BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE


Bw. Salum anayesakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpachika mimba binti yake wa kambo.
Waandishi wetu

MUNGU wangu! Mwanaume mmoja mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Salum, anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito bintiye wa kambo (jina limehifadhiwa).
Binti anayedaiwa…

No comments:

Post a Comment