MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA KUFUNGA BIASHARA YA NGONO UWANJA WA FISI

 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiangalia mfereji wa Tandale ambao umearibiwa kutokana wananchi ambao wamekuwa wakitupataka katika mfereji huo, leo jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiteta na Mlemaavu ambaye amemkuta katika eneo la uwanja wa fisi akinywa pombe za kienyeji na kumsihi aache kunywa pombe hizo, leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment