SIKU ZA WAUZA UNGA CHINA ZAHESABIKA


Madawa ya kulevya
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi
Majina ya vigogo hao yametajwa na Watanzania waliofungwa katika magereza mbalimbali nchini China kupitia barua zinazoeleza namna matajiri wa hapa nchini wanavyowatumia vijana kusafirisha dawa za kulevya.

Dar es Salaam. Siku za wasafirishaji na wauzaji wa dawa za kulevya kwenda China sasa zinahesabika baada ya Jeshi la Polisi na kitengo chake cha Dawa za Kulevya kubaini majina ya vigogo wanaofanya shughuli hiyo na kusema imeanza kuwashughulikia kimyakimya.

No comments:

Post a Comment