DIAMOND MWANANGU USISUBIRI NIFE!


Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha

Maskini! Wakati leo akiangusha pati ya nguvu na mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ inayokwenda kwa jina la Zari All White Party kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar, baba mzazi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Jumaa yu hoi kitandani huku akimtaka mwanaye huyo kuonesha msamaha wa kweli aliotangaza kwenye vyombo vya habari na kwamba asisubiri hadi afe.
Baba mzazi wa ‘Diamond Platnumz’
TUJIUNGE NA CHANZO

Habari kutoka kwa chanzo makini kilicho karibu na baba Diamond kilidai…

No comments:

Post a Comment