GARI LA KUBEBEA MAJENEZA LA KIPEKEE LAINGIA NCHINI

IMG_0469 

Pichani juu na chini ni muonekano wa Gari maalum la kukodisha kwa ajili ya shughuli za kubebea majeneza katika misiba limeingia nchini.
Kwa wanaohitaji kukodi kwa shughuli za misiba wanaweza kuwasiliana kupitia barua pepe kiwiaadavidson@hotmail.com au simu namba +255 715 213213, +255 713 616606 na +255 784616606
IMG_0459IMG_0481 
Muonekano wa ndani sehemu maalum linapowekwa jeneza.

No comments:

Post a Comment