Tundu Lissu Atolewa Risasi Nyingine Mwilini Mwake

Siku 35 baada ya Tundu Lissu kusema mwili wake bado una risasi moja baada ya kutolewa nyingine 15, jana mbunge huyo wa Singida Mashariki (Chadema) alisema kuwa madaktari wamemtoa kipande cha risasi kilichokuwa mwilini mwake. Hata hivyo, mwanasheria huyo mkuu wa Chadema, ambaye alishambuliwa kwa zaidi ya risasi 30 akiwa ndani ya gari lililokuwa nje ya makazi yake mjini Dodoma Septemba 7 mwaka...
Read More

No comments:

Post a Comment