Kichupa cha leo Kamali - No Yawa [Official Video] ft. Selebobo

TANGAZO BWANA GRATIAN EMMANUEL NSHEKANABO ANATAFUTWA NA MJOMBA WAKE.

Mr. Edward Ntoroma wa State House Tanzania, pamoja na Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania wanamtafuta Ndugu yao Mr. Gratian Emmanuel Nshekanabo, Mr. Gratian alikuwa anaishi Miami. FL na kazi alikuwa anafanyia kwenye address hii 3101 Lorna Rd Apt 1322 Birmingham. Mr Gratian hajawahi kuwasiliana na familia yake kwa muda mrefu sasa hadi wamepatwa na wasiwasi. Yeyoye mwenye kujua taarifa ya  Mr. Gratian anaombwa amwambie anatafutwa na familia yake na anaweza kuwasiliana nao kwa # +255754088644, 
 Mjomba yake Mr. Edward Ntoroma, 
au mama yake mdogo
 #+255752621199 
Bi. Puwu Kagumsa wa Bukoba Tanzania. 
Yeyote mwenye kuwasiliana na Mr.  Gratian Emmnuel Nshekanabo anaweza kumjuza kuwa ndugu zake wanamtafuta.

DC PAUL MAKONDA AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA KATIKA GEREJI YA WACHINA NA KIWANDA CHA MAFUTA NA SABUNI,

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Gereji ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki Dar es Salaam leo, alipofika kusikiliza malalamiko yao mbalimbali yakiwemo ya kutokuwa na mikataba ya kazi licha ya kuwa kazini kwa zaidi ya miaka saba. 
Makonda akiangalia kitambulisho dhaifu wanavyotumia wafanyakazi hao ambacho hakiwezi kutumimika kumuwekea mtu dhamana na shughuli mbalimbali.
Ofisa Uhamiaji wa Wilaya ya Kinondoni, Evarist Mlay akizungumza na waandishi wa habari eneo la tukio baada ya kuwepo madai ya baadhi ya wachina kuishi nchini kinyemela.
DC Makonda (kulia), akiangalia bomba la maji wanayotumia wafanyakazi hao kwa kunywa. Hata hivyo wafanyakazi hao walilalamikia maji hayo kuwa si salama kwa kuwa yanatoka eneo la chooni.
Kiongozi wa gereji hiyo, Mr Yu Viangqian (kushoto), akizungumza na wanahabari kuhusu madai ya kuwanyanyasa wafanyakazi wa kitanzania na kutokuwa na mikataba.
Maofisa uhamiaji wakizungumza na kiongozi wa gereji hiyo.
Mmoja wa wafanyakazi wa gereji hiyo, Geofrey Kayanda akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu changamoto mbalimbali zilizopo katika gereji hiyo.
Sehemu ya gereji hiyo inayolalamikiwa.

Na Dotto Mwaibale

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda leo amefanya ziara ya kusitukiza katika Karakana ya kutengeneza magari ya Spring City Enterprises inayomilikiwa na raia wa China iliyopo Mikocheni B Mlalakuwa  Barabara ya Mwai Kibaki na kukumbana na changamoto kadhaa kutoka kwa wafanyakazi wa karakana hiyo.

Moja ya changamoto kubwa aliyoelezwa na wafanyakazi hao ni kutokuwa na mikataba ya kazi na kukosekana kwa huduma zingine anazopaswa kuzipata mfanyakazi.


Wafanyakazi hao walimwambia Makonda kuwa hawana muda wa kupumzika wala malipo ya ziada ikiwa na mazingira ya kazi yasiyo rafiki.


Makonda baada ya kupokea malalamiko hayo aliutaka uongozi wa viwanda hivyo kurekebisha mfumo wao wa kazi ambapo aliwataka watoe mikiataba ya ajira kwa wafanyakazi hao pamoja na kuboresha mazingira ya kazi na maslahi yao.


Akizungumza na wanahabari Kiongozi anaye simamia karakana hiyo ya kutengeneza magari ya wachina, Mr Yu Viangqian alisema hakuna haki yoyote inayokiukwa katika karakana hiyo kwani wao wamejikita zaidi kutoa mafunzo ya ufundi kwa vijana wa kitanzania na ajira.


