BMW LA WEMA UTATA MTUPU


Posted by GLOBAL on October 1, 2014 at 4:00am 
Stori: Waandishi Wetu

Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao.
Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake.
NYUMBANI KWA MADAM

Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa…

SERENGETI BOY, MKE WA KIGOGO LIVE


Posted by GLOBAL on October 1, 2014 at 5:30am 
Stori: Waandishi Wetu

KABAANG! Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live’ gesti akiwa na mke wa kigogo mmoja (jina kapuni), aitwaye Mwanaidi wakijiandaa kuvunja amri ya sita.
Baada ya fumanizi kati ya Serengeti boy aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine na mke wa kogogo.
Tukio hilo lilijiri Septemba 18, mwaka huu kwenye gesti moja maarufu iliyoko…

Ailing North Korea leader sends message to China

        Undated photo released on August 31, 2014 shows North Korean leader Kim Jong-Un visiting the renewed October 8 factory

UAE FIRST FEMALE F-16 PILOT

 




                                           
                       http://news.yahoo.com/islamic-state-arab-female-f-16-pilot-stirs-132836243.html

Ebola in America

                   

The University of Texas

                                     the university of texas at austin
                                                                      http://www.utexas.edu/
                                                                        GO LONGHORN

Uchumi wa Kenya Umepanda

                   

Uchumi wa Kenya wapandishwa daraja

Uchumi wa Kenya sasa hautegemei tu kilimo bali sasa sekta ya ujenzi 
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2014/09/140930_uchumi_kenya_daraja

Kesi Ya Msofe na Wenzake

KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA

Posted by GLOBAL on September 30, 2014 at 5:58pm 

KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.
Msofe na Makongoro wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya Onesphory Kitoli. Kesi hiyo imetajwa chini ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa
Papa Msofe (katikati) akishuka ngazi za Mahakama ya Kisutu baada ya kesi kuahirishwa.…

Catholic Bishop Resign



                             

Bishop Kieran Conry Feels 'Liberated' After Resigning Over Affair With Woman

                                      Bishop Kieran Conry during a confirmation event at St. Joseph’s Catholic Church in Epsom, Surrey, in 2007. Photo courtesy of Fruppence at English Wikipedia, via Wikimedia Commons




Jina la ukoo ni muhimu kwa mwanamke anayeolewa?

                               

MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?

Posted by GLOBAL on September 30, 2014 

The loudest stadium in the world in Kansas City, USA

                                 Arrowhead reclaims record as world s loudest stadium

Ways to get bigger butt naturally

     

3 Ways to Get a Bigger Butt Naturally


Is iPhone 6 worth?

           

I Just Got The iPhone 6 Plus And I'm Already Thinking About Returning It

A Qantas A380

     

The Largest Passenger Plane in the World Will Fly the Longest Route in the World

Qantas











A Qantas A380

U.S Air Force F-15

               

U.S. says strike aimed at Syria vehicles adjacent to grain storage

A pair of U.S. Air Force F-15E Strike Eagles fly over northern Iraq.

Mkasi na Evans Bukuku


Diamond ampa Wema gari

DIAMOND AMZAWADIA WEMA MURANO

Posted by GLOBAL on September 29, 2014 
Gari aina ya Nissani Murano alilozawadiwa Wema Sepetu na mpenzi wake Diamond Platnumz.
STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amemzawadia gari aina ya Nissan Muran mpenzi wake Wema Sepetu katika bethidei yake jana.

LincTech Marine Transportation



http://www.linctechonline.com/
KWA USAFIRISHAJI WA MIZIGO KUTOKA USA KWENDA KENYA.

MKENYA AWEKA RECORD MPYA

MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN

Posted by GLOBAL on September 28, 2014 at 3:15pm 

Dennis Kimetto.
MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin.
Kimetto amesema: "najisikia vizuri maana nimeshinda mashindano magumu, nilikuwa fiti tangu mwanzo wa mbio hizo na wakati nikikaribia kumaliza nilihisi kuwa nitashinda na kuvunja rekodi"
Orodha ya rekodi zilizowahi kuwekwa kila…

SIKU YA MOYO DUNIANI

Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakianza matembezi ya hisani ya takribani Kilomita 10 jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni moja ya matukio ya benki hiyo kudhimisha Siku ya Moyo Duniani ambapo kiasi cha pesa watakachochangisha kitapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo. Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa kimataifa Septemba 29 kila mwaka. Hapa baadhi ya wafanyakazi hao wakipita katika...

USA WHITE HOUSE

Prospect of tighter White House security touches nerve in Washington

File photo of the White House seen from outside the north lawn fence in Washington.

CHECK NEW MOSQUITO NEWS

New mosquito-borne virus spreads in Latin America

In this Sept. 6, 2014 file photo, residents stand outside their home with their pets in tow as a Panamanian Health Ministry work fumigates their homes in the Tocumen neighborhood as part of a prevention program against dengue fever and the mosquito-borne virus chikungunya, on the outskirts of Panama City.

BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND

BABY MADAHA ATAMANI PENZI LA WEMA, DIAMOND

MISSOURI WESTERN STATE UNIVERSITY

                                                                       Missouri Western State University

KANSAS STATE UNIVERSITY

GO WILDCATS

TEXAS A&M

GO AGGIES

The University of Georgia

    

The University of Georgia

GO BULLDOGS






TANZIA

BABA MKUBWA MZEE PHILIP SEBASTIAN MUSHI AMEFARIKI LEO ALFAJIRI NYUMBANI KWAKE KIBOSHO SINGA.
KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU TUUNGANE NA WANAFAMILIA KWA SALA NA MAOMBI KUIOMBEA ROHO YA MAREHEMU BABA PHILIP IKAPUMZIKE KWA AMANI.
TUTAENDELEA KUJULISHANA TAARIFA ZAIDI KADIRI TUTAVOZIPOKEA KUTOKA MOSHI.
UKIPATA TAARIFA HII TAFADHALI MJULISHE NA MWENZAKO
UJUMBE KUTOKA KWA ASSIS FRANK MUSHI

Mkasi na Nora wiki hii


Bibi Bomba Ndani ya Sporah Show


TANGAZO LA KIKAO CHA HARUSI

TANGAZO KUTOKA KWA DADA DELPHINA MUSHI
"WAPENDWA HABARI ZA LEO, NAPENDA KUWAKKUMBUSHA KESHO TAREHE 26/9/2014 TUTAKUWA NA KIKAO CHETU CHA MAANDALIZI YA HARUSI YA NDUGU YETU RAPHAEL LUCAS MARTIN KIKAO KITAANZA SAA 12 KAMILI JIONI TAFADHALI ZINGATIA MUDA ILI TUMALIZE MAPEMA. TUTAKUTANIKA PALE OYSTERBAY CONTAINER KWA MZEE LUCAS KWENYE ROUND ABOUT YA ZAMBIA ROAD. UKIPATA UJUMBE HUU MKUMBUSHE NA MWENZAKO. NAKUMBUSHA TULIOTOA AHADI KUMALIZIA MICHANGO TULIO AHIDI ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI PALE MNAPOTOA AWARUDISHIE ZAIDI NA ZAIDI.

University of Nebraska - Lincoln

KARIBUNI

KARIBUNI KWENYE BLOG YETU. NAONA MUMEPATA HABARI TAYARI KUPITIA KAKA 
ASSIS. KWA SASA UNAWEZA KUNITUMIA POST ZAKO AU MATANGAZO YAKO YA 
BIASHARA KUPITIA E-MAIL 1martin1family@gmail.com. NAOMBA PIA MUHAMBIE MARAFIKI 
ZENU WOTE. PIA WALE NDUNGU ZANGU AMBAO ATUWASIKIE, AU AWAPENDI MAMBO 
YA TEXT MESSAGE, MUAMBIE PIA. KAMA KUNA MTU YEYETO HANA MAWAZO YA 
KUISAIDIA FAMILIA YETU ILI IWE NA MTIZAMO MZURI ZAIDI, UNAKARIBISHWA KUTOA MAONI YAKO PIA KWENYE HII BLOG NA USIWE NA WASI WOWOTE. KARIBUNI PIA MARAFIKI ZETU NA TUTUMIENI MATANGAZO YENU PIA. ASANTENI SANA. MAX

Vatican News

Vatican puts ex-Dominican envoy under house arrest

Archbishop Josef Wesolowski, the Vatican"s ambassador to the Dominican Republic, offers mass in Santo Domingo August 3, 2009. The Vatican has recalled Wesolowski, who has been in the Dominican Republic for nearly six years.

Breaking news




Family





African Beer

Faculty/Staff Spotlight

Aug. 13, 2014

Northwest’s Hesse featured on ‘The Academic Minute’

Updated Aug. 18, 2014
Dr. Brian Hesse
Dr. Brian Hesse
Dr. Brian Hesse, associate professor of political science at Northwest Missouri State University, was featured on the nationally syndicated radio program “The Academic Minute.”
The program airs on Northwest's award-winning National Public Radio affiliate KXCV-KRNW each weekday morning at 7:29 a.m. Hesse’s two-minute segment, titled “African Beer,” aired Friday, Aug. 15, and focused on commercial beer consumption of African people. Listen to the segment by clicking here.
“The Academic Minute” is produced by WAMC radio in Albany, N.Y., and features researchers from colleges and universities throughout the world, keeping listeners abreast of new and exciting developments in the academy. The program is hosted by Dr. Lynn Pasquerella, president of Mount Holyoke College, and features a different professor each day.

MKASI TV SHOW

The Sporah Show

Family