NDOA YA ISABELA KARAMA YABUMA


Story:Mayasa Mariwata

MSANII wa muziki Bongo, Isabela Mpanda amesema kuwa anasikitika kuona mwaka umeisha mipango yake ya kufunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi Luten Karama imegonga mwamba na kutamani kuolewa ndoa ya kimyakimya.
Msnii wa muziki Bongo, Isabela Mpanda akiwa na mpenzi wake Luteni Kalama.
Akizungumza kwa masikitiko mwanadada huyo aliyewahi kutwaa taji la Miss Ruvuma alisema, maisha ya uchumba yameshamchosha na ndiyo maana anapigania…

No comments:

Post a Comment