Lazaro Nyarandu na Wenzake Waachiwa Kwa Dhamana

Waziri Mstaafu wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Wenzake wamedhaminiwa na Wadhamini 2 huku yeye akidhaminiwa na Wadhamini 3, kila mmoja Tsh. Milioni 5.Wanatakiwa kuripoti Kituo cha Polisi, Singida Mjini kesho saa 3 Akizungumzia tukio hilo, Nyalandu amesema alikamatwa jana saa 8 mchana akiwa kwenye kikao cha ndani na vijana 29 katika kijiji cha Itaja jimbo la Singida Kaskazini.Amesema...
Read More

No comments:

Post a Comment