Picha : Conor McGregor achezea kichapo kutoka kwa Mayweather Jr

 Floyd Mayweather Jr amsukumia ngumi maridadi ya mkono wa kulia Conor McGregor
 Mchuano mkali wa ndondi kati ya Conor McGregor na mwanandondi Floyd Mayweather Jr umemalizika huko Las Vegas, Nevada nchini Marekani, baada ya kuchelewa kuanza kwa muda wa saa moja hivi.
 Bondia Floyd Mayweather Jnr, akimlemea Conor McGregor kwa makonde mazito mazito kabla ya kumalizika raundi ya 10.

No comments:

Post a Comment