WAZIRI NCHEMBA AONGOZA ZOEZI LA UTEKETEZAJI SILAHA HARAMU 5,608 MKOANI KIGOMA


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba akikagua silaha haramu zilizoandaliwa kwa ajili ya kuteketezwa wakati wa zoezi la uteketezaji wa Silaha hizo lililofanyika mkoani Kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.
Silaha haramu zikiwa zimepangwa katika uwanja wa Lake Tanganyika tayari kwa uteketezaji wakati wa zoezi hilo lililofanyika mkoani kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.

No comments:

Post a Comment