MAFUFU: MASHABIKI WANANITAKA KIMAPENZI


Gladness Mallya
MSANII wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka kuwa mashabiki wake wengi wa kike, wanamtaka kimapenzi licha ya ukweli kwamba katika kazi zake nyingi, anacheza sehemu za kutisha.
Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu akiwa katika pozi na warembo.
Msanii huyo alitoa kauli hiyo hivi karibuni baada ya kunaswa na paparazi wetu akiwa amezungukwa na warembo huku akiwa amempakata mmoja wao katika sherehe moja iliyofanyika ndani ya Hoteli ya Lamada, Ilala, Dar.
“Hapa nimemkataza mke wangu asije kwenye hii sherehe maana…

No comments:

Post a Comment