WAIMBA INJILI WANA NINI?


Stori:Na Mwandishi Wetu

MENGI yameibuka kufuatia waimba Injili Bongo kukumbwa na kashfa mbalimbali zikiwemo ndoa zao kuvunjika, madai ya kuchepuka, kupata ujauzito nje ya ndoa na matumizi ya madawa ya kulevya, Uwazi limechimba na kuchimbua.
Janet Mreme akiwa na mume wake Jonas Mrema.
BADO JINAMIZI LA KUVUNJA NDOA LAWAANDAMA

Mpaka sasa, waimba Injili wanawake wameshakumbwa na mikasa mbalimbali lakini mpya kabisa ni madai ya hivi karibuni kwamba, ndoa ya mwimbaji…

No comments:

Post a Comment