Diana Rwigara Amtaka Rais Kagame Amwachie Huru yeye na Familia Yake

Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda, Diane Rwigara amemtaka Rais Paul Kagame kumfutia mashtaka na kuwaachilia ndugu zake ambao wanashikili na jeshi la polisi nchini humo. Rwigara amesema kuwa serikali imefanya jaribio la kuinyamazisha familia yake pamoja na wafuasi wake tangu alipotangaza kuwania nafasi ya uraisi katika uchaguzi uliofanyika mwezi Mei mwaka huu. Aidha, ndugu hao watatu ambao...
Read More

No comments:

Post a Comment