"Hakuna jambo baya hapa kwetu sisi tunasaidia vijana wengi kupata ajaira" alisema Mr Yu Viangqian.


(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com)

Muranga Man happily married to three wives urges husbands to embrace polygamy

Posted by  

MACHARIA
Print Friendly
Three women in Murang’a town are so happily married to the same man that they have become best friends who stick together through domestic troubles.
Fresha Nyambura, Esther Nyaguthii and Agnes Wambui- married to Charles Macharia for 30 years – are now jointly planning the payment of their dowry.
They organised an animated ceremony for first wife Nyambura last Saturday, that saw them all dance with their husband and explain their unusual set up.
“They respect and listen to me. My authority is never undermined,” Nyambura said.
She said they have a systematic way of spending time with Macharia but did not give details.
Second wife Nyaguthii said; “He advised us when he decided to get other wives. We are satisfied; there is no need to cause problems.”
“Men pretend to be faithful while keeping their other wives a secret, but we are all here together.”
Wambui said they love each other and are good friends.
The three, who live in different houses, broke down their roles ahead of the dowry ceremony to Macharia, who gave them the money needed.
Asked to introduce his family during the event, Macharia began by inquiring about attendants only interested in his polygamy.
He then asked those who attended because of their friendship to raise their hands after which he said; “Let all my wives come here for introduction.”
The businessman then introduced the women in the order in which he married them, followed by his 12 children.
“There is no man here who does not have another wife,” said the tycoon, who expressed pride at doing what he said most men would only do in hiding.
“Notice how smart they are. You have to wake up early and take care of the family. You cannot laze around, you must work hard.”
Macharia said he is satisfied and will now focus on getting more children, and lauded his wives for uniting and living peacefully.
It is best for men to declare their other relationships, he said, adding that all was well in his family, and urging men to marry more than one woman.
Macharia said plans to pay dowry for Nyaguthii and Wambui were in place.
-the-star.co.ke

Seven reasons why Nairobi women remain single

Posted by  on Tuesday, September 29, 2015 · Leave a Comment 

single
Print Friendly
If you have spoken with a Nairobi woman long enough, then you have heard her whine that there are no good men left for marriage.
What she doesn’t seem to realize is that it is the marriageable women that are in short supply. Here are reasons why the Nairobi woman remains single:
1. You drink too much
The Nairobi woman seems to have taken talk from men who say that they have respect for a woman who can sit alone in a bar too seriously.
True, being able to buy your own drink may make you appear confident. For a man who is looking for a serious relationship however, a drunk, slurring woman is an utterly unattractive sight. No man wants to be in a relationship with, much less marry, a woman who outdrinks him.
2. Offering sex without commitment
With the feminist liberation movements, women have made a lot of strides in the society. It is this feeling of liberation that has seen many urban women being liberal with their bodies.
It may be very liberating to be able to have no strings attached sex with a man, but it does not do any favors to your love life.
How do you expect the men you date to value you or your body when you do not appear to value it yourself? He will only put a ring on it if he values it.
3. You have no idea what it takes
The Nairobi woman is doing well for herself. She’s had a good education and holds a great job. For these reasons, she feels entitled to a good man and a great relationship.
The point that she is missing is that the qualities that make you a star employee are not the same ones that make a woman a good wife.
Try working on your personality. Your CV will not attract you a husband.
4. You are lazy
Technology has made amazing transformations in our lives. You can order meals, movies or even the cleaning lady all from the comfort of your couch. Everyone relies on these modern day conveniences at one point or the other.
If you are seeking a serious relationship however, you will actually need to get off your ass. To start with, to be able to meet a man, you actually need to get out of the house.
Second, before he can think of a relationship leading to the altar, a man needs to see proof that you can actually run a home. After all has been said and done, the man’s role is provision while the woman’s is nurturing.
You need to be able to do more than boiling an egg. Learn how to make a good, firm sufuria of ugali.
5. You are the hunters
Men also enjoy being hunted. You must have heard this said at least once. There is no problem with being a woman who knows what she wants. The problem with the Nairobi woman is that this is all she does.
She is used to walking up to men in bars, on the streets or even in the office. Because of this, she tends to be too assertive and brash which is unattractive. Deny this they might, but men still enjoy the thrill of the chase. So let them.
6. You are too picky
So you have this long list of the things you want the man of your dreams to have and to do for you. You want him tall, dark and handsome, to drive a particular car, to hold a certain job and to say particular things to you.
The men you meet do not meet the standards so you just sit and whine about it. The truth is that the Mr. Perfect you are waiting for doesn’t exist. It isn’t about dropping your standards altogether but lowering them. Ask yourself, are you perfect?
7. You denounced family over career
A college education is a good thing. It will open many doors for you. It however will not be a good thing if that is all you pay attention to in your twenties when you are young, pretty and marriageable.
You will get those degrees and the corner office and you will be happy for and while and then you won’t.
By the time you realize this, you are too old for marriage. You do not have to choose between the two, you have space for both in your life
8. You blame men for everything
The Nairobi woman is bitter. For everything that goes wrong in her life, she blames the men in her life. They may be to blame for some things but they can’t be to blame for everything.
This attitude is the wrong foundation of any healthy relationship. The minute you take charge and start taking responsibility for your mistakes, you will be on your way to a healthy, fulfilling relationship.
-nairobinews.co.ke

