PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5

                           
Posted by GLOBAL on October 21, 2014 at 11:30am 
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.

No comments:

Post a Comment