WANAWAKE WASUTANA KISA KUIBIANA BWANA


Stori: Dustan Shekidele, Morogoro

Makubwa! Wakati Wizara ya Nishati na Madini ikiwa kwenye msukosuko wa fedha zilizochotwa ‘kihuni’ kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, mwanaume mmoja, mtumishi wa wizara hiyo mkoani hapa almaarufu Kigogo wa Escrow, amesababisha wanawake wawili kusutana kwa matarumbeta na kukabana wakidaiwa kumgombea kwani ana fedha ‘chafu’.
Wakina mama, Tabu Mohamed na Mwajuma Chota ( katikati ) wakisutana kwa kuibiana mabwana.
Tukio hilo la aina yake…

No comments:

Post a Comment