Mwanafunzi akipata mimba mzazi jela miaka 30


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema serikali itatoa adhabu kali ya kifungo cha miaka 30 jela kwa wazazi wote wawili wa mtoto wa kike atakayekatishwa masomo na kulazimishwa kuolewa ama akipata ujauzito. Aidha amesema Serikali itamfunga jela miaka 30 kijana anayetaka kumuoa msichana anayesoma pamoja na wazazi wake. Amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kumlinda mtoto wa kike katika...
Read More

No comments:

Post a Comment