Waziri Mkuu Acharuka....Asema NGO Chonganishi Zitafutwa

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa miezi sita ya kujitathimini mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanayofanya kazi zake wilayani Ngorongoro mkoani Arusha, kama yanafanya kazi kwa misingi ya sheria na maadili. Baadaye, yatahakikiwa na kama yatabainika yanachochea migogoro, yatafutwa. Pia, Majaliwa amezicharukia NGOs nyingine zinazoitangaza vibaya Tanzania kimataifa kwa kupiga picha za...
Read More

No comments:

Post a Comment