Diamond athibitisha kumvisha pete Zari

NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA


Na Mussa Mateja

Msanii wa muziki, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, ameeleza kuwa endapo msanii mwenzake ambaye sasa hivi wanapika na kupakua, Shamsa Ford atamuonesha utulivu na uaminifu hataona sababu ya kutomuoa.
Msanii wa muziki, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,akipozi kimahaba na Shamsa Ford.
Nay aliyasema hayo juzikati alipokuwa akizungumzia mipango yake na Shamsa ambaye amejiweka kwake baada ya kutosana na mzazi mwenzake, Siwema. Nay alisema: “Hilo la ndoa kiukweli kabisa kama Shamsa ataonesha kutulia na kunithibitishia kuwa hatakuja kunizungua,…

MKE AANDAA FUMANIZI, LADUNDA USIKU


Dustan Shekidele, Morogoro

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Janeth, hivi karibuni alizua kizaazaa cha aina yake baada ya kumtegea mumewe fumanizi kufuatia madai kuwa anachepuka lakini likadunda.Tukio hilo lilitokea mwanzoni mwa wiki hii, saa 5 usiku katika Mtaa wa Bigwa, Kata ya Kilakala mkoani Morogoro.
Janeth anayedaiwa kumtegea mumewe fumanizi.
Chanzo chetu cha kuaminika kilidai kuwa, siku ya tukio Janeth alitonywa na wambeya kuwa mumewe eti yuko nyumbani kwa mwanamke mmoja ambaye ni mama n’tilie (jina halikufahamika mara moja) na ndipo…

USTAA UMEWASHINDA,WAPO KAMA HAWAPO!!!


Na Hamida Hassan

Wapo mabinti ambao waliingia kwenye fani ya uigizaji kwa mbwembwe, wakawika sana kwenye vyombo vya habari na kuunyemelea ustaa lakini ghafla wakayeyuka.Walipoibukia kwenye fani walionekana watakuwa tishio na kuwafunika wale wakongwe waliokuwa wakionekana wao ndiyo wao. Sasa hivi hawajulikani wako wapi na wanafanya nini.
Skaina Ally
Skaina Ally

Huyu alikuwa tishio sana miaka ya nyuma. Umbo lake tata, uzuri wake vilimbeba, akawavutia baadhi ya wanamuziki ambao walimfanya kuwa Video Queen kwenye nyimbo zao kama vile Bob Junior aliyemtumia…

DIAMOND MWANANGU USISUBIRI NIFE!


Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha

Maskini! Wakati leo akiangusha pati ya nguvu na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ inayokwenda kwa jina la Zari All White Party kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar, baba mzazi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa yu hoi kitandani huku akimtaka mwanaye huyo kuonesha msamaha wa kweli aliotangaza kwenye vyombo vya habari na kwamba asisubiri hadi afe.
Baba mzazi wa ‘Diamond Platnumz’
TUJIUNGE NA CHANZO

Habari kutoka kwa chanzo makini kilicho karibu na baba Diamond kilidai…

Boxer Floyd Mayweather’s crazy car collection | | SHARE

This is Microsoft Edge, the replacement for Internet Explorer

UKIWA NDANI YA JIJI LUOYANG NCHINI CHINA UWEZI KUKIKWEPA KITOWEO HIKI



Hapa jamaa akiwafungua Mbwa kamba baada ya kuwanyonga tayari kwa kitoweo

Hapa Mbwa wamesha katwa shingo wakisubiri kuchunwa ngozi

DONDOO MUHIMU KUELEKEA MPAMBANO WA KIHISTORIA KATI YA MONEY NA PACMAN

Floyd Mayweather (kushoto) na Manny Pacquiao wakipozi na mkanda wa WBC jana wakati wa mkutano na wanahabari.
SIKU mbili tu zimebaki kuelekea mpambano wa kihistoria wa ngumi za kulipwa utakaowakutanisha mabondia Floyd Mayweather (Money) na Manny Pacquiao (Pacman) ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani.
Muonekano wa sasa wa Hoteli ya MGM Grand iliyopo jijini Las Vegas, Marekani.
Mpambano huo umekuwa gumzo kote duniani kwa sababu wapinzani hao wamekuwa wakitafutana kwa muda mrefu kabla ya kukubali kupanda ulingoni na…

