MKEWE SHETTA AKATAA GARI


Gladness Mallya
KATIKA kuhakikisha anainusuru ndoa yake iliyotikisika kufuatia madai ya kutoka na muigizaji Rose Ndauka, msanii wa Bongo Fleva Nurdin Bilal ‘Shetta’ amemnunulia mkewe gari aina ya Toyota Mark X lenye thamani ya shilingi milioni 19, lakini bibie huyo amelikataa na kuendelea kuishi mbali naye.
Mke wa Sheta(Leila Yusuf)
Akipiga stori na gazeti hili, Shetta alisema mpaka sasa mkewe huyo, Leila Yusuf bado hajarudi nyumbani kwake kwani alifanya hivyo kama mojawapo ya njia za kuomba msamaha ili mambo hayo yaishe, lakini bado imekuwa…

No comments:

Post a Comment