SKENDO! LULU, WOLPER WAONESHANA JEURI YA MABWANA!


Stori: Musa Mateja/Ijumaa

Sakata la kupangishiwa nyumba za kifahari na wanaume linazidi kuchukua sura mpya kwa mastaa wa kike ndani ya tasnia ya sinema za Kibongo ambapo safari hii mastaa wawili, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Jacqueline Walper ‘ Wolper’ Massawe wanadaiwa kuoneshana jeuri ya mabwana wakipima ni yupi mwenye mshiko zaidi huku akina Wema Isaac Sepetu na Kajala Masanja ambao awali walikuwa juu wakipotezwa.
Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael…

No comments:

Post a Comment