HATA WAKIACHA MUZIKI ‘HAWAFI NJAA’

Dada Mkuu’ wa Bongo Fleva, Judith Wambura 'Lady Jay Dee'.
Lucy Mgina

KATIKA maisha siku zote tunashauriana kwamba tusitegemee chanzo kimoja cha fedha. Kama wewe ni muajiriwa basi unatakiwa kuwa na vyanzo vingine vya kujiingizia kipato ili usipate tabu pindi ajira yako inapokoma. Kwa Tanzania asilimia kubwa ya wasanii na hata watu wa kawaida wamekuwa wakijisahau kuhusiana na ishu hii.
Staa wa Bongo fleva  Nasibu Abdul 'Diamond Platinumz'.
Wengi wao wakiona wametoka na…

No comments:

Post a Comment