KADJANITO KUIWEKA SINA MARINGO KIDEONI!

nitoo

STAA wa Bongo Fleva kutoka Jumba la Vipaji (THT), Khadija Said Maige ‘Kadjanito’ ameweka wazi juu ya ujio wake wa Sina Maringo kwamba yupo mbioni kutoka na video yake.
Kadjanito aliyewahi kubamba na Ngoma ya Maumivu amesema kuwa video hiyo imeandaliwa nchini na kwamba hajaona sababu ya kukimbilia kwenda kuitengenezea nje ya nchi kama wafanyavyo baadhi ya mastaa wa muziki huo.
“Mashabiki wangu wakae mkao wa kula kwani nipo katika hatua za kumalizia kushuti video ambayo hata dairekta wake itakuwa kama sapraiz siku ikitoka,” alisema…

Unyama: Watu Watano wa Familia Moja Wachinjwa Kama Kuku Simiyu

Watu watano wamefariki dunia papo hapo kwa kukatwa katwa  mapanga  na kuchinjwa kama wanyama katika kitongoji cha Kisesa kata ya Bugalama wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu. Watu hao ambao ni wa familia moja walifanyiwa unyama huo kwa kukatwa katwa mapanga sehemu ya shingoni. Akizungumza na  waandishi wa habari Kamanda wa polisi Mkoani hapa Gemine Mushy alisema tukio hilo lilitokea...
Read More

Kichupa cha leo Dodo (Offiical Music Video) - Davido

Ajali ya Basi la Ngorika yaua askari wa JWTZ Na Kujeruhi wengine 33

Watu wawili wamefariki dunia akiwemo askari wa Jeshi la wananchi (JWTZ) na wengine 33 kujeruhiwa baada ya basi mali ya kampuni ya Ngorika kuigonga kwa mbele Toyota Costa eneo la Misugusugu mjini Kibaha . Ajali hiyo imetokea majira ya saa 1.30 asubuhi leo wakati basi hilo likitokea Dar esalaam kwenda Arusha ambapo ilipofika eneo hilo dereva alihama upande wake wa njia kuyapita magari mengine...
Read More

MTUMISHI KANISA KATOLIKI AINGIA KANISANI USIKU, AIBA ANASWA!

Imelda mtema wa GPL

HII kali! Mtumishi mmoja anayetumikia nafasi ya ulinzi katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro (St. Peter) lililopo Oysterbay jijini Dar (jina halikufahamika), amenaswa katika chumba cha kuhifadhia chakula kinachoitwa Mwili wa Kristo (ekaristi) ndani ya kanisa hilo.

Kwa mujibu wa mtawa (sista) mmoja wa kanisa hilo aliyeomba hifadhi ya jina, awali tabia ya wizi wa chakula hicho ambacho ni mkate (ekaristi), divai (mvinyo) na vifaa vingine, mali ya kanisa ilikithiri kanisani hapo mpaka kufikia hatua ya baba paroko kuamuru kufungwa kwa kamera ya Closed-Circuit Television (CCTV) ili kuweza kumnasa mwizi huyo.

