Bavicha kula Pasaka mahabusu na kina Mbowe

Viongozi wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) kesho watasherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa kuwatembelea viongozi wa chama hicho waliopo magerezani. Mwenyekiti wa Bavicha, Patrick Ole Sosopi ataongoza msafara wa viongozi wa baraza hilo watakaokwenda Segerea kumtembelea Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na wenzake. Amesema wamefikia uamuzi huo kwa lengo la kwenda kuwatia moyo na kuwa...
Read More

No comments:

Post a Comment