Serikali yapiga Marufuku Matumizi ya Barua pepe za Kawaida katika Mawasiliano yake.

Serikali imepiga marufuku matumizi ya Barua pepe za kawaida kwa watumishi wa umma wanaotuma au kupokea taarifa za Serikali na kuwataka watumishi hao kuhakikisha kuwa wanatumia mfumo rasmi wa Mawasiliano ya Barua Pepe Serikalini (GMS) ulioanzishwa na Serikali  kwa lengo la kuimarisha mawasiliano kwa njia ya Mtandao. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es salaam na Waziri wa Nchi, Ofisi...
Read More

No comments:

Post a Comment