TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto


Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara. 
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Mvua-kubwa-isiyotabirika-yaja/-/1597296/2574124/-/138f207z/-/index.html

No comments:

Post a Comment