KIWANDA CHA SARUJI MOSHI CHAFUNGWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Rombo Bi. Agness Hokororo mara baada ya kuwasili wilayani hapo kwa ziara ya kikazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. January Makamba alipotembelea kiwanda cha saruji cha Moshi. Kiwanda hicho kimefungiwa baada ya kutotekeleza maagizo waliyopewa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Katikati ni Mwakilishi wa Kiwanda hicho Bi. Sophia na kushoto ni Dkt. Menan Jangu kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment