US President Barrack Obama to visit Kenya on 23rd July this year. Uhuru Confirms

       
              http://www.kenyan-post.com/2015/03/us-president-barrack-obama
            http://www.kenyan-post.com/2015/03/you-need-to-know-this-from-uhuru-it.html


Sheria Kali Yaandaliwa Kuwabana Wahalifu wa Mitandao......Ukinaswa Unasambaza Picha za UCHI, Taarifa za Uongo na Matusi Kifungo chake ni Miaka 10 Jela



WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.
Miongoni mwa miswada ya sheria utakaowasilishwa bungeni na Serikali wiki hii mjini Dodoma, ni Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 ambayo imeainisha makosa mbalimbali yanayofanywa na wananchi katika kipindi hiki ambacho matumizi ya mtandao wa kompyuta yameongezeka.
Baadhi ya makosa yaliyoainishwa kwenye sheria hiyo ni kughushi kunakohusiana na masuala ya kompyuta, udanganyifu unaohusiana na kompyuta, ponografia za watoto, picha za utupu, matusi na ngono, makosa yanayohusiana na utambuzi, uwongo, ubaguzi, matumizi ya kibaguzi, mauaji ya kimbari na unyanyasaji kupitia mtandao wa kompyuta.
Katika sheria hiyo, mtu atakayesambaza ponografia ya watoto kupitia mtandao wa kompyuta atawajibika kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50 au mara tatu ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au kifungo kisichopungua miaka saba jela au vyote kwa pamoja.
Mkosaji pia ataamriwa kumlipa mwathirika fidia. Kwa upande wa kusambaza picha za ngono, matusi, uasherati atalipa faini isiyopungua Sh milioni 30 au kwenda jela miaka 10 au vyote.
Lakini mtu atakayesambaza picha za utupu atalipa faini isiyopungua Sh milioni 20 au kwenda jela miaka saba au kutumikia adhabu zote kwa pamoja.
Pia kweye muswada huo mtu ambaye atatoa taarifa, data au maelezo kwa njia ya picha, maandishi, alama au aina nyingine yoyote zikiwa ni za uongo akipatikana na hatia atalipa faini isiyopungua Sh milioni 3 au kutumikia kifungo jela kisichopungua miezi sita au vyote.
Kwa upande wa ubaguzi, sheria hiyo inakataza mtu kutumia mtandao wa kompyuta kutozalisha vitu vya kibaguzi kwa madhumuni ya kuvisambaza na iwapo atatiwa hatiani atalazimika kulipa faini ya Sh milioni tatu au kifungo cha mwaka mmoja jela.
Pia mtu akimdhihaki mtu mwingine kwa kupitia mfumo wa kompyuta kwa mwelekeo wa ubaguzi wa rangi, kabila, asili, utaifa au dini fulani akitiwa hatiani atatozwa na Mahakama faini ya Sh milioni tatu au kifungo cha mwaka mmoja jela au vyote kwa pamoja.
Pia sheria hiyo inakataza mtu kuchapisha au kusababisha kuchapishwa vitu vinavyochochea au kuhalalisha matendo yanayopelekea mauaji ya kimbari na makosa dhidi ya binadamu kwa kupitia mtandao wa kompyuta.
Mtu atakayefanya hivyo atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani atawajibika kulipa faini isiyopungua Sh milioni 10 au kutumikia kifungo kisichopungua miaka mitatu au vyote kwa pamoja.
Pia muswada huo wa sheria unakataza mtu kutoanzisha usambazaji wa taarifa zinazotumwa bila ridhaa na ukitiwa hatiani utatozwa faini ya Sh milioni 3 au mara tatu ya faida iliyopatikana kinyume cha sheria au kutumikia kifungo kisichopungua mwaka mmoja au vyote kwa pamoja.
Mpekuzi blog

Wema Sepetu Na Idriss Wa Big Brother Wazua Gumzo


Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman wamezua gumzo hivyo mwanadada huyo kufunguka na kuweka mambo hadharani.
Wikiendi iliyopita, picha zao wakifanya shopping kwenye supermarket moja iliyopo Makumbusho jijini Dar zilizua mtafaruku kwa mashabiki wao ndipo staa huyo wa kike akafunguka.
“Shopping pamoja na Idris. Najisikia vizuri kuwa na huyu mtu,” aliandika Wema akifafanua picha hizo huku ‘kapo’ yao ikipongezwa na wengi.
Mpekuzi blog

