Mbunge Lijuakali Atiwa Mbaroni

Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali na viongozi watatu wa Chadema wilayani Malinyi wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kufanya kusanyiko lisilo halali. Mbunge huyo amekamatwa  jana Alhamisi saa 12:40 jioni akitoka kwenye kikao cha ndani cha chama hicho kilichofanyika katika Kijiji cha Makerere wilayani Malinyi. Akizungumzia kukamatwa kwa viongozi hao, Mwenyekiti wa Chadema Kanda...
Read More

No comments:

Post a Comment