KUNA WALIOKATWA MISHAHARA

Sista huyo aliendelea kuanika kuwa, kutokana na kuibwa kwa vitu hivyo mara kwa mara, tena vikiwemo na vifaa vya muziki na vitu vingine vya thamani, baadhi ya wafanyakazi walikatwa mishahara yao ili kuwaonesha kuwa, uongozi haukubaliani na wizi huo wa mara kwa mara ambao uliashiria dalili ya uzembe.

Kichupa cha leo Qstar ft. Barakah Da Prince - Nimekosa (Dance compilation)

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika kama piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri

Kichupa cha leo Ge2,K Young & Kingo Master Ft Barnaba - Tofauti ( Official Video )

WAHINDU WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA MUNGU WAO MDOGO MWENYE DARAJA KUBWA WAMUWEKA BAHARINI JIJINI DAR ES SALAAM

 Mungu huyo wa mdogo wa kiume mwenye daraja kubwa anayejulikana kwa zaidi ya majina 125 (Ganpati Bappa Morya)  mwenye sura ya tembo akiwa amewekwa juu ya gari maalumu wakipita mitaa kadhaa ya jiji la Dar es Salaam jana mchana akipelekwa Baharini ili kuungana na mungu wa kike waliopo kwenye mito mitatu mikubwa mitakatifu iliyopo nchini India.
 Mungu huyo akiwa amewekwa juu ya paa la gari akiwa katika uangalizi wa heshima.

Dr.John Pombe Magufuli’s CV And Anecdotes From Those Who Knows Him

Dr.John Pombe Magufuli,CV,Presidential Candidate
Dr.John Pombe Magufuli-Presidential Candidate (CCM)
Who the heck is Dr. John Pombe Magufuli? I have been asked that question on a number of occasions. The first one came from my Uncle who is not familiar with Tanzanian politics. It was exactly a minute after his name was announced as the official Presidential candidate for CCM. After the contest that included about 34 cadres, our version of GOP (grand old party) had picked a chemist by profession to be the man to beat. The hard fought contest included the man who is now his key challenger, former Prime Minister Edward Lowassa who jumped a palisade and joined opposition. But that’s a horse of another color. We’ll talk about it in Chronicles Of Dodoma after October 25…may be.

The influx of questions didn’t stop. They still come my way whenever I have coffee with my “Friends Of Tanzania” folks. They want to know more about the man who remained standing after the battle that also included Vice President and other Prime Ministers. They want to know about the man who screwed up everyone else’s courage. His nomination, of course, didn’t come without controversy. The fallout from Dodoma was real. To this day, some cadres are still running around like a chicken with its head cut off.

Now, I don’t know Magufuli that well. Like many folks out there, when Magufuli’s name is mentioned the first image that come to mind is roads. He is now painstakingly considered to be one of the “veteran” ministers to ever lead The Ministry Of Public Works and therefore direct in charge with roads and infrastructures in general. I therefore know his work than his persona.

But the infrastructure portfolio didn’t make him famous. If it did, it was for not for splendid reasons. It’s not an easy-going job to be answerable for demolishing houses. As the Minister Of Public Works, he took the blame over and over. Those who had unlawfully developed plots meant for roads stood no chance against him. The roads must be built. Somebody must be hated. It was he. It doesn’t matter whether your house decorations included the wedding cake chandeliers and rococo arches. He is a man who can wear a pink denim suit and care less what you think.


A person who knows him and has worked close to him says he is always restless for fresh horizons. His highs and lows come and go with the weather, expected but unpredictable. A spur of the moment man who is also a stubborn perfectionist. His unpredictability scares others. It’s widely assumed that those who oppose his current run for the top office job (within and outside CCM) in the land are not comfortable with the whole idea. They consider him to be a threat to their self-interests connected with political affiliations. He will cut the tubes that feed them.

If the above notion is true, it could explain why his “likability” as a candidate has not been a smooth ride. CCM machinery is understood to have realized that and that’s why his campaign is no ordinary hymn. Those who disapprove his nomination mention everything they can find to undermine his presidency-readiness. They leave no stone unturned. The way he dresses, the way he speaks to his overall demeanour. He is not presidential, they say. Those on his defense say he is a diamond in the rough. They remind others not to cry over spilled milk. Nothing can be done or undone now.

