RAIS MAGUFULI AMUONGEZEA MKUU WA MAJESHI, JENERALI MWAMUNYANGE MWAKA MMOJA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Pombe Magufuli, amemuongezea Mkuu wa Majeshi wa Tanzania Jenerali Davis Mwamunyange mwaka mmoja wa kuendelea kuliongoza Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).Picha kutoka Maktaba)

No comments:

Post a Comment