KHADJA: NILIYEZAA NAYE, SITAKI HATA KUMSIKIA


LEO kupitia safu hii tunaye staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Naye kama kawaida alibanwa na Mwandishi Wetu Shani Ramadhani kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu.

Unajua aliulizwa nini na akajibu vipi? Ungana nami hapa chini.
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’.
Ijumaa: Changamoto zipi unazozipata kupitia kazi yako ya muziki?

Khadja: Napata changamoto nyingi tu ikiwemo kutongozwa sana na wanaume. Pia baadhi wananikatisha tamaa wakidai eti siwezi kufika mbali wakati najua…

No comments:

Post a Comment