Uganda Nako Hali si Shwari.....Kiongozi wa Upiinzani Naye Kakamatwa kwa Kuhamasiha Wananchi Kupinga Kufutwa kwa Ukomo wa Rais

Kiongozi mkuu wa chama cha Former Forum for Democratic Change (FDC) Dk Kizza Besigye amekamatwa leo saa moja kabla ya Bunge kuanza kujadili pendekezo la kuondoa ukomo wa umri wa rais. Besigye, aliyewahi kugombea urais mara nne na akishindwa kwa Rais Yoweri Museveni alikamatwa mjini hapa alipokwenda kuwahamasisha wafuasi wake kupinga kufutwa Ibara ya 102 (b) kwenye Katiba iliyoweka ukomo wa kugombea...
Read More

No comments:

Post a Comment