BASTOLA TISHIO DAR!


Stori:Waandishi wetu

IKIWA imebakia siku moja kabla ya mwaka 2014 kumalizika, jiji la Dar es Salaam limejikuta likigubikwa na mauaji ya mara kwa mara, hasa ya kutumia silaha baada ya kubainika kuzagaa kwa bastola zilizo mikononi mwa watu waovu.

Madaraka.
Silaha hizo sasa zimekuwa kama simu za mikononi ambazo karibu kila mtu jijini Dar es Salaam anayo na hivyo kuwapa hofu kubwa wananchi ambao hawajui lini na wapi litatokea tukio la ujambazi, hasa kutokana na msongamano mkubwa wa…

No comments:

Post a Comment