RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DADA JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.


RATIBA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU DADA JESSIE CHIUME KWA SAFARI YAKE YA MILELE TANZANIA.

Ratiba kamili ya kuaga mwili wa mpendwa Da Jessie ni kama ifuatavyo.

1. Kuanzia Jumatatu tutaendelea kujumuika nyumbani kwa marehemu, 44 Fleetwood Ave, Mt. Vernon, NY, 10552

2. Jumatano, Machi 2, 2016


Flynn Memorial Home,
1652 Central Park Avenue,
Yonkers, NY 10710.


Heshima za mwisho (Viewing): 4pm-7pm


Ibada (Service): 7pm-8pm

Baada ya shughuli kumalizika, tutatoa tangazo la wapi pa kukusanyika usiku huo kwa wale ambao watataka kujumuika na wafiwa.

Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuondoka New York kwenda Dar es Salaam, Tanzania asubuhi ya Alhamisi Machi 3, 2016.

Mwenyezi Mungu akipenda Da Jessie atapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele siku ya weekendi mara baada ya kuwasili Dar es Salaam siku ya Ijumaa, Machi 4. Taarifa zaidi zitafuata.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mpendwa wetu Da Jessie Wayasa Mgeni Chiume mahala pema Peponi. Ameen.

Link ya kutoa rambirambi ni:


Kwa taarifa zaidi:
Michael Chiume: # 6466626999
Chris Litunwa: #6145926231
Nathan Chiume:# 6465526347

No comments:

Post a Comment