MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO

Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya maduka yao mara baada ya kuamua kuyafunga kwa kile wanaochodai kufanya mgomo kwa lengo la kumuunga mkono Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Johnson Minja ambaye kesi yake inasikilizwa mkoani Dodoma.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya maduka yaliyoko Double road.

Maduka yaliyopo katika jengo la Halmashauri ya manispaa ya Moshi lenye ghorofa mbili pia hali ilikuwa hivi.

Pilika pilika zilizozoeleka katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi hazikuonekana katika kituo hicho,kufuatia mgomo wa wafanyabiashara wa maduka kutofungua kwa kile kinachodaiwa kuungana kwa wafanyabiashara hao katika mgomo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment