Maneno ya wema sepetu na Davido baada ya Diamond kubeba tuzo 3 !!!

Hata kama wewe hupendi muziki , hata kama wewe una matatizo na mwanamuziki Diamond lakini kitendo cha kuchukua tuzo 3 alichokifanya jana kiliwafanya mashabiki wengi wa mziki huu kumpa sapoti Diamond. Tuanze na Davido kutoka Nigeria ambaye kwa usiku wa jana hakuondoka na tuzo hata moja , alisema haya kuhusiana na ushindi wa diamond ” TANZANIA STAND UP! HE DID IT! @diamondplatnumz”

Diamond-Platnumz-Davido
Naye Mwanadada Wema Sepetu ambaye ni mpenzi wa zamani wa Diamond japo bado hawajaweka wazi alimtakia heri ya ushindi kaka yake Diamond kwa kuandika haya , “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud…:-) :-):-)
Diamond-Platnumz-Zari-Wema-Sepetu-chameleone-slider
The post Maneno ya wema sepetu na Davido baada ya Diamond kubeba tuzo 3 !!! appeared first on Vibe Magazine TZ Tanzania.

No comments:

Post a Comment