilisababisha vurugu zilizotokana na wananchi kukataa kuwekewa...
Read More