Rais Kikwete Awasili Marekani Kwa Mwaliko wa Umoja Wa Mataifa



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.
Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN).
Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Dkt Mahadhi Juma Maalim alipowasili jijini New York, Marekani.
Rais Kikwete akisalimiana na Waziri wa WAZIRI wa Kazi na Ajira, Mhe. Gaudensia Kabaka anayefuatiwa na Waziri wa Fedha wa Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee ...
Jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Rais Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Mpekuzi blog

Dar es Salaam Ramada to Open in April

The Nation
Dar es Salaam Ramada to Open in April
East African Business Week
Dar es Salaam — US hotel chain, Ramada International, last week announced it will officially open its first Tanzania five-star property, the Ramada Resort Dar es Salaam this month. Sources say the hotel will generate 230 job opportunities, some 40% going ...
Tanzania to spend $14 billion on railways, eyes regional hub statusEconomic Times
UPDATE 2-Tanzania to spend $14 bln on railways, eyes regional hub statusReuters UK
Divisive Elements Have No Room in TanzaniaAllAfrica.com

all 62
East African Business Week
Read more

Obama to make presidential trip to father's homeland Kenya

Barack Obama will in July make a first presidential trip to Kenya

Barack Obama greets his grandmother Sarah Obama at …

Soma Ukitaka

Displaying IMG-20150325-WA006.jpg

Wafanyabiashara wagawanyika

Mkazi wa mjini Moshi akipita katikati eneo la Kariakoo mji humo huku maduka yaki yamefungwa baada ya jumuiya ya wafanya biashara Mkoa wa Kilimanjaro kuwamasishana kuyafunga wakipinga kutumia mashine za EFD na kupandishwa kwa kodi ya mapato, mkoani humo jana. Picha na Dionis Nyato

Wauzaji na wamiliki wa maduka maeneo ya Mwanjelwa, Uhindini na Sido mkoani Mbeya jana waliwalaumu viongozi wao kwa kuwashinikiza kuyafunga maduka bila kutoa sababu za msingi na kuwasababishia hasara.
Wamesema tabia ya kufunga maduka inawaathiri wao na wateja badala ya Serikali inayolaumiwa.
Wakizungumza kwa sharti la kutotajwa majina yao, wafanyabiashara hao walisema, viongozi wao wanawalazimisha kuyafunga maduka na kwamba atakayefungua atalipishwa Sh50,000.

Got roses this Valentine’s Day in the US? They probably came from Kenya

          FLOWERS3

Duke back in Final Four after 66-52 win over Gonzaga

Duke Blue Devils guard Matt Jones celebrates as time expires during the second half in the finals of the south regional of the 2015 NCAA Tournament against the Gonzaga Bulldogs March 29 in Houston.© Bob Donnan/USA TODAY Sports Duke Blue Devils guard Matt Jones celebrates as time expires during the second half in the finals of the south regional of the 2015 NCAA Tournament against the Gonzaga
http://www.msn.com/en-us/sports/ncaabk/duke-back-in-final-four-after-66-52-win-over-gonzaga/ar-AAabrmu

DARAJA LA KIVULE DAR HATARINI KUKATIKA


Daraja linalolalamikiwa na wakazi wa eneo la Kivule jijini Dar.
Watembea kwa miguu pamoja na gari wakionekana kupita katika daraja hilo.…

Survived: No. 1 Kentucky holds off Notre Dame 68-66

View gallery
    Survived: No. 1 Kentucky holds off Notre Dame 68-6 …Kentucky players celebrate with the regional championship trophy
 after a 68-66 win over Notre Dame i …

Fifth Kenyan minister steps aside to make way for graft probe

A soldier from the Kenyan green eagles parachutes into Nyayo stadium holding a Kenyan flag during the national celebration to mark Kenya's Jamhuri Day (Independence Day) in capital Nairobi December 12, 2014. REUTERS/Noor Khamis

