WANAKWAYA: JOKATE ANATUTIA AIBU


Hamida hassan

Ile skendo ya kupiga picha za nusu utupu na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii huku midume ikijirushia na kujifaidia kwa macho, ukijumlisha aibu mpya ya kukata mauno mbele ya wanaume, staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amewakera wanakwaya wenzake ambao wamedai kuwa anawatia aibu, Ijumaa lina mchapo kamili. Staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.
TUJIUNGE KANISA LA SAINT PETER, OYSTERBAY, DAR

Ishu ya Jokate kutupia picha za nusu utupu mitandaoni si mpya, mara kadhaa amekuwa akiripotiwa kwa tabia…

No comments:

Post a Comment