They also chip in that he built sub-standard roads that are mashed out even before official opening and handover. Well…I hear them loud and clear. But at least he built something. Aren’t we known for getting money for bridges and build nothing at all? There you go…

Unfortunately he has other blind spots. Those who know him say he is a man who craves the security of tradition and therefore can’t be easily persuaded. He’s always like a loaded duelling pistol with a hair-trigger temper. This one isn’t difficult to prove. The available videos through YouTube can serve the day. He could have easily played the role of an English tank commander in a war film.

From the same videos clips one thing that is well defined. Magufuli is a confident man. He is one of those confident people who believe that, no matter what happens, he always knew it would. Of course he doesn’t have political talent, natural charm and the gift of persuasion like the man whose job he want to inherit. However, the faith in his own influence and ability, can take him places. Confidence is a good appeal for someone who wants to be a Commander-In-Chief of a country engulfed with bribes, corruption and irresponsibility like. Tanzania fits the bill. All in all, he is an intense humourless individual. Hacheki sana na Kima!

Finally, you can tell a lot from a man’s CV. It’s different from a résumé where a lot of details are left out. I found this one from Ministry Of Works website. It can help to paint a better picture of Dr.John Pombe Magufuli. You can see why he could be waiting in the wings after October 25th, 2015.

CURRICULUM VITAE (CV)
1.0 PERSONAL BIODATA:
Name:  Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Date of Birth: 29-10-1959
Place of Birth: Chato
Nationality: Tanzanian
Sex: Male
Marital Status: Married
Language: Swahili, English
Address: Ministry of Works
7 Samora Machel Avenue
P.O. Box 9423,
11475, Dar es Salaam,
E-mail: psworks@go.tz
Tel:  +255-22-2123969
Fax: +255-22-2123964
Home Tel: 255-22-2667888
2.0 EDUCATION:
2006 – 2009: PhD (Chemistry); University of Dar es salaam
1991 – 1994: Msc. (Chemistry); University of Dar es Salaam, Tanzania and Salford University U.K.
1985 – 1988: B.Sc Ed. (Hons); University of Dar es Salaam, Tanzania. Major Subjects Chemistry, and Mathematics:
1981 – 1982: Diploma in Education Science (Sc); Mkwawa College of Education. Major subjects: Chemistry, Mathematics and Education.
1979 – 1981: Advanced Level Higher Secondary School Certificate.  Mkwawa High School – Iringa
1977 – 1978: Ordinary Level Secondary School Certificate, Lake Secondary School – Mwanza.
1975 – 1977: Katoke Seminary, Biharamulo, Kagera
1967 – 1974: Primary School Leaving Certificate, Chato Primary School.

No. 14 Texas A&M rallies for 28-21 OT win over Arkansas

NCAA FB Polls

AP Poll

Wahadhiri UDOM kugoma, wadai mishahara

WAHADHIRI takriban 800 waliopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameazimia kutoingia madarasani kufundisha kuanzia Novemba 2 mwaka huu mpaka hapo serikali itakaposhughulikia suala la muundo mpya wa mishahara. Kauli hiyo ilitolewa jana na Kaimu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanataaluma wa UDOM (Udomasa), Gerald Shija alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maazimio ya mkutano mkuu wa...
Read More

Michigan routs No. 22 BYU 31-0, a rare win over ranked team

POPE FRANCIS KUWA POPE WA KWANZA KUTEMBELEA MAGEREZA YA MAREKANI


Wafungwa wakitengeza kitu maalum kwa Pope kama zawadi kutoka kwao na kama shukrani kwao kwa kitendo cha kufika kuwaona na kufanya nao missa.

Ukitaka kujua kwanini amechagua Magereza hiyo jitiririshe kwa kuingia http://www.citylab.com/crime/2015/09/what-pope-francis-should-know-about-the-philly-jail-hes-visiting/406936/

DIAMOND, ZARI WFANYA BONGE LA PATI!

ZARI DIAMOND (2)
Mwandishi wetu
Mastaa wawili wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wanadaiwa kuangusha bonge la pati yenye kila aina ya viashiria vya ufuska, Risasi Jumamosi limeinyaka.
ZARI DIAMOND (3)Pati hiyo ya aina yake ilifanyika ndani ya mjengo wa Diamond (white house) uliopo pande za Madale-Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj (Alhamis…