Imamu aigomea Tanroads kubomoa mskiti Kimara

Imamu wa Msikiti wa Al Masjid Kirumbi Islamic Center uliopo Kimara amewazuia waumini wake kutoshiriki katika kuvunja au kutoa kitu chochote katika msikiti huo ambao unatakiwa kuvunjwa na Wakala wa Barabara Tanzania TANROADS. Imamu wa Msikiti huo Ramadhan Juma  amesema hayo jana  wakati akifanyiwa mahojiano na MCL na kudai kutokana na imani yao ni kosa kubwa mtu yoyote kuvunja...
Read More

No comments:

Post a Comment