Wachimbaji 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi waokolewa wakiwa hai


Watu 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi Geita waokolewa wakiwa hai. Kwa mujibu wa habari watu hao wamepelekwa hospitali ili kupatiwa matibabu zaidi. Ikumbukwe kuwa watu hao walifukiwa na kifusi hicho wakati wakiwa kazini katika moja ya migodi iliyoko chini ya wachina.

No comments:

Post a Comment