Malori ya TZ yasababisha ajali 227 nchini Zambia

   
Ripoti hiyo ilitaja sababu kubwa ya ajali hizo kuwa ni mwendo kasi, vizuizi barabarani, uchovu wa safari ambao umekuwa ukisababisha baadhi ya madereva kuegesha malori yao vibaya na kusababisha madhara kwa watumiaji wengine wa barabara.
http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Malori-ya-TZ-yasababisha-ajali-227-nchini-Zambia/-/1597296/2733266/-/htqsr6z/-/index.html

No comments:

Post a Comment