KAJALA APEWA SIKU 5 ZA KUISHI


IMELDA MTEMA
MASIKINI! Staa mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja hivi karibuni amejikuta akiwa katika wakati mgumu na wa hatari kufuatia watu wasiojulikana kuvamia nyumbani kwake na kutoa onyo kwamba wanampa siku tano tu za kuishi, Amani lina mkasa kamili.Ishu hiyo ya kushtusha ilitokea usiku wa saa nane ya kuamkia juzi, Jumanne nyumbani kwa staa huyo, Sinza Mori jijini Dar es Salaam.
Staa mkali wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja.
WALIKUWA KWENYE TOYOTA RAV 4

Kwa mujibu wa chanzo chetu, watu hao wapatao watatu walitinga nyumbani hapo usiku huo…

DIAMOND PLATINUMZ, ZARI NDANI YA POWER BREAKFAST NA CLOUDS 360 KESHO


        http://www.globalpublishers.info/

WAMAFUNZI WA TAKOMA PARK MIDDLE SCHOOL NCHINI MAREKANI WAITANGAZA TANZANIA


Wanafunzi wa Takoma Park Middle School iliyopo jimbo la Maryland juzi kati wanafuzi walifundishwa utamaduni wa Kitanzania ikiwemo mavazi na ngoma ya asili ya Kimasai, pamoja na kuilezea jukwaani kuhusu Tanzania na kabila la Kimasai baadae walicheza kanda ya nyimbo ya Kimasai na wanafunzi kucheza kwa kuruka ruka juu kama Wamasai
Wanafunzi wa Takoma Park Middle school jimbo la Maryland wakionyesha vinyago na nguo za vitenge kutoka Tanzania
Wanafunzi wakiwa kwenye maonesho ya utamaduni wa Tanzania
Kwa picha zaidi bofya 

SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YANUKIA, DIAMOND AJIPINDA KUHAKIKI TIKETI

STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' jana ametupia picha hii mitandaoni akihakiki tiketi kwa ajili ya shoo ya mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' ya ZARI ALL WHITE PARTY itakayofanyika Ijumaa ya Mei 1, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar.
Kwenye shoo hiyo ya Zari, watu mbalimbali mashuhuri wanatarajiwa kuhudhuria akiwemo dairekta mkubwa Afrika, Godfather wa Afrika Kusini na Top Ten ya Washiriki wa Shindano la Big Brother ‘Hot Shot’ 2014.

North Korea's Kim ordered 15 executions this year: South's spy agency

North Korean leader Kim speaks during the 5th meeting of training officers of the Korean People's Army in this undated photo released by KCNA in Pyongyang© REUTERS/KCNA North Korean leader Kim speaks during the 5th meeting of training officers of the Korean People's Army in this undated photo released by KCNA in Pyongyang
http://www.msn.com/en-us/news/world/north-koreas-kim-ordered-15-executions-this-year-souths-spy-agency/ar-BBiPVRz

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kisha kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam leo April 28, 2015.
rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiriwa na taasisi za Clinto Development Initiative (CDI) na Clinto Health Access Initiative (CHAI).

WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe Membe akimkaribisha Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam Aprili 28, 2015. Rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiriwa na taasisi za Clinton Development Initiative (CDI) na Clinto Health Access Initiative (CHAI).

Bei ya Madafu dhidi ya fwezaa


BARUA NZITO: WASTARA OMBA RADHI‭, ‬BADILIKA‭!‬


Wastara Juma
KWAKO mwanamke unayejua kuuvaa vyema uhusika katika sinema za Kibongo, Wastara Juma. Za siku nyingi? Uko poa mama!&ke?
Ukitaka kujua afya yangu mimi ni mzima wa afya, naendelea na mishemishe zangu za kila siku kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Nimekukumbuka hapa leo maana ni kitambo kidogo hatujaonana. Nikaona ni vizuri kukuandikia barua.
Dhumuni la barua hii ni kwanza kutaka kukukumbusha juu ya heshima niliyokuwa nakupa. Nilikuwa nakuheshimu kama mama wa watoto wawili, mtu mzima mwenye busara za kutosha.
Kwa levo ya heshima niliyokuwa nakupa, sikuwahi kuwa na shaka kwamba labda kuna siku unaweza ukabadilika. Niliamini kadiri siku zilivyozidi kusonga ndivyo busara zaidi zingeendelea kujaa katika kichwa…

MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI


Gladness Mallya
MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha.
Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo.
Msanii huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika sherehe moja iliyofanyika ndani ya Hoteli ya Lamada, Ilala, Dar.
“Hapa nimemkataza mke wangu asije kwenye hii sherehe maana…

MKEWE SHETTA AKATAA GARI


Gladness Mallya
KATIKA kuhakikisha anainusuru ndoa yake iliyotikisika kufuatia madai ya kutoka na muigizaji Rose Ndauka, msanii wa Bongo Fleva Nurdin Bilal ‘Shetta’ amemnunulia mkewe gari aina ya Toyota Mark X lenye thamani ya shilingi milioni 19, lakini bibie huyo amelikataa na kuendelea kuishi mbali naye.
Mke wa Sheta(Leila Yusuf)
Akipiga stori na gazeti hili, Shetta alisema mpaka sasa mkewe huyo, Leila Yusuf bado hajarudi nyumbani kwake kwani alifanya hivyo kama mojawapo ya njia za kuomba msamaha ili mambo hayo yaishe, lakini bado imekuwa…

BABY MADAHA: NATAMANI ZITTO ANIOE


Gladness Mallya
NYOTA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha amesema kuwa anatamani kuolewa na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe, akisema ni mwanaume mwenye sifa zote za kuwa mume kwa mwanamke anayejiamini, Risasi Mchanganyiko linakupa full mkanda.
Nyota wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha.
Akizungumza katika mahojiano maalum na gazeti hili wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, Baby Madaha ambaye alizungumzia masuala mbalimbali ya sanaa na kijamii, alisema Zitto ni mwanasiasa anayejiamini anayejua kusimamia hoja zake, hivyo…

For Floyd Mayweather Jr., money counts as much as anything

Floyd Mayweather Jr., left, works out with his uncle Roger Mayweather on Tuesday, April 14, 2015, in Las Vegas. Mayweather is scheduled to face Manny Pacquiao in a welterweight boxing match in Las Vegas on May 2.© John Locher/AP Photo Floyd Mayweather Jr., left, works out with his uncle Roger Mayweather on Tuesday, April 14, 2015, in Las Vegas. Mayweather is scheduled to face Manny Pacquiao in a welterweight
http://www.msn.com/en-us/sports/more-sports/for-floyd-mayweather-jr-money-counts-as-much-as-anything/ar-BBiNYHe

Kenya is threatening to close the world’s largest refugee camp


http://www.msn.com/en-us/news/world/kenya-is-threatening-to-close-the-world%e2%80%99s-largest-refugee-camp/ar-BBiNi29

MANNY PACQUIAO AWASILI LAS VEGAS TAYARI KUPAMBANA NA FLOYD MAYWEATHER

Ndege aliyosafiri nayo Pacquiao ikiwa uwanjani Philippines
Pambano kati ya Mfilipino Manny Pacquiao na Mmarekani Floyd Mayweather linatarajia kufanyika tarehe May 2, 2015. LasVegas, Nevada. Pambano hilo linatarajia kuingiza zaidi ya kiasi cha $300million.
Msafara wa Manny Pacquiao ukitoka Los Angeles kwenda Las Vegas
Basi la kifahari lililombeba Pacquiao lilisindikizwa na bikers kwenda Las Vegas
Instagram Selfie ya Pacquiao akiwa na mashabiki wake ndani safarini kuelekea Las Vegas
Manny Pacuiao amekua akijifua na kocha wake Freddie Roach, kwenye Freddie Roach Wild Card Gym huko Los Angeles, CA na baadae kusafiri umbali wa maili 270 ndani ya basi lake kuelekea Las Vegas, NV.

Twitter Selfie ya Manny Pacquiao na Mkewe ndani ya basi kuelekea Las Vegas
Manny Pacquia na mwanae wa mwisho, Israel, waliwasili katika hoteli ya Mandalay Bay tayari kujifua mara ya mwisho kabla ya mpambano huo.
Kwa picha zaidi bofya SOMA ZAIDI