MKENYA AWEKA RECORD MPYA

MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN

Posted by GLOBAL on September 28, 2014 at 3:15pm 

Dennis Kimetto.
MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin.
Kimetto amesema: "najisikia vizuri maana nimeshinda mashindano magumu, nilikuwa fiti tangu mwanzo wa mbio hizo na wakati nikikaribia kumaliza nilihisi kuwa nitashinda na kuvunja rekodi"
Orodha ya rekodi zilizowahi kuwekwa kila…

No comments:

Post a Comment