Michigan State clinches Tom Izzo's most unlikely Final Four appearance

NCAA Basketball: NCAA Tournament-East Regional-Louisville vs Michigan State
Mar 29, 2015; Syracuse, NY, USA; Michigan State Spartans guard Bryn Forbes (5) and guard Travis Trice (20) celebrates after the game against the Louisville Cardinals in the finals of the east regional of the 2015 NCAA Tournament at Carrier Dome. Michigan State Spartans won 76-70. (Rich Barnes-USA TODAY Sports)
http://sports.yahoo.com/blogs/ncaab-the-dagger/michigan-state-clinches-tom-izzo-s-most-unlikely-final-four-appearance-210330978.html

Mkasi na Marco Chali


NILISHAKUWA NA HAO WENYE PESA ZAO NA VYEO VYA MAANA BUT SIJAKUWA NA AMANI NA WALA SIJAFAIDIKA CHOCHOTE


Jitiririshe alicho kisema mrembo huyu hapa chipi

Tanzania under constant terrorist threat.

                                      
                                        Minister of Home Affairs, Mathias Chikawe.
                                             http://www.ippmedia.com/?l=78744

PICHA YA WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN WAKIFANYA SHOPPING PAMOJA KWENYE SUPER MARKET

Wema Sepetu akiwa na mshindi wa big brother Idrisa Sultan maeneo ya shopping pamoja maswali ya mjini. Hapa chini picha zaidi

HII NI ISHARA KWAMBA DIAMOND NA ZARINAH WANATARAJIA KUPATA MTOTO WA KIKE


Remember that you'll never have to fight for a spot in the life of someone who truly loves, respects, or cares about you.....it shld be mutual!!!!"-ZARI

CHEZEA MAMA KIJACHO WEWEE

Mama kijacho Zalinah kaweka wazi tumbo lake kiroho safi wenye macho ng'ari ng'ari na roho zao.


Career-best night from Justise Winslow sends Duke to the Elite Eight

NCAA Basketball: NCAA Tournament-South Regional-Duke vs Utah

             Mar 27, 2015; Houston, TX, USA; Duke Blue Devils forward Justise Winslow (12) celebrates 

Buy local: Florida bill requires U.S.-made flags

An American flag is unfurled before a baseball game in San Diego, Califdornia, April 9, 2013.
http://www.msn.com/en-us/news/offbeat/buy-local-florida-bill-requires-us-made-flags/ar-AAa6BFD

WAFANYABIASHARA MWANZA WAGOMA, KISA MWENYEKITI WAO KUNYIMWA DHAMANA


Baadhi ya maduka katika mitaa mbalimbali mkoani Mwanza yakiwa yamefungwa huku wananchi wakihangaika kutafuta huduma hiyo.
Asilimia kubwa ya maduka yamefungwa.
...Hali ilikuwa hivi katika mitaa mbalimbali jijini Mwanza.
Na Johnson James, GPL / Mwanza
WAFANYABIASHARA wanaofanya shughuli…

Arizona outlasts Xavier 68-60 to reach West region finals

Xavier forward Trevon Bluiett tries to hold on to the ball against Arizona in the NCAA Tournament March 26 in Los Angeles. Arizona won 68-60.
http://www.msn.com/en-us/sports/ncaabk/arizona-outlasts-xavier-68-60-to-reach-west-region-finals/ar-AAa45eb

Travels of a T-Shirt w/ Pietra Rivoli


PICHA DIAMOND THE PLATNUMZ AKIMPIKIA ZARI NA KUMLISHA KATIKA NYUMBA YAKE MPYA

maneno ya Zarinah: Blessed is the woman who has a man that can cook...

UFISADI KENYATTA AWASIMAMISHA KAZI 175

Ufisadi:Kenyatta awasimamisha kazi maafisa wakuu serikalini 175 kufuatia tuhuma za ufisadi dhi yao
Mawaziri 5, makatibu 6 wa kudumu na Magavana 10 wametajwa miongoni mwa maafisa 175 wa umma watakaolazimika kunga'atuka

mamlakani katika siku 60 zijazo iliuchunguzi wa kina ufanyike kuhusu madai ya ufisadi dhidi yao.

Hayo yalibainika katika ripoti iliyotolewa bungeni na rais Uhuru Kenyatta katika kikao maalum cha bunge la taifa kilichowajumuisha wabunge na maseneta.

