MILIONI 10 ZA UJENZI WA CHOO ZAYEYUKA MANISPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM BILA CHOO KUKAMILIKA

 Choo cha Soko la Madenge katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam kikiwa kimeng'olewa milango kutokana na kutokamilika ujenzi wake licha ya manispaa hiyo kutenga sh.milioni 10 za ujenzi. 

 Mkazi wa Temeke akipita mbele ya choo hicho.
Mwonekano wa moja ya tundu la choo hicho ambacho hakina miundombinu ya mifereji.

No comments:

Post a Comment