WANAKWAYA: JOKATE ANATUTIA AIBU


Hamida hassan

Ile skendo ya kupiga picha za nusu utupu na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii huku midume ikijirushia na kujifaidia kwa macho, ukijumlisha aibu mpya ya kukata mauno mbele ya wanaume, staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amewakera wanakwaya wenzake ambao wamedai kuwa anawatia aibu, Ijumaa lina mchapo kamili. Staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
TUJIUNGE KANISA LA SAINT PETER, OYSTERBAY, DAR

Ishu ya Jokate kutupia picha za nusu utupu mitandaoni si mpya, mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kwa tabia…

US-Based Kenyan Runner Banned by US Anti-Doping Agency for using Performance Enhancing Drugs

US-Based Kenyan Runner Banned by US Anti-Doping Agency for using Performance Enhancing Drugs
US-Based Kenyan Runner Banned by US Anti-Doping Agency for using Performance Enhancing Drugs

Beautiful Skyscraper Set to be Kenya's Tallest Building

                             Beautiful Skyscraper Set to be Kenya's Tallest Building [PHOTOS]
                                Beautiful Skyscraper Set to be Kenya's Tallest Building

Top-seeded Wisconsin hangs to beat North Carolina 79-72

Notre Dame races by Wichita State 81-70 for Elite Eight spot

Notre Dame's Pat Connaughton goes up against Wichita State's Darius Carter during the second half in the NCAA Tournament March 26 in Cleveland. Notre Dame won 81-70.

Alone at controls, co-pilot sought to 'destroy' the plane

                    Undated file picture of co-pilot Andreas Lubitz is seen via Facebook March 26, 2015. The co-pilot suspected of deliberately crashing a Germanwings jet into the French Alps on Tuesday has been identified as 28-year-old Andreas Lubitz.© Reuters Undated file picture of co-pilot Andreas Lubitz is seen via Facebook March 26, 2015. The co-pilot suspected of deliberately crashing a Germanwings jet into the French Alps on Tuesday has been identified as 28-year-old Andreas Lubitz.
http://www.msn.com/en-us/news/world/alone-at-controls-co-pilot-sought-to-destroy-the-plane/ar-AAa1d9O#image=1

Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema kuwazuia wananchi kwenda nyumbani kwake kumshawishi agombee urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mkono.
Lowassa alitoa kauli hiyo nyumbani kwake mjini Dodoma jana wakati alipotembelewa na kundi jipya kutoka Mbarali mkoani Mbeya waliokwenda kumshawishi atangaze nia kugombea urais.
Lowassa ametoa kauli hiyo siku moja baada ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye kusema kuwa kwa kuandaa makundi ya kumshawishi, mbunge huyo wa Monduli anajua adhabu yake na anaweza kupoteza sifa za kuwa mgombea urais kupitia CCM.

TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam.
Miongoni mwa eneo linaloongoza kwa kuwadhalilisha wanawake ni eneo la soko la Mchikichini lililopo Ilala Mkoa wa Dar es Salaam.

Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo akionyesha sare za jeshi la wananchi zilizokamatwa kutoka kwa askari polisi baada ya kupekuliwa nyumbani kwake. Picha na Faustine Fabian

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia askari wawili wa magereza na polisi kwa kukutwa na noti bandia ikiwa pamoja na sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Charles Mkumbo alisema askari hao walikamatwa juzi saa tisa mchana katika Mtaa wa Old Maswa, Kata ya Nyakabindi, wilayani Bariadi.
Alisema askari hao walifika kwenye kibanda cha Mpesa kinachomilikiwa na Mwalimu wa Shule ya Sekondari Old Maswa, Kassian Luhende (29) wakiwa na pikipiki aina ya Sunlg kwa lengo la kuweka fedha hizo katika simu.

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO

Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya maduka yao mara baada ya kuamua kuyafunga kwa kile wanaochodai kufanya mgomo kwa lengo la kumuunga mkono Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Johnson Minja ambaye kesi yake inasikilizwa mkoani Dodoma.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya maduka yaliyoko Double road.

Maduka yaliyopo katika jengo la Halmashauri ya manispaa ya Moshi lenye ghorofa mbili pia hali ilikuwa hivi.

Pilika pilika zilizozoeleka katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi hazikuonekana katika kituo hicho,kufuatia mgomo wa wafanyabiashara wa maduka kutofungua kwa kile kinachodaiwa kuungana kwa wafanyabiashara hao katika mgomo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI